Kuna ubaya kutoa nywele za katikati ya makalio, katika ule mfereji wote?

Vyuma vimebana kweli kweli.juzi mwingine kapigilia viatu vya kike na kasema yupo tayari hata kupigilia bikini iwapo atapewa kiasi ili atangaze biashara mkuu.sasa nawaza kwa sauti ikimpendeza itakuaje kama watu watataka na marinda.na je kwenye huo mfereji wa tako hizo nywele atazinyoa kwanza au?_na je mleta mada kuna deal umepeta la kutangaza nguo za kike kama yule jamaa,!
 
Zote ni private hair zinawajibika kunyolewa zinapokuwa zimezidi
Mana unaweza ukafuga uchafu
Alafu kuhusu ishu zingine inakuwa siri ya mtu na mungu wake
Akinyoa za kwake akiacha za kwake
We huzioni na yeye hazioneshi
Na mungu ndiye mwenye kujua zaidi
 
Kwani vipi zinakuletea usumbufu flani?[emoji54]
 
Mkuu nyoa tu huwa zinaota tena kama nywele nyingine
 
Wanaponda sana usikute wananyolewa sana tu halafu wametuliaa
 
Hahah mfereji wa Suez siyo. Hili swala ungejadiliana na mkeo au demu wako anazionaje kama hazitaki akunyoe mwenyewe kama unaujasiri wa kumruhu ashike makalio yako
 
mie nawaza huo mkao wakati wa kunyoa iyo maneno
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…