Kuna Ufisadi wa kutisha Mamlaka ya Maji Arusha (AUWSA)

Kuna Ufisadi wa kutisha Mamlaka ya Maji Arusha (AUWSA)

Ungekuwa na akili usingetoa huu uharo wako hapa! Ungekuwa na akili ungegundua huyu aliyelalamika ni mpika majungu ofisini, hajui nini kinaendelea ofisini na wala hajui taratibu za ofisi aliyopo na ni mvivu, hajui majukumu yake! Hivyo wamemuacha na kumpuuza bila kupangiwa kazi yo yote. Na hiyo ni kwa kumsaidia astaafu salama vinginevyo atafukuzwa kazi ili ale jeuri yake!
Ila nadhani kwenye suala la elimu utakua unamuonea bure,kua na elimu kubwa masters au PHD sio kwamba ndio kua na uwezo wa kuongoza taasisi,hizi masters,PhD mara nyingi hua ni rubish tu,na sijui kwa nini hua zimewekwa kwenye kupima uwezo wa kuongoza,na labda nachoona kuna watu hapo wanaomuonea Wivu kwa kua wao hawajapewa huo ukurugenzi.

Sometimes kwenye maisha sio lazima ukisoma sana ndio uje kua kiongozi, kuna watu ni gifted na inatokea tu pamoja na kua wana elimu ndogo, kama Nyerere,Samia, JK.

Mtu akiwa na bachelor degree safi,uwezo wa kuongoza anao,ametulia kiakili, exposure anayo,mvumilivu kwenye maamuzi,hivyo hua vinatosha, ila kibongo bongo yaani mpk mtu awe na masters ndio anaonekana ana uwezo.

Nchi hii imeongozwa na viongozi wengi wenye one degree only na nchi imetulia,Mawaziri wengi wana bachelor degree na wanaongoza wizara sembuse taasisi?

Kigezo cha elimu kubwa ndio kua na uwezo wa kuongoza ni upuuzi, kuna masters, Phds kibao ila ni ovyo.degree moja inatosha kuongoza hataa nchi, mtu atapata course mbili tatu za management mambo yanaenda.

Kwenye suala la elimu hapo utakua unamuonea na madai yako yataonekana yanaongozwa na hatred ,may be kwa kutumwa au wewe mwenyewe labda mambo mengine.
Inatakiwa wabadilishe scheme of Service kwanza , AUWSA kuna wakuu wa Vitengo watatu ( PDU, Billing na Expenditure) wana kaimu huu mwaka wa Nne kutokana na kutokuwa na Masters

Kama Mkuu wa Kitengo anakaimishwa Miaka minne what about MD… Nani alifanya Shortlisting ya Interview ya MD?
 
Naamini hizi ni hisia au chuki dhidi ya Management. Ingawaje mara nyingine hatupati maji kwa mfululizo, isiwe sababu ya kuwasingizia wezwetu. Namfahamu Dr Masika kama Board Chair - one of the best of the best civilians, hata makamu wake Dr Jacqueline Mkindi na MD Dr Rujomba watu makini wasiokuwa na uhusiano wa ki deals za kijinga. Ukiweka tatizo mbele yao umepata ufumbuzi so long as uko ndani ya uwezo wao. Tatizo nyie mchwa mkikwama agenda zetu binafsi mnasingizia wafanyakazi bora kama hawa Auwsa. Jifunzeni toka kwa Masika, Mkindi na Rujomba. Mnayosema si kweli mna agenda zenu na mmetumwa.
 
Ushaidi upo Serikali imetoa Fedha AUWSA ijenge
Miundombinu kwa kutumia Force Account wao wamemchomeka Mkandarasi Tumaini Engineering bila zabuni

Pili , Mzabuni wa Uniform ( shati) alipatikana wa shilingi 25,000.00 kwa Kila shati wakampatia Mzabuni wa bei ya Shilingi 54,000.000 baada ya
Kuvuta pesa,

Tatu, Serikali ilishapiga marufuku Posho Management ya AUWSA na Wasimamizi wa mradi Mkubwa wa Majisafi Arusha Disemba kila Mmoja anavuta Shilingi Milioni mbili hadi tano za sikukuu christmas, Pasaka wanavuta Milioni Tatu tatu kila Member wa management na wasimamizi wa miradill, Jumla ni Tzs 500 Milion zikitumika kufanya Extensiom ya Maji Arusha ni zaidi ya kilomita 200
Pasaka ipi??
 
Naamini hizi ni hisia au chuki dhidi ya Management. Ingawaje mara nyingine hatupati maji kwa mfululizo, isiwe sababu ya kuwasingizia wezwetu. Namfahamu Dr Masika kama Board Chair - one of the best of the best civilians, hata makamu wake Dr Jacqueline Mkindi na MD Dr Rujomba watu makini wasiokuwa na uhusiano wa ki deals za kijinga. Ukiweka tatizo mbele yao umepata ufumbuzi so long as uko ndani ya uwezo wao. Tatizo nyie mchwa mkikwama agenda zetu binafsi mnasingizia wafanyakazi bora kama hawa Auwsa. Jifunzeni toka kwa Masika, Mkindi na Rujomba. Mnayosema si kweli mna agenda zenu na mmetumwa.
3bln bado ni deal la kijinga!!!
 
Hizi kauli huwa najiuliza kama wananchi hawa either wanahusika katika huu wizi au hawajui kwamba pesa hizo ni za kwao / kwa manufaa yao...

No wonder tunazidi kurudi nyuma kila kukicha...

Hata wewe ungekaa Mkao ungekul acha Mbwembwe
 
Kutokana na ufisadi kama huu sioni faida ya takukuru.Nakiona ni kikundi cha serikali kwa ajili ya kujipigia mchongo na kuwaonea wapigaji wadogo ambao hawana madhara.Hii taasisi ifutwe haina tija
 
Kuna watu wanafanya ufisadi under the shadows of Patriotism and hardworking kwa lengo la kutogundulika na pia waonewe huruma ila kwa bahati mbaya ubaya huwa ni ubaya tu hauna jina zuri eti useme ubaya ni uzuri usiovutia.
Style za hayati hizi na aliwapata wengi sana.
 
Kutokana na ufisadi kama huu sioni faida ya takukuru.Nakiona ni kikundi cha serikali kwa ajili ya kujipigia mchongo na kuwaonea wapigaji wadogo ambao hawana madhara.Hii taasisi ifutwe haina tija
Takukuru ni toothless dog ni hasara tu kwa walipakodi wa nchi hii. Ni kama CAG report tu very useless. Yaami report haifanywi kazi mpaka rais aseme what a useless shit. Unamu-audit rais halafu rais ndiyo anatakiwa kutoa maagizo ili report ifanyiwe kazi why dont we stop doing it ili hiyo pesa tufanyie mambo mengine muhimu zaidi? Ni nani tunamdanganya kwamba tuko na accountability wakati ni sifuri mwanzo mwisho?
 
Rujomba anakiuka Sheria za Utumishi wa Uma kwa kutokujua au kutokana na kuwa Elimu ndogo kunyanyasa Wafanyakazi

Watumishi wafuatao wameadhibiwa kwa kuonewa bila kufuata Sheria za tume ya Utumishi ya Uma,

1. Humphrey Mwiyombelwa Technical Manager aliondolewa baada ya Waziri Kumtonya MD Rujomba kukaa naye mbali maana anatishia nafasi yake.

2. Maadam Mija - Aliondolewa kitengo ya Ugavi baada ya kukataa kubadilisha Quatatio ya manunuzi ya Mashati ya Watumishi , Shati zilipatikana kwa Shilingi 20,000/= akalazimishwa ampatie kazi wa Shilingi 54,000/= akagoma kilichompata ni
Kuamishiwa Pondi akafaidi harufu ya Majitaka.Mashati haya yanavaliwa na watumishi wa AUWSA siku ya Jumatatu na Jumanne wewe Raia mwema ukikutana na Mtumishi wa AUWSA kagua hayo mashati angalia kama yanapaswa kunuliwa kwa shilingi 54,000/= ukizingatia yana miezi mitatu toka yanunuliwe.

3. Eng michaeal Semba .. Mzalendo huyu aligoma Mradi wa Force Account A to Z kupatiwa mkandarasi Tumaini Engineer na Amegoma kupokea Pondi mpya ya Terati iliyogarimu kiasi cha bilioni 87 kutokana na kuwa chini ya Kiwango.Kila siku anatishiwa kushushwa cheo Pamoja na vitisho yupo imara kupinga Ufisadi

4. Eng Steven Msesega.. Ameshushwa cheo cha mkuu wa kitengo cha matengenezo ( Maintanance) baada ya kugoma kupeleka magari ya Auwsa kutengenezwa Garage Bubu Majengo Moshi kwa Fundi John.. Huyu mzalendo alisimamia Sheria magari yatengenezwe TAMESA badala ya Garage bubu.

5. Wadada wachapa kazi Mary Maleko na Naima wameondolewa Ofisi kuu baada ya Kuoji inakuwaje mtumishi aliyeajiriwa kutoka Moshi ambaye bado yupo kwenye Probation anakuwa Meneja wa kanda wao wakongwe wenye Masters Pamoja na Shemimana awaonwi.

6. William Shayo ameondolewa Kuwa PRO kinyume na Sheria za utumishi wa Uma, Kumshusha Mtumishi cheo inatakiwa awe amepatiwa barua za onyo zaidi ya tatu na awe ameojiwa na kamati ya nidhamu haya ayakufuatwa wakati wa kumshusha Shayo Cheo.. Shayo ndugu yangu nenda Mahakamani dai haki zako AUWSA siyo mali ya Rujomba

7. Amani Mtui ameamishiwa Monduli Mwaka jana baada ya Kuuliza Swali katika kikao cha Wajumbe wa bodi na wafanyakazi 30 June 2020 kilichofanyika AUWSA main Office.

Rujomba anaifanya AUWSA kama mali yake binafsi ajui AUWSA ni Taasisi ya Umma iliyoundwa kisheria..


Rujomba amekuwa Alfa na Omega ,Vikao vya Menejimeti AUWSA , kamati Tendaji, Baraza la Wafanyakazi na cha Wafanyakazi avifanyiki na Vikifanyika badala ya kuwa msikilisaji anakuwa muongeaji kama chiriku ,anaropoka unafikiri ulimi wake auna mfupa.. hacha kuropoka kikao ni cha wafanyakazi siyo cha familia yako.

Mwenyekiti wa Bodi Eng Masika unda kamati ya kuchunguza ubadhirifu AUWSA hoji hawa watumishi utapata taarifa nyingi sana..

Naendelea kukusanya taarifa ya ufisadi visima 15 Vyenye Fluoride vinavyochimbwa
meru
 
Kuna ufisadi Mkubwa unafanyika Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Jijini Arusha (AUWSA). Ufisadu huu unafanywa na Mkurugenzi wa Mamlaka ya Majisafi AUWSA, Eng. Justine Rujomba kwa kushirikiana na Waziri wa Maji Ndg. Juma Aweso na Katibu Mkuu Engineer Sanga.

Kuna Mradi wa Ujenzi wa Mtandao wa Uondoaji huduma ya Majitaka Eneo la Kisongo A to Z wenye thamani ya Tzs 3.5 bilion amepewa Mkandarasi 'Tumaini Engineering' bila tenda kutangazwa huu ni ukiukwaji wa taratibu za Ununuzi pamoja na Waziri wa Maji Ndg. Aweso, Katibu Mkuu Eng. Sanga na Bodi ya AUWSA chini ya Dr. Masika kuwa na taarifa juu ya Ufisadi huu wameshindwa kuchukua hatua yoyote.

Watumishi wa AUWSA waliandika barua kwa Waziri Aweso kumtaarifu juu ya Ufisadi wa Mradi wa Majitaka wa A to Z cha kusikitisha Waziri alimpatia barua MD wa AUWSA na kumtaadharisha kukaa mbali na Technical Manager Eng. Humphrey Mwombelwa badala ya Waziri kuifanyia kazi barua yeye akamchonganisha MD na TM hivyo kumlazimisha TM kuacha kazi. Ni aibu na Kinyume cha Maadili ya Utumishi wa Umma kwa Waziri kutoa taarifa za siri kwa mhusika.

Serikali ilitoa TZS 3 billion zitumike kujenga mtandao wa majisafi Longido hadi Namanga kwa kutumia Force Account, cha Kusikitisha MD wa AUWSA ameipatia kazi ya Ujenzi kampuni ya Tumaini Engineering bila kufuata taratibu za Ununuzi zabuni haikutangazwa kama taratibu zinavyotaka.

Pamoja na Serikali kuzuia Posho, Management ya AUWSA na wasimamizi wa mradi kila mwisho wa Mwaka wanajilipa posho kila Mmoja TZS 1 Million hadi 5 Million za Sikukuu ya Noeli (Christmas) huku upotevu wa Maji NRW ukiwa ni asilimia 54. Serikali ilishapiga marufuku Posho za Sikukuu.

Ofisi ya Rais, Waziri Mkuu, PCCB Makao Makuu (PCCB wa Arusha wamewekwa Mfukoni) tuna imani sana na ofisi zenu; tumeni wakaguzi huru wachunguze Ufisadi unaondelea AUWSA.
[emoji817]
 
Dr. Masika tuma Wakaguzi wakague Malipo ya Vibarua karatu kuna Vishoka wametolewa Moshi wapo karatu na Longido na ikiwezekana peleka hawa Vishoka Polisi. Wamegeuza Auwsa Shamba
La bibi.

Pili, Kagua Video Kamera ya
AUWSA Tarehe 17 Oktoba Supplier wa mabomba na pipe Fiting waliitwa na MD Rujomba Ofisini kwake nimeweka Clip ya Maongezi ya Suppliers wa Fiting na MD .. ni aibu … Sikiliza maongezi yao na chukua hatu ikiwezekana iteni supllier muwaoji wamechoka kutoa Rushwa
 
Engineer Rujomba ,Kuna Mtumishi amepata Promotion
Kwenda kuwa mkuu wa Idara Morowasa umegoma kusaini barua yake acha rohoo mbaya ruhusu kijana wa watu aende akajenge Taifa Moruwasa wote tunajenga Nchi Moja Tanzania na Jua kuna Maisha baada ya Utumishi usitengeneze maadui.. Huyu Kijana unayogoma kupitisha barua yake ya Promotion auwezi Jua ndiyo atakuzika au ataajiri mwanao ..ya Mungu mengi
 
Mhe Rais Samia kupitia Waziri wa Utumishi amesema Watumishi wasinyanyaswe AUWSA mnapata wapi kiburi cha kunyanyasa watumishi? Mtumishi kapata promotion kwenda Moruwasa mnagoma kusaini Barua yako ili mumkomoe.. hacheni Ujinga Mwacheni kijana wa watu akapige kazi Moruwasa.. Waziri wa utumishi saidia huyu Kijana apate haki zake.
 
Mwenyekiti wa TUICO AUWSA Sheikh Said Galambo alipambana sana na Ufisadi na kutetea wafanyakazi waadilifu ameamishiwa Ofisi ya USA- River, Bodi Mrudisheni huyu mzalendo idara ya PMU
 
Mwenyekiti wa TUICO AUWSA Sheikh Said Galambo alipambana sana na Ufisadi na kutetea wafanyakazi waadilifu ameamishiwa Ofisi ya USA- River, Bodi Mrudisheni huyu mzalendo idara ya PMU
Duuh hiyo AUWSA itakuwa imeoza kabisa, haistahili kuwepo!
 
Duuh hiyo AUWSA itakuwa imeoza kabisa, haistahili kuwepo!
Ni hatari sana , AUWSA awafanyi vikao vya kisheria vya Menejimenti
Kila Mwezi , Kamati tendaji na Baraza la wafanyakazi kila baada ya miezi mitatu

Kuna wauni wanajiita Top Management ambao hata kwenye organisation structure awapo ndiyo uwa wanakutana ofisini kwa Rujomba

Bodi ya AUWSA ulizeni muhutasari wa Vikao vya Menejimenti AUWSA kwa Mwezi Septemba , Octoba, Novemba na Desemba
Muulizeni Rujomba kwanini aitishi vikao vya menejimenti? Anaogopa nini ? Kwanini Top management wanapora majukumu ya Menejimenti, Kamati tendaji na Baraza la wafanyakazi

Vikao vya kamati tendaji na baraza la wafanyakazi kisheria vinatakiwa kufanyika mara Moja kwa kipindi cha robo ya Mwaka AUWSA vikao hivi avifanyiki mara ya Mwisho vimefanyika Mwezi APril

Kuna uhuni mwingi sana AUWSA.
 
Ni hatari sana , Vikao vya Menejimenti avifanyiki mara ya Mwisho AUWSA kufanya kikao cha Menejimenti ni mwezi wa nane mwaka huu,

Kuna wauni wanajiita Top Management ambao hata kwenye organisation structure awapo ndiyo uwa wanakutana ofisini kwa Rujomba

Bodi ya AUWSA ulizeni muhutasari wa Vikao vya Menejimenti AUWSA kwa Mwezi Septemba , Octoba, Novemba na Desemba
Muulizeni Rujomba kwanini aitishi vikao vya menejimenti? Anaogopa nini ? Kwanini Top management wanapora majukumu ya Menejimenti, Kamati tendaji na Baraza la wafanyakazi

Vikao vya kamati tendaji na baraza la wafanyakazi kisheria vinatakiwa kufanyika mara Moja kwa kipindi cha robo ya Mwaka AUWSA vikao hivi avifanyiki mara ya Mwisho vimefanyika Mwezi APril

Kuna uhuni mwingi sana AUWSA.
Vikao vya Menejimenti, Kamati tendaji, Baraza la wafanyakazi vipo kisheria na siyo kwa Mapenzi ya MD
 
Kuna ufisadi Mkubwa unafanyika Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Jijini Arusha (AUWSA). Ufisadu huu unafanywa na Mkurugenzi wa Mamlaka ya Majisafi AUWSA, Eng. Justine Rujomba kwa kushirikiana na Waziri wa Maji Ndg. Juma Aweso na Katibu Mkuu Engineer Sanga.

Kuna Mradi wa Ujenzi wa Mtandao wa Uondoaji huduma ya Majitaka Eneo la Kisongo A to Z wenye thamani ya Tzs 3.5 bilion amepewa Mkandarasi 'Tumaini Engineering' bila tenda kutangazwa huu ni ukiukwaji wa taratibu za Ununuzi pamoja na Waziri wa Maji Ndg. Aweso, Katibu Mkuu Eng. Sanga na Bodi ya AUWSA chini ya Dr. Masika kuwa na taarifa juu ya Ufisadi huu wameshindwa kuchukua hatua yoyote.

Watumishi wa AUWSA waliandika barua kwa Waziri Aweso kumtaarifu juu ya Ufisadi wa Mradi wa Majitaka wa A to Z cha kusikitisha Waziri alimpatia barua MD wa AUWSA na kumtaadharisha kukaa mbali na Technical Manager Eng. Humphrey Mwombelwa badala ya Waziri kuifanyia kazi barua yeye akamchonganisha MD na TM hivyo kumlazimisha TM kuacha kazi. Ni aibu na Kinyume cha Maadili ya Utumishi wa Umma kwa Waziri kutoa taarifa za siri kwa mhusika.

Serikali ilitoa TZS 3 billion zitumike kujenga mtandao wa majisafi Longido hadi Namanga kwa kutumia Force Account, cha Kusikitisha MD wa AUWSA ameipatia kazi ya Ujenzi kampuni ya Tumaini Engineering bila kufuata taratibu za Ununuzi zabuni haikutangazwa kama taratibu zinavyotaka.

Pamoja na Serikali kuzuia Posho, Management ya AUWSA na wasimamizi wa mradi kila mwisho wa Mwaka wanajilipa posho kila Mmoja TZS 1 Million hadi 5 Million za Sikukuu ya Noeli (Christmas) huku upotevu wa Maji NRW ukiwa ni asilimia 54. Serikali ilishapiga marufuku Posho za Sikukuu.

Ofisi ya Rais, Waziri Mkuu, PCCB Makao Makuu (PCCB wa Arusha wamewekwa Mfukoni) tuna imani sana na ofisi zenu; tumeni wakaguzi huru wachunguze Ufisadi unaondelea AUWSA.

Hapo cha kufanya na wewe ni kuiba hayo mabomba tu, kufa kufaaana.
 
Menejimenti ya AUWSA ni mandezi sana wamezuia Mafundi wa dharura ( Emergence) kuingia Usiku.. ikitokea Leakages usiku maji yanamwagika hadi Asubuhi na Maji yakikatika usiku wateja hawapati Maji hadi Asubuhi..

Upotevu wa Maji ni 54% na hapa tayari wamebalansisha ,Maji zaidi ya nusu wanayozalisha yanapotea kwa Upotevu huu mnazuiaje mafundi wa leakages kuingia usiku?

Hapa Moshi upotevu wa Maji 25% na bado
Kuna mafundi wanaingia Usiku.
 
Ww ni chawa wa Awesu, Ni wakuja tu ndio wasiomjua huyo Wazir kwamba Ni mpigaji Hana uzalendo wowote ule

Unamjua sana wewe ni mkewe?, acha tabia za ajabu kujifanya unamjua sana mwanaume mwenzako.Wewe hata jina kulitamka uwezi ila ujuaji.!! Nonsense
 
Back
Top Bottom