THE BOILER ROOM
JF-Expert Member
- Sep 17, 2018
- 1,054
- 3,212
- Thread starter
- #41
Hapana mkuu kipindi hiko urban planning ilikuwa ikiheshimiwa mno maeneo mengi tayari yalikuwa yashajengwa yakilimilikiwa na serikali na taasisi zake kubwa,nyumba za mabalozi, diplomats, lazima uwe mtu flani ili kuishi huko!Baada ya serikali kuuza nyumba zake mabadiliko ndo yalianzia hapo if I'm not mistaken.Mzee Umekulia Masaki ,Vipi Mzee Wako Alikuachia Hata Kaplot Masaki?