inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Mabibo hostel haijaanza 1998,mpaka 2001 ilikua haijaanza tumika na kituo Cha daladala kilikua pale bakwataMabibo hostel ilianza1998 kama sikosei,Ila ujue ubungo mi kubwa Sana,kibangu,maziwa,kibo,msewe,shekilango NHC,urafiki,mabibo hostel imeafect sehemu ndogo ya ubungo
Ndio akiliza zako zilipo ishia? Kuna miji haibadiliki miaka 100 kama ni eneo.la.makazi ni la makazi na pia kuna aina za nyumba zinatakiwa kujengwa, hapo, Ukweli mipango miji kwa Tanzania ni shida sanaIko hivi miji inatanuka masaki ya zamani au sinza ya zamani au kinondoni ya zamani sio ya sasa hiviipo hivi watu wanahamia na watu wanaondoka kwaiyo miaka 20 ijayo masaki itakuwa ya kawaida kama sinza ya zamani kwaiyo mji mwingine utaibuka kuwa wakishua maana siku hizi wengi wanaamia kigamboni uko kuna mijengo ya maana au bagamoyo siku hizi mjini kuna makelele sana
Kusema kweli Masaki Obey wamewanyima barabara za mitaa zenye hadhi kwa muda mrefu sana! Sijui ni Kwanini hawaweki kwny mipango barabara nyingi zimechakaa sana.Obay masaki nayo ilichelewa sana kuwekwa miundo mbinu ya barabara
Ova
Kama uko karibu na bahari usiku unasikia mawimbi tu yakipiga kingo huku ukila upepo mwanana! Watta experience.Zamani obay na masaki unatembea unasikia million ya ndege na mbwa tu
Barabara dongo jekundu
Ova
Roho ya kichawiWatu wanapokuwa na uchumi na kipato kizuri hujenga mijengo ya maana kipato kikipungua au kustaafu wanashindwa hata kuifanyia maintanance mijengo yao wakifa ndo kabisa mdogomdogo kauswahili fulani kanaanza
Nimeanza kuona hii kitu hata pale Mbezi Beach hata huko Mbweni itaenda mwisho wa siku vipato vikipungua itabaki historia
Haya ndio yanayotokea baadhi ya maeneo ya Masaki.
Hayo maeneo ni unplanned na serikali kwa sababu ya siasa wameyaacha hivyoWakatanue jiji huko wamewekewa miundombinu
Maeneo mengi tu mfano goba,madale mbezi kimara watu wamejenga wajuavyowenyewe ndomana hata nyumba hazikai kwenye mtaa
Ova
Siasa hizoDdm ilazo kila mtu anajenga fremu hili Ni ovyo sanaaa
Namkumbuka Dr matola alisema kbsa ukiona mtu anajenga frem kwenye makaz bas Ni kwamb mtu huyu Hana kipato Cha. Uhakika
Badala wajenge warehouse maana biashara zinahamia mtandaoniWatanzania wengi tunapenda kuigana bila kuwa wabunifu na hata wenye frame unakuta hamna biashara
Ongezeko la watuMabadiliko haya yanatokana na kukua kwa mji pamoja na ongezeko la watu mjini. Nakubaliana na wote kuwa Masaki imebadilika sana lakini si Masaki peke yake hata maeneo mengine nayo yamebadilika kutokana na kukua kwa mji
Sinza leo badala ya makazi imegeuka kuwa sehemu ya biashara kama Kariakoo. Maeneo ya Kimara ambako kulikuwa ni nje ya mji watu walikuwa wanaenda kule kujenga makazi na ufugaji leo hii ni makazi tena overpopulated. Mji umesogea mpaka mkoa wa Pwani Bagamoyo na Kibaha imeungana na DSM
Afu hawajatenga maeneo ya parkingMasaki siku hizi wanakuja Hadi Tarura wanafunga cheni magari ya watu kama Magomeni.
Sio kuvuka tu.Kigamboni kuna mijengo ya kistaa ajabu [emoji1787] halafu tulivuuu! Ila ushenzini still kupo kupo. Kuvuka vuka maji ndio kitu kimenishinda kuishi kisiwa cha Kigamboni
Serikali za Mitaa ndo tatizoHahahah hili kwa kweli hata mimi sielewi inabidi tuanzishe uzi kabisa tuulizane. Kwanini kila mtu akijenga nyumba kama ana eneo anaweka fremu mbele ya nyumba? In most cases nyingi zinakuwa useless sababu hamna wapangaji.
Baada ya kutoka Masaki tulihamia Oysterbay baada ya hapo nikaanza kujitegemea mwenyewe from msasani mafleti krb na ubalozi wa Marekani to Mbezi Makonde then Mikocheni B kwa sasa naishi Kinyerezi na ni kwa sababu ya kazi mimi si mpenzi wa kuendesha distance ndefu kwa kifupi nafanya kazi Julius Nyerere International Airport.Na siteseki, I live my life to the fullest.Mkuu umekulia masaki ushuani.. siku hizi unateseka ukiwa wapi?
Unazungumzia Mikocheni A... maana kule Mikocheni B kulikuwa na mashamba tulikuwa tunaenda kulima ..mnaondoka nyumbani asubuhi mnarudi jioni. Nimeswaga Ng'ombe sana toka Obey hadi Mikocheni B
Huko mbweni nilifika ni balaa, hakuna mjengo wa kinyonge hata mmoja ingawa nyingi ni za wastaafu
Na mpaka leo bado inasuasua tu yale yaleOngezeko la watu
Ukuaji wa technolojia
Ongezeko la Waliosoma
Kuongezeka biashara
Haya yanasababisha sana watu wajitanue.
Kosa kubwa ni serikali ilishindwa pima viwanja na kupangilia matumizi mapema
Mabadiliko haya yanatokana na kukua kwa mji pamoja na ongezeko la watu mjini. Nakubaliana na wote kuwa Masaki imebadilika sana lakini si Masaki peke yake hata maeneo mengine nayo yamebadilika kutokana na kukua kwa mji
Sinza leo badala ya makazi imegeuka kuwa sehemu ya biashara kama Kariakoo. Maeneo ya Kimara ambako kulikuwa ni nje ya mji watu walikuwa wanaenda kule kujenga makazi na ufugaji leo hii ni makazi tena overpopulated. Mji umesogea mpaka mkoa wa Pwani Bagamoyo na Kibaha imeungana na DSM
Siyo Chile ni Chole.Kweli mkuu nimekulia Chile Road, nakubaliana na wewe
Sheria hiyo ipoSerikali inabidi itekeleze sheria zake ,watu huko dar wana ekari kibao wameziacha wala hawaziendelezi ,ndiyo wanafuga mapori ,ilitakiwa kama hawajaendeleza ndani ya miaka mitatu wanyanganywe wapime viwanja.
IombeeRoho ya kichawi