Kuna tofauti kubwa kati ya Masaki niliyoishi mimi na Masaki ya leo

Kuna tofauti kubwa kati ya Masaki niliyoishi mimi na Masaki ya leo

Kwanza kabisa naomba mnisamehe kama Uzi wangu unaofanania na kudhihaki ila hii si shabaha yangu!Shabaha yangu kubwa ni kutoa taswira ya namna mabadiliko ya matumizi ya ardhi ya maeneo husika yalivyotofautiana sana na mpango wa awali wa matumizi ya ardhi ya maeneo hayo kabla;
Enzi hizo wakati naishi mimi ;

Masaki ilikuwa ni Residential Area pekee huwezi kuta ofisi yoyote iwe ya serikali au taasisi binafsi ikifanya shughuli zake maeneo hayo.

Miaka hiyo Masaki huwezi kuta jengo lenye urefu wa ghorofa zaidi ya ghorofa tatu kwa uchache na upekee wake utakutana na mazingira ya namna hiyo kwny maeneo yaliyotengwa kwa ajili ya flats yakiwemo maeneo kama ya TIB,THB na kule Harbors .

Masaki ya wakati huo wahudumu walikuwa hawarudi makwao zaidi ya kuishi kwenye nyumba za servants zilizokuwa nyuma ya nyumba kubwa za maboss wao

Wakati huo Masaki huwezi kuta watu wakiwa wamezagaa zagaa hovyo asilimia kubwa kwenye mtaa husika watu tulikuwa tukifahamiana kwa sura hata kama tulikuwa hatusalimiani.

Kwa kifupi mimi nimeishi na kukua kwenye mtaa wa Haile Selassie.
Sahivi kumejaa Boda boda pale Masaki Mwisho kama Mbagala tu.
 
Tanzania hatuna mipango Miji sikuhizi hamna tofauti ya makazi ya watu,soko, makazi ya watu yamezungukwa na bar na Kila mtu kwenye nyumba yake anajenga fremu tu. In short sikuhizi makazi mazuri ya watu hamna, na hata aliyeanzisha wazo la fremu na wote kuiga sijui nani Yani fremu nyingi kuliko wateja
Umenikumbusha Tigo pesa na Mpesa idadi inazidi ya wakazi😅😅
 
Masaki kuwa kawaida kama Uswazi ni ngumu, ni kweli kuna watu wengi, ofisi na majengo mengi, bado mazingira yake, uwekezaji wake na wakazi wake bado ni wa kipato cha juu kuliko mitaa mingi ya Dar.
Na daraja jipya la Tanzanite tutegemee majengo marefu yatajengwa zaidi maana Masaki ina mazingira yanayovutia kwa wanaotaka ofisi za mashirika (corporates),

Halafu kitu kingine ni mipango ya jiji, ambapo mji hauna yale ma Free ways, yanayofanya wenye uwezo wapende kuishi mbali na mjini, hiyo inafanya Masaki iwe sehemu inayoendelea kuvutia watu wengi wenye uwezo wasitamani kuishi mbali sana na mji kwa sababu ya foleni., mfano Nairobi wana ile Nairobi freeway, barabara kama ile ina encourage watu kuishi nje ya mji.

Kwahiyo pamoja na mabadiliko yake, Masaki itabaki kuwa high income area
Mkuu Kuna jambo kwenye logic yako hii linakosekana...
Sipend kuongelea sana mambo ya income kwa Tanzania maana ni taboo na matajir w a Tanzania wamejichanganya karibu kila Mahali.
Hoja ya uswazi, ni kama sinza flani hivi, ndiko Masaki inapoelekea... No HNWI atapenda kuish mazingira ya namna ile.

Hizo skyscrapers unazosema ndio zitaondoa kabisa hadh ya masaki kwa sabab ya security risks.
Bars, restaurants, shops, malls, street vendors, hospitals hotels.... na eneo ni dogo... kama kariakoo hivi.

Nakubali kwamba haitakuwa Uswaz kwa level za Tandika, lakini fikiria a person who can afford a rent of $60k to 120K p.a.

Yani hata akiona boda boda na vibajaj kwake ni some sort of identifiable risk...
Kumbuka hiyo ni premier residential in third world country...
If you know what I'm talking.
 
Trend ya miji ya Kibongo ni kwamba pesa ikifumuka watu wanaanzisha ka-mji ka kishua wanafunga kuta na mageti makali. Watoto wanalelewa kishua kila kitu kipo. Wazazi Wakizeeka na kuaga dunia watoto wanaishi kwenye majumba mazuri lakini ukute hawana kipato. Mwisho wa siku wanauza majumba au wanaishi humo wakiendesha biashara haramu nao wanaaga dunia nyumba zinakaliwa na wajomba na mashamgazi ndo hao mnaowaona Masaki.
Na ndio hao wanaoleta vifremu
 
Kwanza kabisa naomba mnisamehe kama Uzi wangu unaofanania na kudhihaki ila hii si shabaha yangu!Shabaha yangu kubwa ni kutoa taswira ya namna mabadiliko ya matumizi ya ardhi ya maeneo husika yalivyotofautiana sana na mpango wa awali wa matumizi ya ardhi ya maeneo hayo kabla;
Enzi hizo wakati naishi mimi:

Masaki ilikuwa ni Residential Area pekee huwezi kuta ofisi yoyote iwe ya serikali au taasisi binafsi ikifanya shughuli zake maeneo hayo.

Miaka hiyo Masaki huwezi kuta jengo lenye urefu wa ghorofa zaidi ya ghorofa tatu kwa uchache na upekee wake utakutana na mazingira ya namna hiyo kwny maeneo yaliyotengwa kwa ajili ya flats yakiwemo maeneo kama ya TIB,THB na kule Harbors.

Masaki ya wakati huo wahudumu walikuwa hawarudi makwao zaidi ya kuishi kwenye nyumba za servants zilizokuwa nyuma ya nyumba kubwa za maboss wao

Wakati huo Masaki huwezi kuta watu wakiwa wamezagaa zagaa hovyo asilimia kubwa kwenye mtaa husika watu tulikuwa tukifahamiana kwa sura hata kama tulikuwa hatusalimiani.

Kwa kifupi mimi nimeishi na kukua kwenye mtaa wa Haile Selassie.
Hata tandale na migomigo hazikua za maghorofa, hotels na commercialization centers
 
Miaka ya zamani 80-90s ukisema unakaa Masaki ,Oysterbay,Upanga,Posta au Mikocheni ulikuwa unaogopeka......Ila kwasasa ukisema unakaa Mbweni(Zile Plots elfu 20 za Mkapa) unaogopeka....Masaki/Oysterbay wanakaa walinzi/wfanyakazi wa ndani tu siku hizi.
Huko mbweni nilifika ni balaa, hakuna mjengo wa kinyonge hata mmoja ingawa nyingi ni za wastaafu
 
Iko hivi miji inatanuka masaki ya zamani au sinza ya zamani au kinondoni ya zamani sio ya sasa hiviipo hivi watu wanahamia na watu wanaondoka kwaiyo miaka 20 ijayo masaki itakuwa ya kawaida kama sinza ya zamani kwaiyo mji mwingine utaibuka kuwa wakishua maana siku hizi wengi wanaamia kigamboni uko kuna mijengo ya maana au bagamoyo siku hizi mjini kuna makelele sana
Utabiri wangu, Dsm ya kishua ya miaka ijayo itakuwa Kigamboni, watu wanachelewa kujua tu.
 
Masaki ya leo sio ile tulivu ya kishua tena, limebaki jina tu.

Kuna ushamba katikati umetokea ata upanga wakati sisi tunakuwa yalikuwa maeneo ya wafanyakazi wa serikali wenye kipato cha kawaida hasa walimu. Eti siku hizi prime areas.

Yaani watu badala ya kutanua jiji wamevunja na kujenga maeneo hayo hayo machache na kuharibu mandhari ya maeneo; masaki kuna maeneo nilipita nikawa najiuliza hivi ndio hapa kweli ata kilima nyege sikukitambua niliposhuka kwa kushangaa.
Tatizo lilianza baada ya serikali kuuzia watumishi nyumba zake, Kila mmoja anafanya anavyotaka baada ya kuuziwa
 
Wazazi Wakizeeka na kuaga dunia watoto wanaishi kwenye majumba mazuri lakini ukute hawana kipato
Watu wanapokuwa na uchumi na kipato kizuri hujenga mijengo ya maana kipato kikipungua au kustaafu wanashindwa hata kuifanyia maintanance mijengo yao wakifa ndo kabisa mdogomdogo kauswahili fulani kanaanza

Nimeanza kuona hii kitu hata pale Mbezi Beach hata huko Mbweni itaenda mwisho wa siku vipato vikipungua itabaki historia

Haya ndio yanayotokea baadhi ya maeneo ya Masaki.
 
Masaki ya leo sio ile tulivu ya kishua tena, limebaki jina tu.

Kuna ushamba katikati umetokea ata upanga wakati sisi tunakuwa yalikuwa maeneo ya wafanyakazi wa serikali wenye kipato cha kawaida hasa walimu. Eti siku hizi prime areas.

Yaani watu badala ya kutanua jiji wamevunja na kujenga maeneo hayo hayo machache na kuharibu mandhari ya maeneo; masaki kuna maeneo nilipita nikawa najiuliza hivi ndio hapa kweli ata kilima nyege sikukitambua niliposhuka kwa kushangaa.
Wakatanue jiji huko wamewekewa miundombinu
Maeneo mengi tu mfano goba,madale mbezi kimara watu wamejenga wajuavyowenyewe ndomana hata nyumba hazikai kwenye mtaa

Ova
 
Trend ya miji ya Kibongo ni kwamba pesa ikifumuka watu wanaanzisha ka-mji ka kishua wanafunga kuta na mageti makali. Watoto wanalelewa kishua kila kitu kipo. Wazazi Wakizeeka na kuaga dunia watoto wanaishi kwenye majumba mazuri lakini ukute hawana kipato. Mwisho wa siku wanauza majumba au wanaishi humo wakiendesha biashara haramu nao wanaaga dunia nyumba zinakaliwa na wajomba na mashamgazi ndo hao mnaowaona Masaki.
Mpangilio wa makazi sasa upo

Ova
 
Ni kama sisi huku wa
Chunya lupa tingatinga enzi hizo dhahabu tuliisoma tu kutoka katika historia
kwa yule jamaa wa Mali,
Mansakankanmusa.
Miaka ya zamani 80-90s ukisema unakaa Masaki ,Oysterbay,Upanga,Posta au Mikocheni ulikuwa unaogopeka......Ila kwasasa ukisema unakaa Mbweni(Zile Plots elfu 20 za Mkapa) unaogopeka....Masaki/Oysterbay wanakaa walinzi/wfanyakazi wa ndani tu siku hizi.
Obay masaki nayo ilichelewa sana kuwekwa miundo mbinu ya barabara

Ova
 
Dunia inabadilika,bibi yangu alinambia miaka ya 60 Masaki ilikuwa mashamba ya mpunga kuwa Residential area kwa wenye kipato cha kati ilianza miaka ya 80 na kuendelea..

Mabadiliko hayohayo ndio yamepelekea kuwa na vijiwe vya bodaboda kwa sasa mitaa ya Masaki au kuwa na Sea cliff Hotel,Samakisamaki,Peninsula Hotel,Element club ,Havoc club hapo Haile sellasie strip
Sleep way yote ile ilikuwa mashamba ya mikonge

Ova
 
Mkuu Kuna jambo kwenye logic yako hii linakosekana...
Sipend kuongelea sana mambo ya income kwa Tanzania maana ni taboo na matajir w a Tanzania wamejichanganya karibu kila Mahali.
Hoja ya uswazi, ni kama sinza flani hivi, ndiko Masaki inapoelekea... No HNWI atapenda kuish mazingira ya namna ile.

Hizo skyscrapers unazosema ndio zitaondoa kabisa hadh ya masaki kwa sabab ya security risks.
Bars, restaurants, shops, malls, street vendors, hospitals hotels.... na eneo ni dogo... kama kariakoo hivi.

Nakubali kwamba haitakuwa Uswaz kwa level za Tandika, lakini fikiria a person who can afford a rent of $60k to 120K p.a.

Yani hata akiona boda boda na vibajaj kwake ni some sort of identifiable risk...
Kumbuka hiyo ni premier residential in third world country...
If you know what I'm talking.
Maghorofa yanayojengwa masaki hayawezi kuwa kama ya Kariakoo, kwasababu viwanja ni vikubwa na kodi zitakuwa kubwa zaidi, kama kufanana basi kutafanana na Posta ila sio kariakoo
 
Tanzania hatuna mipango Miji sikuhizi hamna tofauti ya makazi ya watu,soko, makazi ya watu yamezungukwa na bar na Kila mtu kwenye nyumba yake anajenga fremu tu. In short sikuhizi makazi mazuri ya watu hamna, na hata aliyeanzisha wazo la fremu na wote kuiga sijui nani Yani fremu nyingi kuliko wateja
Ddm ilazo kila mtu anajenga fremu hili Ni ovyo sanaaa


Namkumbuka Dr matola alisema kbsa ukiona mtu anajenga frem kwenye makaz bas Ni kwamb mtu huyu Hana kipato Cha. Uhakika
 
Mkuu Kuna jambo kwenye logic yako hii linakosekana...
Sipend kuongelea sana mambo ya income kwa Tanzania maana ni taboo na matajir w a Tanzania wamejichanganya karibu kila Mahali.
Hoja ya uswazi, ni kama sinza flani hivi, ndiko Masaki inapoelekea... No HNWI atapenda kuish mazingira ya namna ile.

Hizo skyscrapers unazosema ndio zitaondoa kabisa hadh ya masaki kwa sabab ya security risks.
Bars, restaurants, shops, malls, street vendors, hospitals hotels.... na eneo ni dogo... kama kariakoo hivi.

Nakubali kwamba haitakuwa Uswaz kwa level za Tandika, lakini fikiria a person who can afford a rent of $60k to 120K p.a.

Yani hata akiona boda boda na vibajaj kwake ni some sort of identifiable risk...
Kumbuka hiyo ni premier residential in third world country...
If you know what I'm talking.
Well explained.
 
Back
Top Bottom