Kuna tetesi ligi kuu yetu wapo wachezaji wa nje wanakunja mpaka milioni 10 kila mwezi. Je, kuna mzawa yeyote anealipwa hata milioni 5 ?

Una akili za kimasikini sana, CAG mstaafu alikuwa anaendesha IST kwenda nayo ofisini. Je alikuwa hana hela?
Hana hela ndio kila siku vilio Kwenye vyombo vya habar
 
Nyie ndio hua mnatapeliwa kizembe ukiona mtu ana kitambi na simu nyingi unajua tajiri
Au nikuwekee picha ya gari lake.

Nenda pale kariakoo Lumumba Street kuna jamaa anauza Rims za Magari kesho utamkuta mchezaji wako
 
Huu ndiyo ujinga wa Watz wengi , mada hii haina jipya zaidi imekuja kumjadili Mohammed Dewji tu nothing more.

Kama unaongea ishu ya maslah kwa taifa sharti uongee kwa upana stahiki sio blahblah kama hizi , mada inahusu mishahara ya wachezaji mtu anaenda kuandika habari za Mohammed Dewji.

Badilika mtoa post , kama mishahara huijui kaa hivyohivyo ,mbona ya kwako hatuijui?
 
Chama analipwa 15m
Azizi ki 20m
Mayele 13m

Kapombe
Manula
Mohamed Hussein

Wote wanalipwa 7m
 
Acheni ujinga ligi ya Tanzania hakuna mchezaji analipwa milion kumi

Wachezaji kutoka nje wanalipwa chini ya million tano kwa mwezi tena wale wenye majina

Wazawa wenye majina milion mbili au milion
Wewe ndio uache ujinga

Hio millioni kumi ni mishahara ya kawaida sana kwa hizi timu kubwa za bongo

Miaka kadhaa iliyopita kipre tcheche aliekuwa azam alikuwa anachukua 20 million kwa mwezi ijekuwa sasa!

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…