Kuna tofauti gani kati ya Degree Holder aliye pita Diploma, na degree holder aliye pitia form 5 & 6 ( A level)?

Kuna tofauti gani kati ya Degree Holder aliye pita Diploma, na degree holder aliye pitia form 5 & 6 ( A level)?

Pamoja na kuwa waliopita Diploma (kutokea kidato cha nne) wanaweza kuwa watendaji wazuri kwa kuwa wamefanya mazoezi mengi; ILA Waliopita kidato cha tano na sita wanapata Confident na uelewa wa haraka .
Ukifuatilia soko la ajira kwa sasa linahitaji mtu mwenye ujasiri/Confident ya kujieleza kama Faru John na hapo ndipo wale waliopita kidato cha sita wanapo waacha wale wa Diploma. Sielewi kwa nini ila waliotokea Diploma weeengi wao ni waoga waoga....
Wanaohusika na ajira/Interview watanielewa....

Hakuna ukwelj wowote

Hivi vitu vyote ni sawa

Ukiwa Medical Doctor kwa kutokea Diplôme na mwingine kutokea form six ; wore n madokta tena mwenye diploma anaweza kuwa competent zaidi based on experience

On the other hand ; tofaut kubwa ni namba of years

Diploma atakuwa katumia miaka mingi

Otherwise hakuna tofauti
 
Kamaliza F6 ana qualify university badala yake akaanzie diploma then arudi university? Hakuna kitu kama hiko!

Yes wapo, only hawakufika points za admission ndio maana wameenda diploma
 
Hakuna ukwelj wowote

Hivi vitu vyote ni sawa

Ukiwa Medical Doctor kwa kutokea Diplôme na mwingine kutokea form six ; wore n madokta tena mwenye diploma anaweza kuwa competent zaidi based on experience

On the other hand ; tofaut kubwa ni namba of years

Diploma atakuwa katumia miaka mingi

Otherwise hakuna tofauti
umemaliza
 
Usually wanaopitia diploma ni failures waliokosa credits za kwenda F5 directly. Nowadays baadhi ya degree bila point 5 no admission.
Sio kweli,nafahamu wengi wafaulu wa 5,6 Wame divert na kwenda kwenye diploma, hasa watoto wa kike ambao 2yrs ya 5,6 kwao kwa miili yao mikubwa uzee hupiga hodi mapema.
 
Route ya F5 inabeba grades za juu; route ya certificate/diploma inabeba wenye grade za chini. The reason is obvious.
Hapana asilimia kubwa wasichana wanaopata ufaulu wa chini wanaenda f5, hivi imekaaje,?
 
Kumbuka kuna wasichana wanaopata ufaulu wa chini na wanaenda f5 (III,23 girl> A level) (III,23 boy>college), na hapo utakuta wote wamebalance comb na wana qualify kwenda A level. iweje boy umuote kilaza
Wengi waliopita diploma ni vilaza walichemka either form four au six
 
P
Wengi hawajiamini ktk kutoboa advance, ndo wanakimbilia dip, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Mtu ana 1 nzuri, anaenda dip, una muuliza kwann unaenda huko, si uende advance, anajibu nikifeli 4m 6 je?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kutoboa PCB sio komwe kila mtu analo
 
Na
Si anaogopa mziki wa advance, anaweza zungusha 0 4m 6, akarudi kutumia kile cha 4, wengi wanaoenda dip hawajiamini ktk level ya advance.
Na wa HKL anaogopa mziki gani sasa au wa "mwanamke amechorwa kama nani" unajib amechorwa kama katuni🤣😂
 
Na

Na wa HKL anaogopa mziki gani sasa au wa "mwanamke amechorwa kama nani" unajib amechorwa kama katuni[emoji1787][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huko ndo balaaa, mambo ni mengi mnoo.
 
Hakuna ukwelj wowote

Hivi vitu vyote ni sawa

Ukiwa Medical Doctor kwa kutokea Diplôme na mwingine kutokea form six ; wore n madokta tena mwenye diploma anaweza kuwa competent zaidi based on experience

On the other hand ; tofaut kubwa ni namba of years

Diploma atakuwa katumia miaka mingi

Otherwise hakuna tofauti
Mkuu, huwezi mfananisha MD alopita Diploma na aliyeanza degree fresh from A Level, alopitia Diploma ana vitu vingi saaana kichwani kuliko wa A level.

Hiki nachozungumza sio tu upande wa Medicine, hata ukija kwenye Engineering, mwenye Diploma yupo hatua kadhaa mbele ya form 6.
 
Mkuu, huwezi mfananisha MD alopita Diploma na aliyeanza degree fresh from A Level, alopitia Diploma ana vitu vingi saaana kichwani kuliko wa A level.

Mkuu, huwezi mfananisha MD alopita Diploma na aliyeanza degree fresh from A Level, alopitia Diploma ana vitu vingi saaana kichwani kuliko wa A level.

Hiki nachozungumza sio tu upande wa Medicine, hata ukija kwenye Engineering, mwenye Diploma yupo hatua kadhaa mbele ya form 6.
Tatizo vitoto vya sikuizi vina force kupita f5 ili vikapate boom la chuo😂
 
Speaking from experience, tuichukulie elimu ni kama nyumba, Yes nyumba hiihii tunazoishi.

Generally, anayepitia Diploma anafundishwa namna gani nyumba ilivyoanza, atafundishwa kuhusu ardhi ya hapo, atadadavuliwa khs ardhi, atafundishwa settings kiundani, atafundishwa kila kitu kwa undani kabisa mpaka kufikia finishing.

Anayeanza Degree kutokea A Level, yeye atafundishwa ili nyumba ikamilike lazima kuwe na ardhi, utafanya settings, utakuja msingi n.k hawezi kufundishwa kila kitu kwa undani kama mtu wa Diploma.

Nikukumbushe kuwa, ndani ya miaka miwili ya Degree, ile ni Diploma. Waliopita Diploma wanakuwa wameshasoma more than 80% ya masomo ya degree.
 
Ukiachana na sifa kwa mzazi kuonekana mwanae amepita form six, hakuna faida nyingine yoyote ile kwa mwanafunzi kusoma advance. Hasahasa, sana sana wanaosoma Science, Science kuanzia Diploma inatoka saana ktk kuajirika kulika mtoto mwenye cheti cha form six.
 
Kuna tofauti gani kati ya degree holder aliye pitia diploma na degree holder aliye pitia form 5&6?
Kwenye ajira, Mfano Ualimu, Aliyepitia Diploma (Ualimu) ana nafasi kubwa zaidi ya kupata ajira. (hasa kwa wakati huu ambapo ajira ni changamoto ya kitaifa).
 
Back
Top Bottom