Kuna tofauti kubwa kati ya Masaki niliyoishi mimi na Masaki ya leo

Mabibo hostel ilianza1998 kama sikosei,Ila ujue ubungo mi kubwa Sana,kibangu,maziwa,kibo,msewe,shekilango NHC,urafiki,mabibo hostel imeafect sehemu ndogo ya ubungo
Mabibo hostel haijaanza 1998,mpaka 2001 ilikua haijaanza tumika na kituo Cha daladala kilikua pale bakwata
 
Ndio akiliza zako zilipo ishia? Kuna miji haibadiliki miaka 100 kama ni eneo.la.makazi ni la makazi na pia kuna aina za nyumba zinatakiwa kujengwa, hapo, Ukweli mipango miji kwa Tanzania ni shida sana
 
Roho ya kichawi
 
Ongezeko la watu
Ukuaji wa technolojia
Ongezeko la Waliosoma
Kuongezeka biashara

Haya yanasababisha sana watu wajitanue.
Kosa kubwa ni serikali ilishindwa pima viwanja na kupangilia matumizi mapema
 
Mkuu umekulia masaki ushuani.. siku hizi unateseka ukiwa wapi?
Baada ya kutoka Masaki tulihamia Oysterbay baada ya hapo nikaanza kujitegemea mwenyewe from msasani mafleti krb na ubalozi wa Marekani to Mbezi Makonde then Mikocheni B kwa sasa naishi Kinyerezi na ni kwa sababu ya kazi mimi si mpenzi wa kuendesha distance ndefu kwa kifupi nafanya kazi Julius Nyerere International Airport.Na siteseki, I live my life to the fullest.
 
Unazungumzia Mikocheni A... maana kule Mikocheni B kulikuwa na mashamba tulikuwa tunaenda kulima ..mnaondoka nyumbani asubuhi mnarudi jioni. Nimeswaga Ng'ombe sana toka Obey hadi Mikocheni B

Siyo Mikocheni ya Opposite na MayFair Plaza maana Kule ni full matola....Hata Obay ya Maandazi road /Macho nayo chaka.
 

Serikali inabidi itekeleze sheria zake ,watu huko dar wana ekari kibao wameziacha wala hawaziendelezi ,ndiyo wanafuga mapori ,ilitakiwa kama hawajaendeleza ndani ya miaka mitatu wanyanganywe wapime viwanja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…