Kuna tetesi ligi kuu yetu wapo wachezaji wa nje wanakunja mpaka milioni 10 kila mwezi. Je, kuna mzawa yeyote anealipwa hata milioni 5 ?

Kinachosababisha mchezaji kulipwa mshahara mkubwa unakijua?
 
Kinachosababisha mchezaji kulipwa mshahara mkubwa unakijua?
Ndio nakijua, ni makubaliano ya yeye mchezaji na klabu. Wala Kagere hahitaji kujua Bocco analipwa kiasi gani, kila mtu ana reference zake
 
Manula bado yupo na jemedari.
 
Jamaa upo mbali sana, na sijui unachoona cha ajabu ni nini kwa mchezaji kumzidi mbunge. Kwa hiyo kwako wewe wabunge ndio wenyewe? 🤣🤣🤣
 
Unaelewa maana ya mkataba? Elewa kuwa huyo Bocco kama alisaini mkataba wa Millioni 15 kipindi yuko kwenye kiwango kizuri basi ataendelea kulipwa hicho kiasi ata kama kiwango chake kitashuka sana mpaka pale mkataba utakapo fika ukomo. Ukisha saini mkataba hakuna cha kupunguza ama kuongea hiyo inakuwa imeisha ni hima mkata uvunjwe. Sijui umenielewa?
John Bocco kiwango kimepungua sana kwa sasa, Nadhani hata Mo kapata kisingizio cha kumpunguzia
 
Kwa taarifa hii ndio sahihi ama?
Mtoa mada uliza kwanza siyo unakuja na assumption zako , apo simba Erasto nyoni tu anakunja 8m kwa mwezi mpaka leo hii na namba apati mara kwa mara chama anachukua 22m, morrison 18m, mkude 8m, manura 7m, kapombe 5, mayele 12m, feisal 6m..
 
Aisee! Zaidi ya millioni 100, umenichekesha hapo kwenye kugombana na walinzi.
 
Aisee! Zaidi ya millioni 100, umenichekesha hapo kwenye kugombana na walinzi.
Yani ngasa ukimsikia jinsi anavyoelezea mwenyewe anatia huruma yani anajuta sana ndio ivyo bahati uwa airudi mara mbili amekataa kibunda tena chenye mkataba wa miaka 5 sasa piga iyo hela kwa mwezi kwa miaka 5 angekuwa na bei gani kwa miaka 5
 
Mtoa mada inaonekana wachezaji unawaona kwenye TV Aishi manula hio M5 amelipwa kama 5 years ago

Mil 5 wanachezea kina kibwana na nkane simba ni kina kibu
 
Billion 5.5 na million za kutosha tu. Ata yeye huwa akipiga hizo hesabu nadhani moto huwa unampanda sana, ndio hivyo majuto ni mjukuu.
Yani ngasa ukimsikia jinsi anavyoelezea mwenyewe anatia huruma yani anajuta sana ndio ivyo bahati uwa airudi mara mbili amekataa kibunda tena chenye mkataba wa miaka 5 sasa piga iyo hela kwa mwezi kwa miaka 5 angekuwa na bei gani kwa miaka 5
 
Mikataba hio huwa ina vipengere vingi sana, Tena mlipaji awe Mhindi ndio vitajaa zaidi, Kuna vipengere vinacheza na maneno kisheria ila uhalisia ni kwamba mchezaji atalipwa kidogo kiwango chake kikipungua.

Pesa ya mhindi unaijua au unaisikia 😂😂
 
Ngasa ni mpuuzi sana yule atakufa lofa tena atakuwa mlinzi wa magetini. Unatafutwa upewe pesa ndefu anajificha Magomeni kazi kuoa tu. Hopeless sana anayefuatia ya FeiToto asipokuwa makini atamalizia mpira wake hapo Kaunda Stadium.
Sa hizi ashakuwa masikini hana hata hela ya kuingilia uwanjani
 
T Then itakusaidia nini?
 
Acheni ujinga ligi ya Tanzania hakuna mchezaji analipwa milion kumi

Wachezaji kutoka nje wanalipwa chini ya million tano kwa mwezi tena wale wenye majina

Wazawa wenye majina milion mbili au milion
CV ya Chama au Aziz Ki(MVP wa ligi ya Ivorycoast) ilivyo utamlipa mil 5?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…