makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Mie sikulazimishi, ila ujue jamii yetu inapotea.🤣🤣🤣 Thubutuu!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mie sikulazimishi, ila ujue jamii yetu inapotea.🤣🤣🤣 Thubutuu!!
🤣🤣🤣🤣🤣😂🤣🤣 We huna upendo na jamii yetu.
🤣🤣🤣 ipotee masihara yaisheMie sikulazimishi, ila ujue jamii yetu inapotea.
Jamii yetu inatutegemea sisi ujue, uamuzi wetu ndio aidha muendelezo wa kizazi chetu au upotevu wa kizazi chetu.🤣🤣🤣🤣
😳😳😳 we sio group O nishagundua ni undercover, umekuja ili group letu lipotee.🤣🤣🤣 ipotee masihara yaishe
🤣🤣🤣🤣 Makaveli una mistari mtu wangu itakuwa umekula papuchi za wadada wengi kimasihara weweJamii yetu inatutegemea sisi ujue, uamuzi wetu ndio aidha muendelezo wa kizazi chetu au upotevu wa kizazi chetu.
THINK TWICE.
😂😂😂😂😂 khaaaaaa!!!😳😳😳 we sio group O nishagundua ni undercover, umekuja ili group letu lipotee.
😳😳😳🤣🤣🤣🤣 Makaveli una mistari mtu wangu itakuwa umekula papuchi za wadada wengi kimasihara wewe
Ndio we mamluki kama wewe sio mamluki kwanini unatia mgomo?😂😂😂😂😂 khaaaaaa!!!
Ko me mamluki? 🤣🤣
Mfyuuu 🤣🤣🤣🤣😳😳😳
Hapana, sijawahi kabisa.
Nakwambia ukweli kabisa na mchanga nalamba. 😂Mfyuuu 🤣🤣🤣🤣
Thubutuuu!!
Ko lazima nishiriki zoezi 🤣🤣🤣Ndio we mamluki kama wewe sio mamluki kwanini unatia mgomo?
Nakataa mpk kesho!!Nakwambia ukweli kabisa na mchanga nalamba. 😂
Ndio, sasa uzao utaendeleaje..Ko lazima nishiriki zoezi 🤣🤣🤣
Utakataa sababu ya ujeuri wako tu..Nakataa mpk kesho!!
Wewe ulivyochachuka hivo?
Ushapiga wadada wengi free P 🤣🤣🤣🤣
Makaveli una sound sijawahi kuona!!! 🤣🤣🤣Ndio, sasa uzao utaendeleaje..
Elewa kiswahili tunafanya kwa sababu ya....... Na sio burudani.
Basi tutafanya huku hatutizamani usoni😂😂
Huoni kama wewe ndiyo unateseka (unatatizo)? Katika maisha yako jifunze kusamehe na kuachilia mambo moyoni mwako.Mimi siumii wala sina mpango naw tena sababu sina desturi ya kumtafuta hata kwa bahati mbaya na kubwa zaidi hata namba zake za simu hazipo kwenye phonebook yangu.Kuna siku alipiga simu mpaka ikabidi nimuulize "naongea na nani", sio kwamba nilikua namtania ila ni kweli sikujua naongea na nani mana sauti binadamu huwa zinafanana.Siku hiyo ndo alijua kumbe hata namba zake nishafuta na akaanza kunambia eti oooh mbona me namba zako zote ninazo nikashangaaa sana.Mimi nikishaacha mwanamke nimeacha haijalishi uko mbeleni nitapa shida au la mana sio yeye peke yake ndo anaweza kunipa msaada.
🤣🤣🤣🤣 umewatafuna ndio, mjanja mjanja sana weweUtakataa sababu ya ujeuri wako tu..
Haya ni maneno tu,