Kuna ubaya kutoa nywele za katikati ya makalio, katika ule mfereji wote?

Naona unataka kupalilia kipele sasa sijui una nia gani au unawashwa washwa? Acha hizo weweee!!!
 
Yanini kupoteza muda kunyoa just kunywa tu maji y betri yatatoka yenyewe
 


Kwani boy friend wako anasemaje....anakupenda ukiwa na para makalioni au? Ushauri wetu hapa utakupotosha, msikilize tu boy friend wako.
 
Aise nlishawahi kukwangua hzo nywele nlipata upele kunako huo mfereji aise cji kunyoa ,wacha ziwe km kichaka tu
 
Ukijamba utatoa sauti kubwa
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamani jamiiforum kila kitu utakipata,wustaarabu,wavuta bange,wenye mawazo chanya NA mgando dahaa jamani jamani huyu nae sasa dohooo
 
Daaaa JF ukiwa na stress zinaisha, sasa nywele za nyuma unataka uzitoe mtoto wa kiume za nini?
 
Naandika uzi mwinginee kuthibitisha kwamba inafaa na ni usafi kwa mwanaume kutoa nywele zilizopo baina ya makalio mawili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…