indian mark 2
JF-Expert Member
- Jan 3, 2015
- 397
- 301
You made my daye mkuu'Hayati' anaacha mali, "Marehemu" anaacha madeni na mikosi kibao. Hutaki andamana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
You made my daye mkuu'Hayati' anaacha mali, "Marehemu" anaacha madeni na mikosi kibao. Hutaki andamana.
Hahahahahaha nimechoka kweliSio kesho. Mkigeuka kutoka makaburini
Inawezekana lakini'Hayati' anaacha mali, "Marehemu" anaacha madeni na mikosi kibao. Hutaki andamana.
dah.....nimecheka sana'Hayati' anaacha mali, "Marehemu" anaacha madeni na mikosi kibao. Hutaki andamana.
Hahaha...nyerere hakuacha mali lakini ni hayat.'Hayati' anaacha mali, "Marehemu" anaacha madeni na mikosi kibao. Hutaki andamana.
Mbona Avatar yako na Username haisadiki hiki ulichoandika."Lai Hayat aiye kaze le chali chale, apni khushi na aiye na apni khushi chale"
Ww umechanganya maiti na marehemuMarehemu kabla ya mazishi. Hayati baada baada ya mazishi
Ni majadiliano. Toa ufafanuzi wakoWw umechanganya maiti na marehemu
vipi kwa kizungu neno hayati linaitwaje mkuuNi hivyo hivyo kama ulikuwa hauko serikalini na ukafa wewe ni marehemu tuu lakini kama ulikuwa na cheo fulati hata kama haukuwa serikalini lakini unajulikana wewe ni hayari
Google mkuu mi sikumbukivipi kwa kizungu neno hayati linaitwaje mkuu