Tetesi: Kuna tetesi kuwa kuna mambo yatafanyika ili kuzima yanayojiri Sasa

Tetesi: Kuna tetesi kuwa kuna mambo yatafanyika ili kuzima yanayojiri Sasa

Lakini Malasusa alikemea na kutoa rai kwa wachungaji kote nchini kuombea taifa na kukemea jambo hilo
Mimi kwa mara ya kwanza nimemwona Malasusa amekemea na hata sauti yake ilikuwa ya ukali aisee sikutegemea .Ila Mama nimeshangaa sana jana kuanza kujitambulisha mimi ndie amiri Jeshi daaa tumefika huko kwamba hata wasiojulikana na wanaojulikana na waliopotea waliokufa hawajui kuwa Raisi ni amiri jeshi mkuu
 
Hiyo namba 6 😊
Binafsi genta umechachamaa Sana siku ya Leo sijawaona watu kina bro Pascal Mayalla wakitoa maoni.

Kuna constructive criticism nilitaka niitoe kwa madam president Ila nimeamua kuacha.

Leo mitandao kumechafuka kila mahali na kila sehemu speech ya Jana ya mama kusema ukweli mama alipuyanga sana sio utani..
Na ndiyo maana wenye Akili Kubwa tumeamua Kumpa Spana za Kutosha tu ili ajue kuwa Jana Kalikoroga na Kaharibu.
 
Baada ya Wasaidizi wake kuona kuwa Mitandaoni Kumenuka na kila Kona anashambuliwa kwa Boko lake alilolitoa Jana kuna Kikao kimefanyika huku Mhusika akiwa anatia Huruma kwani kuna Mtu Mmoja anayemheshimu sana kamwambia Ukweli kuwa jana ameharibu hata Yeye kamshangaa.

Hivyo basi ili kutuliza hali hii na haya Mashambulizi ya Mitandaoni (hasa hasa hapa kwenye Watu wenye Akili Kubwa JamiiForums) kaomba Msaaada wa Kusafishiwa Anga ili upepo ubadilike kwani hata Yeye pia Kagundua kaharibu japo kutoka mbele Kukiri huo Udhaifu hata akipewa Karafuu za Kwao na Haluwa hawezi.

Tegemeeni yafuatayo muda wowote kuanzia sasa.......

1. Chama chake Taifa kufanya Press ya Kutetea Boko lake

2. Wale wa Vijana nao kila Kona ya Nchi kuitisha Press Kumuunga Mkono

3. Huenda kukawa na Mabadiliko Sekta fulani ili Kutuhamisha Kifikra

4. Huenda kuna Tukio baya la Kijamii litatokea ili Kufunika hili kwani Mashambilizi yetu yamemvuruga

5. Ataomba Poo kwa Mabalozi husika huku akijifanya Kuwatembelea kuonyesha hakuwa na baya nao

6. Kuna Mtandao fulani utafuatwa kuombwa kuwajua Members Thinkers ni akina nani kwa Majina halisi

7. Viongozi wa Dini fulani na Dhehebu fulani 'pelekwa pelekwa' siyo langu la RC wataombwa Kumsafisha

Nimemaliza.
SAMIA MUST GO
 
Mimi kwa mara ya kwanza nimemwona Malasusa amekemea na hata sauti yake ilikuwa ya ukali aisee sikutegemea .Ila Mama nimeshangaa sana jana kuanza kujitambulisha mimi ndie amiri Jeshi daaa tumefika huko kwamba hata wasiojulikana na wanaojulikana na waliopotea waliokufa hawajui kuwa Raisi ni amiri jeshi mkuu
Binafsi pia ilinishtua sana mkuu, mpaka nikahisi mambo kadhaa yaliyokuwa yakisemwa baada ya kifo cha JPM,nikahisi inawezekana aliside na wale ambao hawakutaka smooth transition kama katiba inavyotuongoza
 
Hamna lolote mama kapiga kwenyewe kwenye mshono, sasa hivi wale jamaa wanajitafuta baada ya kuambiwa kua kila hatua inajulikana. Genta kashiba ugali na makande ya maharage 😂 😂 😂 😂 😂
 
Haeleweki yule dingi,na juzi alijikakamua baada ya kelele nyingi zingine zikisikika toka ndani ya Kanisa (vijana) kuhusiana na ukimya na ndiyo maana akajikaza kuongea na nadhani ilikuwa msibani......ila Malasusa alishasema kwa lolote lile yeye atakuwa upande wa gavamenti
Ndiyo maana Namdharau, Tunamdharau na Tunawadharau huko Kwao pia.
 
Baada ya Wasaidizi wake kuona kuwa Mitandaoni Kumenuka na kila Kona anashambuliwa kwa Boko lake alilolitoa Jana kuna Kikao kimefanyika huku Mhusika akiwa anatia Huruma kwani kuna Mtu Mmoja anayemheshimu sana kamwambia Ukweli kuwa jana ameharibu hata Yeye kamshangaa.

Hivyo basi ili kutuliza hali hii na haya Mashambulizi ya Mitandaoni (hasa hasa hapa kwenye Watu wenye Akili Kubwa JamiiForums) kaomba Msaaada wa Kusafishiwa Anga ili upepo ubadilike kwani hata Yeye pia Kagundua kaharibu japo kutoka mbele Kukiri huo Udhaifu hata akipewa Karafuu za Kwao na Haluwa hawezi.

Tegemeeni yafuatayo muda wowote kuanzia sasa.......

1. Chama chake Taifa kufanya Press ya Kutetea Boko lake

2. Wale wa Vijana nao kila Kona ya Nchi kuitisha Press Kumuunga Mkono

3. Huenda kukawa na Mabadiliko Sekta fulani ili Kutuhamisha Kifikra

4. Huenda kuna Tukio baya la Kijamii litatokea ili Kufunika hili kwani Mashambilizi yetu yamemvuruga

5. Ataomba Poo kwa Mabalozi husika huku akijifanya Kuwatembelea kuonyesha hakuwa na baya nao

6. Kuna Mtandao fulani utafuatwa kuombwa kuwajua Members Thinkers ni akina nani kwa Majina halisi

7. Viongozi wa Dini fulani na Dhehebu fulani 'pelekwa pelekwa' siyo langu la RC wataombwa Kumsafisha

Nimemaliza.
Tayari huko Jamhuri ya Whattapp kazi imeanza tunaforwadiwa kujuwa balozi ni nini na kazi zake kana kwamba Watanzania ni mazezeta kiasi hicho.

Sasa hizi propaganda wataenda kuzieleza wakati wa kuomba misaada?

Yani akili ya maccm yanasimamisha saa yakiamini kweli muda nao unasimama, stupid kabisa.

Dr Nchimbi press yake alifanyakazi nzuri sana ya kutuliza hali ya hewa na watu wakamuelewa wakawa na subra, sasa huyu mama sijui karogwa nini yarabi kaja kuyakoroga kabisa maji yaliyotuama.
 
Back
Top Bottom