Kuna Ufisadi wa kutisha Mamlaka ya Maji Arusha (AUWSA)

Kuna Ufisadi wa kutisha Mamlaka ya Maji Arusha (AUWSA)

Eti kutaka Uraisi” nonsense kabisa, sio kila Kiongozi anaetimiza wajibu wake ana mawazo hayo; wengine wameumbwa hivo, akili ndogo namna hii zimefika vp humu JF, tumezoea hili ni jukwaa la critical thinkers
Waziri Juma Aweso ni Mwizi kala pesa mradi wa A to Z Arusha kwa Kushirikiana Rujomba na Tumaini Engineer

Aweso labda awe Rais wa Coastal Union

Au Rais wa Wanaume waliopora wake wa watu ..

Mke wake mdogo Dc wa Bagamoyo kapora mtu .. Ogopa Kiongozi Mzinzi na Mla Rushwa ukiwa na Combination ya hizi unakuwa Sadist
 
Huu ni Mwezi wa Saba AUWSA awana Vifaa vya kufanya extension ( Kuongeza mtandao wa Majisafi) wateja wanateseka… Rujomba yupo busy na kupiga dili
 
PCCB chunguzeni na Variation katika mradi Mkubwa wa maji wa 520 bilion kuna Variation zimetengenezwa kwa ajili ya Upigaji wa zaidi ya 15 bilion

It’s very simple ombeni Mkataba wa wakandarasi wa Mradi Mkubwa na Consultancy na ombeni kiasi Cha Pesa walicholipwa kuna upigaji Mkubwa sana

Kwa Upande wa Consultancy Cheil engineering pia Ombeni Mkataba wake na ombeni kiasi alicholipwa.. Nchi hii inachezewa sana.

Wakorea waliokuwa wanafanya Cheil Consultancy walikataa huu ujinga Eng Rujomba akawatimua akamleta Eng Hosea Kama Mtaalam kwa kufanikisha Ufisadi .. Walikuwa na Eng Hosea Moshi Miaka ya nyuma
 
Kuna ufisadi Mkubwa unafanyika Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Jijini Arusha (AUWSA). Ufisadu huu unafanywa na Mkurugenzi wa Mamlaka ya Majisafi AUWSA, Eng. Justine Rujomba kwa kushirikiana na Waziri wa Maji Ndg. Juma Aweso na Katibu Mkuu Engineer Sanga.

Kuna Mradi wa Ujenzi wa Mtandao wa Uondoaji huduma ya Majitaka Eneo la Kisongo A to Z wenye thamani ya Tzs 3.5 bilion amepewa Mkandarasi 'Tumaini Engineering' bila tenda kutangazwa huu ni ukiukwaji wa taratibu za Ununuzi pamoja na Waziri wa Maji Ndg. Aweso, Katibu Mkuu Eng. Sanga na Bodi ya AUWSA chini ya Dr. Masika kuwa na taarifa juu ya Ufisadi huu wameshindwa kuchukua hatua yoyote.

Watumishi wa AUWSA waliandika barua kwa Waziri Aweso kumtaarifu juu ya Ufisadi wa Mradi wa Majitaka wa A to Z cha kusikitisha Waziri alimpatia barua MD wa AUWSA na kumtaadharisha kukaa mbali na Technical Manager Eng. Humphrey Mwombelwa badala ya Waziri kuifanyia kazi barua yeye akamchonganisha MD na TM hivyo kumlazimisha TM kuacha kazi. Ni aibu na Kinyume cha Maadili ya Utumishi wa Umma kwa Waziri kutoa taarifa za siri kwa mhusika.

Serikali ilitoa TZS 3 billion zitumike kujenga mtandao wa majisafi Longido hadi Namanga kwa kutumia Force Account, cha Kusikitisha MD wa AUWSA ameipatia kazi ya Ujenzi kampuni ya Tumaini Engineering bila kufuata taratibu za Ununuzi zabuni haikutangazwa kama taratibu zinavyotaka.

Pamoja na Serikali kuzuia Posho, Management ya AUWSA na wasimamizi wa mradi kila mwisho wa Mwaka wanajilipa posho kila Mmoja TZS 1 Million hadi 5 Million za Sikukuu ya Noeli (Christmas) huku upotevu wa Maji NRW ukiwa ni asilimia 54. Serikali ilishapiga marufuku Posho za Sikukuu.

Ofisi ya Rais, Waziri Mkuu, PCCB Makao Makuu (PCCB wa Arusha wamewekwa Mfukoni) tuna imani sana na ofisi zenu; tumeni wakaguzi huru wachunguze Ufisadi unaondelea AUWSA.
Uwiii! Dr. Richard Masika tena? Yule aliyefukuzwa Arusha Technical College kwa ufisadi serikali imempa uenyekiti wa bodi? Hivi nchi hii watu wenye maadili wameisha mpaka ateuliwe mtu alishafukuzwa tangia 2017? Hii Serikali ina nini? Mama Samia Raisi wetu mpendwa Masika ni fisadi aliyeshindikana ataongoza bodi ipi kwa uadilifu upi?
 
PCCB na Chunguzeni kwanini Mkandarasi na Consultancy wa Mradi Mkubwa wanaongezewa muda kila Siku na kazi wanafunga saa 9:30 Jioni Kama wanajua muda ni Mchache kwa nini wasipige kazi Days and Night? Mradi ulitakiwa kukamilika June 2020 hadi leo wakazi wa Arusha awana Maji

Eng Aweso yeye Akija anavuta Fedha anachukuliwa Room Mount meru Hotel anasepa

Eng Sanga ni Mwadilifu ila awezi mgusa Rujomba amemuajiri Mdogo wake anaitwa Emanuel Sanga yupo ofisi ya Mradi Auwsa na yeye ni mnufaika wa Zile 5 Milion za kila sikukukuu za Christmas na Pasaka
 
PCCB na Chunguzeni kwanini Mkandarasi na Consultancy wa Mradi Mkubwa wanaongezewa muda kila Siku na kazi wanafunga saa 9:30 Jioni Kama wanajua muda ni Mchache kwa nini wasipige kazi Days and Night? Mradi ulitakiwa kukamilika June 2020 hadi leo wakazi wa Arusha awana Maji

Eng Aweso yeye Akija anavuta Fedha anachukuliwa Room Mount meru Hotel anasepa

Eng Sanga ni Mwadilifu ila awezi mgusa Rujomba amemuajiri Mdogo wake anaitwa Emanuel Sanga yupo ofisi ya Mradi Auwsa na yeye ni mnufaika wa Zile 5 Milion za kila sikukukuu za Christmas na Pasaka
 
Huyu Waziri namjua vzr mamlaka nyingi za maji ameweka watu wake wa karibu sn, kimsingi mkuu hii nchi ni shamba la bibi kila mtu ale kwa urefu wa kamba ake hakuna namna maana pamejaa uozo tupu kila kona.
Mama amewasaidia amewaambia wasivimbiwe
 
Natamani hizi taarifa zifike kwenye mamlaka husika na hatua zichukuliwe mapema sana, sio poa aisee
 
PCCB chunguzeni na Variation katika mradi Mkubwa wa maji wa 520 bilion kuna Variation zimetengenezwa kwa ajili ya Upigaji wa zaidi ya 15 bilion

It’s very simple ombeni Mkataba wa wakandarasi wa Mradi Mkubwa na Consultancy na ombeni kiasi Cha Pesa walicholipwa kuna upigaji Mkubwa sana

Kwa Upande wa Consultancy Cheil engineering pia Ombeni Mkataba wake na ombeni kiasi alicholipwa.. Nchi hii inachezewa sana.

Wakorea waliokuwa wanafanya Cheil Consultancy walikataa huu ujinga Eng Rujomba akawatimua akamleta Eng Hosea Kama Mtaalam kwa kufanikisha Ufisadi .. Walikuwa na Eng Hosea Moshi Miaka ya nyuma
Tunafaatilia kwa karibu hizi tuhuma
 
Waziri wa Utumishi na Utawala bora , Kamishna Mkuu wa PCCB tusaidieni kushughulikia suala la Ufisadi wa A to Z Takukuru Arusha wamewekwa Mfukoni.
 
Eng Rujomba na Meneja Rasirimali watu Kanyanza wananyanyasa wafanyakazi

Wamezuia watumishi kupewa Ruhusa za kuuguza hadi wawe na barua ya Mganga Mkuu wa Hospital alipolazwa Mgonjwa ,

Wamezuia Mtumishi kushiriki msiba wa Ndugu , Rafiki au Jirani hadi aonyeshe cheti cha kifo.. Swali la Msingi ni Jirani gani atatoa cheti cha kifo ? Na itatakiwa atoe vyeti vingapi ili watumishi wapate ruhusa?

Mtumishi akipata Mgonjwa au kufiwa Weekend cheti atapeleka kwa nani ? Auwsa
Awafanyi kazi weekend.

Rujomba Jibu hoja za Ufisadi wa A to Z

Kanyanza Uliiba Cement Mifuko 200 Lorovani zirudishe.

PCCB Arusha acheni kula Rushwa.
 
Poleni na majukumu ya kazi, kumekuwa na changamoto za kuomba ruhusa za kawaida kwa watumishi kwa sababu mbalimbali, tunapenda kutoa maelekezo kuwa , watumishi wanaelekezwa kutumia muda wao wa likizo kushughulikia changamoto za kifamilia zinazojitokeza, Kama Umefiwa leta cheti cha Kifo kama unauguza Leta barua ya Mganga Mkuu wa Hospital alipolazwa Mgonjwa pale inapolaziju kuomba ruhusa ya kusafiri kwenda nje ya kituo chako cha kazi jitahidi kuweka kiambatisho / cha sababu uliyoitoa kwenye maombi yako ya ruhusa, mf , naomba ruhusa kwenda kumwona baba mgonjwa , au amelazwa, tunawaelekeza kuweka Cheti cha kifo kama kuuguza weka Barua ya mganga Mkuu kingine kitakachoonyesha uwepo wa mgonjwa au sababu uliyoombea ruhusa!mnaidhinisha ruhusa hizi hatua za awali , tafadhali zingatieni haya!

Kanyanza K. R
Meneja Rasirimali Watu na utawala
AUWSA
 
Poleni na majukumu ya kazi, kumekuwa na changamoto za kuomba ruhusa za kawaida kwa watumishi kwa sababu mbalimbali, tunapenda kutoa maelekezo kuwa , watumishi wanaelekezwa kutumia muda wao wa likizo kushughulikia changamoto za kifamilia zinazojitokeza, Kama Umefiwa leta cheti cha Kifo kama unauguza Leta barua ya Mganga Mkuu wa Hospital alipolazwa Mgonjwa pale inapolaziju kuomba ruhusa ya kusafiri kwenda nje ya kituo chako cha kazi jitahidi kuweka kiambatisho / cha sababu uliyoitoa kwenye maombi yako ya ruhusa, mf , naomba ruhusa kwenda kumwona baba mgonjwa , au amelazwa, tunawaelekeza kuweka Cheti cha kifo kama kuuguza weka Barua ya mganga Mkuu kingine kitakachoonyesha uwepo wa mgonjwa au sababu uliyoombea ruhusa!mnaidhinisha ruhusa hizi hatua za awali , tafadhali zingatieni haya!

Kanyanza K. R
Meneja Rasirimali Watu na utawala
AUWSA
Barua ya HRM AUWSA kwa watumishi .. its so sad
 
Kuna ufisadi Mkubwa unafanyika Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Jijini Arusha (AUWSA). Ufisadu huu unafanywa na Mkurugenzi wa Mamlaka ya Majisafi AUWSA, Eng. Justine Rujomba kwa kushirikiana na Waziri wa Maji Ndg. Juma Aweso na Katibu Mkuu Engineer Sanga.

Kuna Mradi wa Ujenzi wa Mtandao wa Uondoaji huduma ya Majitaka Eneo la Kisongo A to Z wenye thamani ya Tzs 3.5 bilion amepewa Mkandarasi 'Tumaini Engineering' bila tenda kutangazwa huu ni ukiukwaji wa taratibu za Ununuzi pamoja na Waziri wa Maji Ndg. Aweso, Katibu Mkuu Eng. Sanga na Bodi ya AUWSA chini ya Dr. Masika kuwa na taarifa juu ya Ufisadi huu wameshindwa kuchukua hatua yoyote.

Watumishi wa AUWSA waliandika barua kwa Waziri Aweso kumtaarifu juu ya Ufisadi wa Mradi wa Majitaka wa A to Z cha kusikitisha Waziri alimpatia barua MD wa AUWSA na kumtaadharisha kukaa mbali na Technical Manager Eng. Humphrey Mwombelwa badala ya Waziri kuifanyia kazi barua yeye akamchonganisha MD na TM hivyo kumlazimisha TM kuacha kazi. Ni aibu na Kinyume cha Maadili ya Utumishi wa Umma kwa Waziri kutoa taarifa za siri kwa mhusika.

Serikali ilitoa TZS 3 billion zitumike kujenga mtandao wa majisafi Longido hadi Namanga kwa kutumia Force Account, cha Kusikitisha MD wa AUWSA ameipatia kazi ya Ujenzi kampuni ya Tumaini Engineering bila kufuata taratibu za Ununuzi zabuni haikutangazwa kama taratibu zinavyotaka.

Pamoja na Serikali kuzuia Posho, Management ya AUWSA na wasimamizi wa mradi kila mwisho wa Mwaka wanajilipa posho kila Mmoja TZS 1 Million hadi 5 Million za Sikukuu ya Noeli (Christmas) huku upotevu wa Maji NRW ukiwa ni asilimia 54. Serikali ilishapiga marufuku Posho za Sikukuu.

Ofisi ya Rais, Waziri Mkuu, PCCB Makao Makuu (PCCB wa Arusha wamewekwa Mfukoni) tuna imani sana na ofisi zenu; tumeni wakaguzi huru wachunguze Ufisadi unaondelea AUWSA.
hii nchi ni ya hovyo sana
 
Poleni na majukumu ya kazi, kumekuwa na changamoto za kuomba ruhusa za kawaida kwa watumishi kwa sababu mbalimbali, tunapenda kutoa maelekezo kuwa , watumishi wanaelekezwa kutumia muda wao wa likizo kushughulikia changamoto za kifamilia zinazojitokeza, Kama Umefiwa leta cheti cha Kifo kama unauguza Leta barua ya Mganga Mkuu wa Hospital alipolazwa Mgonjwa pale inapolaziju kuomba ruhusa ya kusafiri kwenda nje ya kituo chako cha kazi jitahidi kuweka kiambatisho / cha sababu uliyoitoa kwenye maombi yako ya ruhusa, mf , naomba ruhusa kwenda kumwona baba mgonjwa , au amelazwa, tunawaelekeza kuweka Cheti cha kifo kama kuuguza weka Barua ya mganga Mkuu kingine kitakachoonyesha uwepo wa mgonjwa au sababu uliyoombea ruhusa!mnaidhinisha ruhusa hizi hatua za awali , tafadhali zingatieni haya!

Kanyanza K. R
Meneja Rasirimali Watu na utawala
AUWSA
Poleni na majukumu ya kazi, kumekuwa na changamoto za kuomba ruhusa za kawaida kwa watumishi kwa sababu mbalimbali, tunapenda kutoa maelekezo kuwa , watumishi wanaelekezwa kutumia muda wao wa likizo kushughulikia changamoto za kifamilia zinazojitokeza, Kama Umefiwa leta cheti cha Kifo kama unauguza Leta barua ya Mganga Mkuu wa Hospital alipolazwa Mgonjwa pale inapolaziju kuomba ruhusa ya kusafiri kwenda nje ya kituo chako cha kazi jitahidi kuweka kiambatisho / cha sababu uliyoitoa kwenye maombi yako ya ruhusa, mf , naomba ruhusa kwenda kumwona baba mgonjwa , au amelazwa, tunawaelekeza kuweka Cheti cha kifo kama kuuguza weka Barua ya mganga Mkuu kingine kitakachoonyesha uwepo wa mgonjwa au sababu uliyoombea ruhusa!mnaidhinisha ruhusa hizi hatua za awali , tafadhali zingatieni haya!

Kanyanza K. R
Meneja Rasirimali Watu na utawala
AUWSA
Rujomba umekula pesa za Mradi wa A to Z sasa unataka uwe mungu mtu unataka kuwapangia Ugonjwa Wazazi wa Watumishi waugue kipindi wakiwa likizo

Unataka kuwapangia watumishi wa AUWSA wafiwe kipindi wakiwa Likizo

Ya Mungu ni mengi kuna Msemo wa kichaga unasema “ Ukishiba sana Usimuonyeshe Mungu tumbo lako” Rujomba na AWESO Mmeshiba Pesa za Mradi wa A to Z msituonyeshe mungu matumbo yenu

Kanyanza Umeiba Cement ukajenga nyumba yako kisongo Jamba Kimya kimya kwenye shuka ukijua Nyumba umejenga wa cement za Wizi.
 
Upigaji hautakaa uishe unless kuwe na nia na hatua madhubuti zinazochukuliwa.
 
Mamlaka zichunguze ili ukweli ubainike kama ni kweli au sio kweli
 
Mamlaka zichunguze ili ukweli ubainike kama ni kweli au sio kweli
PPRA walituma wataalam wakakuta ufisadi kumpata Mkandarasi ( Tumaini Engineering ) wa Kujenga mtandao wa uondoaji Majitaka A to Z

Kamanda wa Takukuru Arusha Kamanda Ruge ana report amefungia kwenye droo..

Tunaomba Kamishna Wa PCCB Hamduni asaidie haki itendeke .. Wakiendelea kukaa kimya tutaita Presss kuongea na Media Nchi hii imechezewa sana,
 
Back
Top Bottom