NetMaster
JF-Expert Member
- Sep 12, 2022
- 1,454
- 4,925
Kwa wachezaji wa nje wa hapa bongo wapo wanaokunja hadi milioni 10 lakini kwa wazawa wetu kuna utata.
Tukija kwa wachezaji wetu wa hapa bongo, kunaweza kuwa na yeyote anaelamba walau dola elf 3 kwa mwezi takribani shilingi za kitanzanha milioni 7 kila mwezi?
Kuna tetesi zipo kwamba Feisal Salum Feitoto ndie anaelipwa zaidi kuliko wachezaji wenzake Gsm anammwagia pesa ila haijabainika makadirio ni sh ngapi, wataalam tunaombeni msaada wenu kama itakuwa alau imefikia dola elf 3.
John Boccco alikuwa anakimbiza kwenye list lakini kwa sasa nae kiwango kimeshuka huenda mshahara wake nao umeshuka tofauti na kipindi yupo Hot, kwa pale simba namna wahindi walivyo strict kwenye kupunguza matumizi ili faida iwe kubwa hata hio mikataba ya wachezaji itakuwa imejaa sana vipengere vya kuwapunguzia malipo yao viwango vikishuka, unadhani hata mchezaji akiviona hivyo vipengere ataacha?
Mikataba ya kihindi huwa inamlinda sana mhindi apunguze malipo uwezo ukishuka ili kumzuia hasara, Mhindi ni mfanyabiashara strict sana, Huenda Bocco alikuwa anakunja 12 M akiwa hot lakini kwa sasa hata 5 anaitafuta kwa tochi, Na analipwa kulingana na makubaliano ya mkataba wenye vipengere vya kuzuia hasara kwa mhindi.
Manula ni kipa mzuri ila inaonekana hafikii hizo level japo anazikaribia, mwaka huu alivunja mkataba na meneja wake Jemedari Said kwa tetesi kwamba halipwi anachostahili na meneja wake hana utaalam wa kutosha (negotiation skills) kuwashawishi wahindi wa pale simba kumlipa mshahara mnono kulingana na mchango wake kwenye timu.
Tukija kwa wachezaji wetu wa hapa bongo, kunaweza kuwa na yeyote anaelamba walau dola elf 3 kwa mwezi takribani shilingi za kitanzanha milioni 7 kila mwezi?
Kuna tetesi zipo kwamba Feisal Salum Feitoto ndie anaelipwa zaidi kuliko wachezaji wenzake Gsm anammwagia pesa ila haijabainika makadirio ni sh ngapi, wataalam tunaombeni msaada wenu kama itakuwa alau imefikia dola elf 3.
John Boccco alikuwa anakimbiza kwenye list lakini kwa sasa nae kiwango kimeshuka huenda mshahara wake nao umeshuka tofauti na kipindi yupo Hot, kwa pale simba namna wahindi walivyo strict kwenye kupunguza matumizi ili faida iwe kubwa hata hio mikataba ya wachezaji itakuwa imejaa sana vipengere vya kuwapunguzia malipo yao viwango vikishuka, unadhani hata mchezaji akiviona hivyo vipengere ataacha?
Mikataba ya kihindi huwa inamlinda sana mhindi apunguze malipo uwezo ukishuka ili kumzuia hasara, Mhindi ni mfanyabiashara strict sana, Huenda Bocco alikuwa anakunja 12 M akiwa hot lakini kwa sasa hata 5 anaitafuta kwa tochi, Na analipwa kulingana na makubaliano ya mkataba wenye vipengere vya kuzuia hasara kwa mhindi.
Manula ni kipa mzuri ila inaonekana hafikii hizo level japo anazikaribia, mwaka huu alivunja mkataba na meneja wake Jemedari Said kwa tetesi kwamba halipwi anachostahili na meneja wake hana utaalam wa kutosha (negotiation skills) kuwashawishi wahindi wa pale simba kumlipa mshahara mnono kulingana na mchango wake kwenye timu.