mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Raia wengi sahv wanasema kuishi nchi fulani sahv ni hatari,suala la kufa ni jambo jepesi sana kukutokea tena unachomolewa mbele ya watu wanaondoka na wee na haurudiHasa na kilichomchanganya zaidi ni Hizi Threads zetu hapa JamiiForums kwani kila akisoma anakuta Kapigwa tu Spana.
Ova