Kuna tofauti kati ya VAR na Goal Line Technology

Kuna tofauti kati ya VAR na Goal Line Technology

Michuano ya CCL hawatumii Goal line technology ambayo ingemaliza huu utata

CCL wanatumia VAR peke yake kusaidia kutoa maamuzi

Angalia Goal line technology ilivyotumika kwenye hii video fupi hapo chini

Utaona ni jinsi gani mpira unatakiwa uwe umeingia kwa asilimia 100 ili kuhesabika goli

So ukiangalia kwa haraka lile shuti lilikua ni kali sana kiasi kwamba unahitaji umakini kuchukua picha exactly pale mpira ulipo dunda na kurudi juu.

Ukichukua picha wakati mpira umekwisha dunda au kabla haujadunda ni lazima mpira utaonekana umevuka mstari kwa asilimia 100

Lakini ukichukua picha mpira unapodunda utaona uligusa mstari

Angalia picha hapo chini, moja mpira ulipodundia na nyingine ni mpira kabla au baada ya kudunda

Mwisho tujikumbushe kidogo kuhusu sheria inasemaje kuhusu mpira kuhesabika kuwa umeingia na kuwa goli.... ni lazima mpira wote uingie na sio asilimia 99.9.

Angalia picha za sheria za goli.

View attachment 2955740View attachment 2955741View attachment 2955743
Upo sahihi, nilimwambia mtu hili swala siku ya mechi lakini kwa kuwa ushabiki umezidi akili ya kufikiria huwezi kuona kingine zaidi ya kuona umeonewa
 
Michuano ya CCL hawatumii Goal line technology ambayo ingemaliza huu utata

CCL wanatumia VAR peke yake kusaidia kutoa maamuzi

Angalia Goal line technology ilivyotumika kwenye hii video fupi hapo chini

Utaona ni jinsi gani mpira unatakiwa uwe umeingia kwa asilimia 100 ili kuhesabika goli

So ukiangalia kwa haraka lile shuti lilikua ni kali sana kiasi kwamba unahitaji umakini kuchukua picha exactly pale mpira ulipo dunda na kurudi juu.

Ukichukua picha wakati mpira umekwisha dunda au kabla haujadunda ni lazima mpira utaonekana umevuka mstari kwa asilimia 100

Lakini ukichukua picha mpira unapodunda utaona uligusa mstari

Angalia picha hapo chini, moja mpira ulipodundia na nyingine ni mpira kabla au baada ya kudunda

Mwisho tujikumbushe kidogo kuhusu sheria inasemaje kuhusu mpira kuhesabika kuwa umeingia na kuwa goli.... ni lazima mpira wote uingie na sio asilimia 99.9.

Angalia picha za sheria za goli.

View attachment 2955740View attachment 2955741View attachment 2955743
Macho huna wewe.

Mkuu naamini video unayo au una access nayo......... itazame kwa utuo

Hakikisha una stop pale mpira unapodunda
Angalia kama umegusa mstari hata kiduchu sio goli na kama umezama wote ni goli

Angalia bila mihemko

Angalia sheria ya goli kwenye hii picha👇👇👇
Huna macho wewe.
Ule mpira haukugusa mstari.
Basi sawa tuseme uligusa ila hivi unajua kama ulivyodunda ulivuka mstari??
IMG_20240407_134002.jpg
ari??
 
Watu wa VAR hawahusiki katika kutoa maamuzi , anayehusika ni REFA PEKE YAKE. Watu wa VAR wanajukumu la kumsaidia refa kuliona tukio katika angle na position tofauti Ili mwisho wa siku AKAAMUE MWENYEWE .

Hapa uko sahihi. Sasa tukio la Jana lilikuwa na utata Kwa Nini hakwemda kufanya REVIEW Refa mwenyewe Ili aje kufanya MAAMUZI kama alivyokwenda kwenye tukio la Lomarisa?

Narudia Tena Maafisa wa VAR hawana mamlaka ya mwisho kumpa REFA KUAMUA MATOKEO YA TUKIO.

UAMUZI WA MWISHO uwanjani unafanywa na Refa wa kati sio watu wa VAR.
Mwenye mamlaka ya kusema HAKUNA GOLI ni refa wa kati . Sasa refa wewe ndo mwamuzi wa mwisho unaletewa malalamiko na wachezaji kuwa hili ni goli hutaki kwenda kujiridhisha unawaambia watu wa VAR waliangalie na KUAMUA Sasa hapo kazi Yako Nini?

Kwani refa umeletewa malalamiko na wachezaji uwanjani unashindwa vipi kuwaambia watu wa VAR nipeni review ya tukio lililotokea dakika hii na sekunde hii then wewe Kwa MACHO Yako ukaenda kujionea? . Yaani refa unasubiri Hadi watu wa VAR wakwambie kaangalie tukio furani et kama Kuna ULAZIMA ?[emoji1787][emoji1787]
Mkuu, kule kwenye chumba Cha VAR Kuna marefa pia sio wataalam wa IT tu, na wapo Zaid ya watatu washirikishana kabla ya kutoa maamuzi hivyo refa sio lazma kwenda kujihahakikishia, Mara nyingi refa anaenda kuhakikisha tukio ambalo hakuliona Au marefa wa VAR wamesema tofauti na alivyoamua. Mfano tukio la lomarisa, refa aliona ni faulo ya yellow card ila VAR wakamwambia ni red card akaenda kuhakikisha na akaona ni yellow card.

Kwa tukio la Aziz ki Kama Kuna makosa basi ni Kwa wale Watu wa VAR sio mwamuzi na Kama mwamuzi angekua na maelekezo basi angempiga lomarisa red card mapema ambayo isingekua na utata Kama lile goal. Angalia Hata mechi nyingi za ulaya sio Kila tukio refa anaenda kuhakikisha.

VAR haijaja kumaliza makosa ya waamuzi maana wanaoiendesha ni binadamu. Mimi mshabiki wa Liverpool mwaka juzi man city amechukia ubingwa Kwa tofauti ya point 1 na Liverpool ila man city mechi na Everton VAR ilimbeba na waliomba radhi Kwa Hilo, msimu Huu Liverpool na Spurs Luiz Diaz alifunga goal Watu wa VAR wakáangalia Kama Kuna offside wakakuta hakuna offside na wakamwambia refa ila refa hakusikia vzr akaweka offside mpira ukaendelea, Sasa Hiv tunafukuzana points na arsenal na man city wakati tulipaswa kuwa Mbali Zaid. Bahati nzuri wenzetu Hata wakifanya makosa ni wawazi na wepesi kuomba msamaha. Hata hiyo ya spurs vs Liverpool unaweza kuipata YouTube mpaka maongezi ya Watu wa VAR na pia waliapologoze. Nadhan Hata Africa tunatakiwa kufika huko, watoe video Au picha inayoonyesha msingi wa maamuzi yao na Kama wamekosea waombe radhi
 
Acha ubishi ndugu yangu.
Nini kuhusu picha wakati video zote zinaonyesha mpira wote kwa 100% ulikuwa ndani.
Marefa wa jana walizingua kukataa lile goli.
Utopolo walinyongwa kihuni na sio kisoka.
Kuna muda nadhani kila mtu aliona kivyake kwenye TV yake.
Maana mpira haukugusa mstari umedunda ndani ya Goli cm chache kutoka mstar wa Goal.
Hata hawa ambao wanadai mpira umegusa mstari huenda wako sahihi kutokana na Tv au simu Zao.
 
Ushabiki wa waswahili unatufanya kuwa vipofu wa kuukataa ukweli hata kama tumeuona dhahiri.

Kwa kuliona hili binafsi nilishachagua kuwa neutral katika kila jambo ili niweze kuwa huru kutika kufikiri, kuona, kutenda, kusema na kusimama katika ukweli. Ndo maana sinaga utimu utimu, ambao naamini unapumbaza kwa viwango tofauti kulingana na mhusika. Kuna wanaopumbazwa sana, wastani, na wachache sana hawapumbazwi kabisa licha ya kuwa na utimu wao.

Ukweli ni kwamba bao la Aziz Ki jana halikuwa na utata wowote hata kwa macho linaonekana, ila kile kigugumizi cha matumizi ya VAR technology kilikuwa dhahiri kabisa kiasi wakati marudio yanafanyika watu wanashangilia nilikuwa nawasikitikia nikijisemea "ngoja mshangazwe".

Ukitaka uuone vema utambulisho wa mwafrika mwezeshee mazingira ya haki kuonekana dhahiri. Hatojali, badala yake ataisigina hata mchana kweupe, mbele ya kila jicho, na bila hata chembe ya soni.

In short kuna vitu Africa bado hatujawa na ustaarabu wa kutosha kuwa navyo. Mojawapo ni hizo teknolojia kama VAR. Kuna game moja niliona mwanzoni hivi wakati ndo VAR inaingia Afrika, refarii kaenda kucheck zaidi ya dakika nzima anarudi na maamuzi ya penati kuwa mchezaji kaugusa mpira kwa kiwiko wakati mikono yake ilikuwa juu na mpira ulikuwa kwa chini maeneo ya goti! Hakukuwa hata na ujirani kati ya mpira na mikono, ila mmakonde akaamua ni tuta tena kwa msisitizo wa vitendo.
Hakika mkuu
 
Kuna muda nadhani kila mtu aliona kivyake kwenye TV yake.
Maana mpira haukugusa mstari umedunda ndani ya Goli cm chache kutoka mstar wa Goal.
Hata hawa ambao wanadai mpira umegusa mstari huenda wako sahihi kutokana na Tv au simu Zao.
Mkuu angalia tena video online kwa utuo
Hakuna video hata moja inayoonyesha mpira unadunda ndani ya mstari kwa 100%....... HAKUNA
 
Nasubiri ajibu hili swali kwa usahihi. Aeleze ni kwa nini faulo ya Lomalisa, mwamuzi aliamua kujiridhisha kuitazama tea kwenye VAR ya uwanjani! Halafu kwa goli lenye utata kama lile la Aziz Kii, aliamua kupuuza.
Mwamuzi alijua kama yanga ingepita basi mashabiki wa simba wangekoma
 
Michuano ya CCL hawatumii Goal line technology ambayo ingemaliza huu utata

CCL wanatumia VAR peke yake kusaidia kutoa maamuzi

Angalia Goal line technology ilivyotumika kwenye hii video fupi hapo chini

Utaona ni jinsi gani mpira unatakiwa uwe umeingia kwa asilimia 100 ili kuhesabika goli

So ukiangalia kwa haraka lile shuti lilikua ni kali sana kiasi kwamba unahitaji umakini kuchukua picha exactly pale mpira ulipo dunda na kurudi juu.

Ukichukua picha wakati mpira umekwisha dunda au kabla haujadunda ni lazima mpira utaonekana umevuka mstari kwa asilimia 100

Lakini ukichukua picha mpira unapodunda utaona uligusa mstari

Angalia picha hapo chini, moja mpira ulipodundia na nyingine ni mpira kabla au baada ya kudunda

Mwisho tujikumbushe kidogo kuhusu sheria inasemaje kuhusu mpira kuhesabika kuwa umeingia na kuwa goli.... ni lazima mpira wote uingie na sio asilimia 99.9.

Angalia picha za sheria za goli.

View attachment 2955740View attachment 2955741View attachment 2955743


The goal-line technology is super-fast in its calculations and can determine if the ball has crossed the line and send the signal of the outcome to the referee in a matter of seconds. Unlike the VAR which takes several minutes to analyze the situation.16 Nov 2018
Scorum is a sports ecosystem where everyone's rewarded › en-us
 
Mimi ni kama mandonga nikipigwa ni kama nimepiga..nikipiga nimepiga au hujanijua bado mtani mi sipendi stress huwa naforce furaha... [emoji3] [emoji3] [emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom