Kuna tofauti gani kati ya Degree Holder aliye pita Diploma, na degree holder aliye pitia form 5 & 6 ( A level)?

Kuna tofauti gani kati ya Degree Holder aliye pita Diploma, na degree holder aliye pitia form 5 & 6 ( A level)?

Pamoja na kuwa waliopita Diploma (kutokea kidato cha nne) wanaweza kuwa watendaji wazuri kwa kuwa wamefanya mazoezi mengi; ILA Waliopita kidato cha tano na sita wanapata Confident na uelewa wa haraka .
Ukifuatilia soko la ajira kwa sasa linahitaji mtu mwenye ujasiri/Confident ya kujieleza kama Faru John na hapo ndipo wale waliopita kidato cha sita wanapo waacha wale wa Diploma. Sielewi kwa nini ila waliotokea Diploma weeengi wao ni waoga waoga....
Wanaohusika na ajira/Interview watanielewa....
 
Pamoja na kuwa waliopita Diploma (kutokea kidato cha nne) wanaweza kuwa watendaji wazuri kwa kuwa wamefanya mazoezi mengi; ILA Waliopita kidato cha tano na sita wanapata Confident na uelewa wa haraka .
Ukifuatilia soko la ajira kwa sasa linahitaji mtu mwenye ujasiri/Confident ya kujieleza kama Faru John na hapo ndipo wale waliopita kidato cha sita wanapo waacha wale wa Diploma. Sielewi kwa nini ila waliotokea Diploma weeengi wao ni waoga waoga....
Wanaohusika na ajira/Interview watanielewa....
Route ya F5 inabeba grades za juu; route ya certificate/diploma inabeba wenye grade za chini. The reason is obvious.
 
uelewa wa juu juu.
Unajidanganya. Uliza wanaosoma diploma later wanafunga udsm kinawachokea labda dit must and atc kinaendana nao.

Kuna Bachelor of science in electrical engineering
Na Kuna bachelor of engineering in electrical engineering.
Iyo Bachelor of Sayansi udsm.

Huyo wa diploma hawawezi kujibu maswali ya why Mana Hana science behind of Engineering Bali akafundishwa Engineering tu. Hata physics aliyo nayo Ni ya olevo pia hesabu hajasoma topics zote Bali Ni baadhi tu ambazo anaenda kuzitumia aka bam fulani.yule wa advance anadili na fupa lililomshinda fisi kitu pure mathematics sio bam iyo
 
Inategemea na diploma gani, kuna watu wanaenda vyuo vya DIT, MUST, ATC na vinginevyo wakiwa na matokeo mazuri kabisa.. Umefeli form 4 huwezi kwenda kusoma DIT kizembe zembe.
Wengi hawajiamini ktk kutoboa advance, ndo wanakimbilia dip, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Mtu ana 1 nzuri, anaenda dip, una muuliza kwann unaenda huko, si uende advance, anajibu nikifeli 4m 6 je?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Aliyepita Diploma ni nzuri zaidi maana ana nafasi ya kujifunza vitu vingi sana katika taaluma yake kama akiamuwa kuwa competent, lakini bado nafasi ya mtu kuamuwa kujua na kujifunza vitu vinabaki kuwa utashi wake binafsi.
Kivitendo wa diploma anafaida zaidi maana amesoma kozi from the root na akijiunga na degree anakuja kukamilisha 30% ya masomo yake
 
Usually wanaopitia diploma ni failures waliokosa credits za kwenda F5 directly. Nowadays baadhi ya degree bila point 5 no admission.
Acha kupotosha watu kwa jambo usilolijua vizuri. Kuna system ya technical school, hivyo huyo mwanafunzi anasoma engineering na architecture na hawezi kusoma kozi yoyote zaidi ya PCM. Hivyo njia yake nzuri ni kwenda technical college (DIT, MUST, ATC na karume). Bado hata umepitia secondary education unaruhusiwa kwenda kusoma technical education. Watu wameenda diploma na one za point 7
 
Il
Wengi hawajiamini ktk kutoboa advance, ndo wanakimbilia dip, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Mtu ana 1 nzuri, anaenda dip, una muuliza kwann unaenda huko, si uende advance, anajibu nikifeli 4m 6 je?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila kibongo bongo bora diploma haswa za engineering kuliko cheti cha form 6. Kifupi ukitoka diploma unakuwa na taaluma kuliko form 6.
 
Utofauti ni vyeti Ila content kuanzia diploma na degree zinafanana 70% ikiwa utasoma diploma ni bora katika degree uchukue degree tofauti.

Kuhusu uelewa inategemea na msomaji ikiwa anajiongeza kutafta maarifa nje ya yale anayopewa kutoka Kwa lecturer atakuwa smart sana.

Ukichukua degree tofaut, mbpna anapoteza continuity
 
Back
Top Bottom