Tetesi: Kuna tetesi kuwa kuna mambo yatafanyika ili kuzima yanayojiri Sasa

Tetesi: Kuna tetesi kuwa kuna mambo yatafanyika ili kuzima yanayojiri Sasa

Tayari huko Jamhuri ya Whattapp kazi imeanza tunaforwadiwa kujuwa balozi ni nini na kazi zake kana kwamba Watanzania ni mazezeta kiasi hicho.

Sasa hizi propaganda wataenda kuzieleza wakati wa kuomba misaada?

Yani akili ya maccm yanasimamisha saa yakiamini kweli muda nao unasimama, stupid kabisa.

Dr Nchimbi press yake alifanyakazi nzuri sana ya kutuliza hali ya hewa na watu wakamuelewa wakawa na subra, sasa huyu mama sijui karogwa nini yarabi kaja kuyakoroga kabisa maji yaliyotuama.
Mbali na kuandikiwa hotuba, kiongoz anatakiwa awe na uwezo wa kumwaga speech kutoka kwenye akili yake mwenyewe, yaani ajue kuendana na upepo uliopo. Haya mambo ya kuandikiwa unakuja andikiwa mambo ya jana
 
Mbali na kuandikiwa hotuba, kiongoz anatakiwa awe na uwezo wa kumwaga speech kutoka kwenye akili yake mwenyewe, yaani ajue kuendana na upepo uliopo. Haya mambo ya kuandikiwa unakuja andikiwa mambo ya jana
Pia watu huandika zaidi mambo ya kitakwimu lakini sio mawazo na misimamo binafsi
Tubadilike
 
Nimesikia baada ya Wasaidizi wake kuona kuwa Mitandaoni Kumenuka na kila Kona anashambuliwa kwa Boko lake alilolitoa Jana kuna Kikao kimefanyika huku Mhusika akiwa anatia Huruma kwani kuna Mtu Mmoja anayemheshimu sana kamwambia Ukweli kuwa jana ameharibu hata Yeye kamshangaa.

Hivyo basi ili kutuliza hali hii na haya Mashambulizi ya Mitandaoni, kaomba Msaada wa Kusafishiwa Anga ili upepo ubadilike kwani hata Yeye pia Kagundua kaharibu japo kutoka mbele Kukiri huo Udhaifu hata akipewa Karafuu za Kwao na Haluwa hawezi.

Tegemeeni yafuatayo muda wowote kuanzia sasa.......

1. Chama chake Taifa kufanya Press ya Kutetea Boko lake

2. Wale wa Vijana nao kila Kona ya Nchi kuitisha Press Kumuunga Mkono

3. Huenda kukawa na Mabadiliko Sekta fulani ili Kutuhamisha Kifikra

4. Huenda kuna Tukio la Kijamii litatokea ili Kufunika hili kwani Mashambilizi yetu yamemvuruga

5. Ataomba Poo kwa Mabalozi husika huku akijifanya Kuwatembelea kuonyesha hakuwa na baya nao

6. Viongozi wa Dini fulani na Dhehebu fulani 'pelekwa pelekwa' siyo langu la RC wataombwa Kumsafisha

Nimemaliza.
BoniYai yupo lupango tayari. Anayefuata.......
 
oyah umejuaje we jamaa ni noma sana😁
Na ndiyo maana nikawa ni GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE "Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer" Mkuu. Nina Zawadi (Shani / Tunu) kadhaa ambazo ni Nadra sana kuzikuta kwa Watu ambazo nimepewa na Mwenyezi Mungu. Namshukuru mno Mwenyezi Mungu kwa Kunibariki nazo.
 
Nimesikia baada ya Wasaidizi wake kuona kuwa Mitandaoni Kumenuka na kila Kona anashambuliwa kwa Boko lake alilolitoa Jana kuna Kikao kimefanyika huku Mhusika akiwa anatia Huruma kwani kuna Mtu Mmoja anayemheshimu sana kamwambia Ukweli kuwa jana ameharibu hata Yeye kamshangaa.

Hivyo basi ili kutuliza hali hii na haya Mashambulizi ya Mitandaoni, kaomba Msaada wa Kusafishiwa Anga ili upepo ubadilike kwani hata Yeye pia Kagundua kaharibu japo kutoka mbele Kukiri huo Udhaifu hata akipewa Karafuu za Kwao na Haluwa hawezi.

Tegemeeni yafuatayo muda wowote kuanzia sasa.......

1. Chama chake Taifa kufanya Press ya Kutetea Boko lake

2. Wale wa Vijana nao kila Kona ya Nchi kuitisha Press Kumuunga Mkono

3. Huenda kukawa na Mabadiliko Sekta fulani ili Kutuhamisha Kifikra

4. Huenda kuna Tukio la Kijamii litatokea ili Kufunika hili kwani Mashambilizi yetu yamemvuruga

5. Ataomba Poo kwa Mabalozi husika huku akijifanya Kuwatembelea kuonyesha hakuwa na baya nao

6. Viongozi wa Dini fulani na Dhehebu fulani 'pelekwa pelekwa' siyo langu la RC wataombwa Kumsafisha

Nimemaliza.

Pia soma: Jeshi la Polisi: Tumemkamata Boniface Jacob kwa makosa ya Jinai anayotuhumiwa nayo
Inaonekana hana
raha kbs kwenye hicho cheo. Ndani na nje ya chama chake hawamtaki
 
Nimesikia baada ya Wasaidizi wake kuona kuwa Mitandaoni Kumenuka na kila Kona anashambuliwa kwa Boko lake alilolitoa Jana kuna Kikao kimefanyika huku Mhusika akiwa anatia Huruma kwani kuna Mtu Mmoja anayemheshimu sana kamwambia Ukweli kuwa jana ameharibu hata Yeye kamshangaa.

Hivyo basi ili kutuliza hali hii na haya Mashambulizi ya Mitandaoni, kaomba Msaada wa Kusafishiwa Anga ili upepo ubadilike kwani hata Yeye pia Kagundua kaharibu japo kutoka mbele Kukiri huo Udhaifu hata akipewa Karafuu za Kwao na Haluwa hawezi.

Tegemeeni yafuatayo muda wowote kuanzia sasa.......

1. Chama chake Taifa kufanya Press ya Kutetea Boko lake

2. Wale wa Vijana nao kila Kona ya Nchi kuitisha Press Kumuunga Mkono

3. Huenda kukawa na Mabadiliko Sekta fulani ili Kutuhamisha Kifikra

4. Huenda kuna Tukio la Kijamii litatokea ili Kufunika hili kwani Mashambilizi yetu yamemvuruga

5. Ataomba Poo kwa Mabalozi husika huku akijifanya Kuwatembelea kuonyesha hakuwa na baya nao

6. Viongozi wa Dini fulani na Dhehebu fulani 'pelekwa pelekwa' siyo langu la RC wataombwa Kumsafisha

Nimemaliza.

Pia soma: Jeshi la Polisi: Tumemkamata Boniface Jacob kwa makosa ya Jinai anayotuhumiwa nayo
Namba 6 nimeelewa zaidi.

Pia, ongeza namba 7 kuna connection ya mastar wetu wa kibongo itavuja.
8. Kutaibuka mvutano kati ya mond na kiba au Konde boy na WCB au hata Mwijaku kutoa Boko li watuhamishe kwani ni kweli bi. Mipasho jana kachemka.
 
Back
Top Bottom