John_Anthony
JF-Expert Member
- Mar 27, 2024
- 290
- 460
Ujiandae kuliwa takoBinafsi napenda mbwa sana. Na nimejifunza tangu zamani lazima chakula cha mbwa kipikiwe
Sasa kuna clip naona mbwa wanalishwa chakula au nyama mbichi fresh tu. Je hii haina madhara kwene makuzi ya mbwa hasa wizi wa mifugo na udokozi
Na wewe andika vizuri, inauzi ni Kirundi au lugha gani?Aisee inauzi
Je wezi wakimtupia hao dagaa si atakula tuMbwa wetu hapa ni mwendo wa dagaa tu. Wanasema mbwa aliyezoea nyama mbichi ni rahisi kula kuku na hata wezi wakimrushia nyama usiku anaweza kula
Wacha makasiriko mkuuHuu upumbufu umezidi sasa!!!
Paw
Active
JamiiForums
Na moderator wengine, fatilia ujinga anapost huyu Perfectz then mtwambie ni nini au mmezibwa macho??
Mada serious mtu anatuandikia utumbo huu??
Shwain kabisa
Hybrid gani ww unaongelea? Anamla binadamu. Na ikumbukwe pitbul ni man made Dog. Watakataza kuendelea. Kutengeneza mbwa kama pitbull. Maana annytime anabadirisha tabia na si kumla binadamu au mbwa mwenzake.Mwenzio sikuimaliza maana inatisha sana, Mbwa mtata sana nazungumzia Hybrid SIO hawa changanyikeni wavuka barabara
hivi nyie huwa mnajuaje kuwa server zimejaa?Wanajua kufuta mada za msingi na kuwapa Ban watu wanaokuwa na hoja za msingi, ila upumbavu kama huu huwa hawafuatilii na ndio servers za Jf zimejaa huu upuuzi.
Wezi wao wanawaza nyama wanajua ndio chakula pendwa cha mbwa sio dagaaJe wezi wakimtupia hao dagaa si atakula tu
Pita GOBA hapo PITBULL wamejaa kibao Mkuu, wewe unaongea kiushabiki shida ndio inaanzia HAPO Ila kuna Mbwa Wewe ukiwekewa anakutafuna vizuri tupitbul ni man made Dog. Watakataza kuendelea. Kutengeneza mbwa kama pitbull.
NGOJA nikutafutie Video maana naona umezidi ubishi na nikikupa Video sijui utazua Jambo gani jingine ukichaa?Tujue kutofautisha kula na kumuuma au kumuumiza. Tusilete mjadala mbwa kumla binadamu hapa. Mnatoka nje ya mada kabisa ya thread
Hawampi Mbichi wanampa Nyama Choma Ile iliyookwa yenye Damu Damu isiyoiva sana especially KIDALI watafunetafune na Ile mifupaWezi wao wanawaza nyama wanajua ndio chakula pendwa cha mbwa sio dagaa
Leta video ya mbwa anamla binadamu. Hata za you tube auu huko dark web sijui. Leta hapa hata link.Pita GOBA hapo PITBULL wamejaa kibao Mkuu, wewe unaongea kiushabiki shida ndio inaanzia HAPO Ila kuna Mbwa Wewe ukiwekewa anakutafuna vizuri tu
Sasa nimeshangaa unaposema uzalishwaji kufanyaje? Wanazalishwa tu na Watu bado wanawanunua km kawaida, ngoja nikutafutie HIO Video Ila nakupa ONYO Video inatishaLeta video ya mbwa anamla binadamu. Hata za you tube auu huko dark web sijui. Leta hapa hata link.
Nakuhusu pitbull kujaa Goba, acha wajae. Si hela tu. Kwani wanauzwa milioni 300. Ishindikane. Tena wapo wengi saaaana.
Leta video. Swala la kuzalishwa nimekwambia wanataka kulikwamisha sio bongo. Huyo pitbull ni breed ya huko marekani, ila chama cha wamiliki wa mbwa hakitambui huyo mbwa ni crossed bull na terrier dog. Miaka na miaka ila amekua hatari sana kwa kushambulia binadamu. Hivo wanataka kusimamisha uzalishaji wake marekani.Sasa nimeshangaa unaposema uzalishwaji kufanyaje? Wanazalishwa tu na Watu bado wanawanunua km kawaida, ngoja nikutafutie HIO Video Ila nakupa ONYO Video inatisha
Kama ni wa nyumbani anaangalia movies mpikie lkn km ni mindaji huyo nyama mbichi inampa hamasa ya kuwinda zaidi na hii hata kwa mbwa mlinzi inafaa kumuongezea hasira.Binafsi napenda mbwa sana. Na nimejifunza tangu zamani lazima chakula cha mbwa kipikiwe
Sasa kuna clip naona mbwa wanalishwa chakula au nyama mbichi fresh tu. Je hii haina madhara kwene makuzi ya mbwa hasa wizi wa mifugo na udokozi
mbwa wa nyumban na home kuna mifugoKama ni wa nyumbani anaangalia movies mpikie lkn km ni mindaji huyo nyama mbichi inampa hamasa ya kuwinda zaidi na hii hata kwa mbwa mlinzi inafaa kumuongezea hasira.
Ya kupika,kuchoma au kukaanga tunawapa wale wazururaji ili iwaepushe kupewa vyakula vibichi vyenye sumu. Akipewa akagundua hakijapikwa hali.
Nmekuelewa Mkuu Ila Pitbull Bongo wamejaa kibao usisahau hilo, subiri nikuletee HIO Video Ila nimeshakupa Warning weka mbali na Watoto usiseme sikukuambiaLeta video. Swala la kuzalishwa nimekwambia wanataka kulikwamisha sio bongo. Huyo pitbull ni breed ya huko marekani, ila chama cha wamiliki wa mbwa hakitambui huyo mbwa ni crossed bull na terrier dog. Miaka na miaka ila amekua hatari sana kwa kushambulia binadamu. Hivo wanataka kusimamisha uzalishaji wake marekani.
Bongo Unga tu mnasukuma. Nenda Canada au China kama kuna upuuzi kama huo. Sheria ni kali.
Unasema kweli mkuu, nyama mbichi kwa mbwa inampa afya sana.Haya nijibu kwa serious kwa maono yangu,.
Kumlisha nyama mbichi mbwa huwa kwasababu, kwanza, anakua na mwili wenye nguvu(fatilia hii kwa mbwa. Wengi wanaokula nyama mbichi), Anakua na mwili wenye afya, hata maagonjwa huwa nadra sana kwake, anakua na manyoya yanayong'aa muda wote, meno meupe auu masafi, na hata utumbo wake unakua na uchakataji mzuri wa chkula kuhakikisha ukuaji wake bora.
Na pia, mbwa anayelishwa hivo sahau kumkuta kadaka kuku au kala nyama jikoni. Mbwa hana tabia hiyo. Au eti aje kumla binadamu. Yeye atakula kile tu anachopewa.
Kunenepa kwa Mbwa SIO kula Nyama Mbichi kunenepa kwa Mbwa ni kumpa Chakula cha kutosha kwa Wakati na kuzingatia asiugueugue ovyoovyo Mbwa akiugua afya yake inazorota anakonda sana na manyoya yanakosa muonekano mzuriUnasema kweli mkuu, nyama mbichi kwa mbwa inampa afya sana.
Kuna jamaa anafuga rottweiler ni vidogo anavipa nyama mbichi vimenenepa sana.
Ale mbichi,huyo ni mlinzi na muwindaji.mbwa wa nyumban na home kuna mifugo