Kuna Ufisadi wa kutisha Mamlaka ya Maji Arusha (AUWSA)

Kuna Ufisadi wa kutisha Mamlaka ya Maji Arusha (AUWSA)

changamoto ni mfumo mbovu, angalia Sabaya alikuwa anavunja maduka ya watu na hakuna mtu wa kumgusa isipokuwa Rais pekee, hakuna kitu wewe ukipata nafasi piga pesa kaa pembeni.
Naam mentality ya wakimwaga mboga mimi namwaga ugali mwisho wa siku itatuacha wote na njaa...,

Tatizo letu kizazi cha sasa, na kidogo cha wazee wetu no one cares.., yaani tuna utadamuni wa umimi na kwa minajili hio nchi haiwezi kwenda..., Kuna wakati wabadhirifu na wapigaji ilikuwa ni aibu lakini sasa hivi ndio unaonekana mjanja... The Country is beyond Saving mpaka pale watu watakapobadili their mentality...
 
Hata nyie wa kada ya chini ni mafisadi mnao waungia wateja mtandao wa maji taka nje ya mamlaka
 
Kuna ufisadi Mkubwa unafanyika Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Jijini Arusha (AUWSA). Ufisadu huu unafanywa na Mkurugenzi wa Mamlaka ya Majisafi AUWSA, Eng. Justine Rujomba kwa kushirikiana na Waziri wa Maji Ndg. Juma Aweso na Katibu Mkuu Engineer Sanga.

Kuna Mradi wa Ujenzi wa Mtandao wa Uondoaji huduma ya Majitaka Eneo la Kisongo A to Z wenye thamani ya Tzs 3.5 bilion amepewa Mkandarasi 'Tumaini Engineering' bila tenda kutangazwa huu ni ukiukwaji wa taratibu za Ununuzi pamoja na Waziri wa Maji Ndg. Aweso, Katibu Mkuu Eng. Sanga na Bodi ya AUWSA chini ya Dr. Masika kuwa na taarifa juu ya Ufisadi huu wameshindwa kuchukua hatua yoyote.

Watumishi wa AUWSA waliandika barua kwa Waziri Aweso kumtaarifu juu ya Ufisadi wa Mradi wa Majitaka wa A to Z cha kusikitisha Waziri alimpatia barua MD wa AUWSA na kumtaadharisha kukaa mbali na Technical Manager Eng. Humphrey Mwombelwa badala ya Waziri kuifanyia kazi barua yeye akamchonganisha MD na TM hivyo kumlazimisha TM kuacha kazi. Ni aibu na Kinyume cha Maadili ya Utumishi wa Umma kwa Waziri kutoa taarifa za siri kwa mhusika.

Serikali ilitoa TZS 3 billion zitumike kujenga mtandao wa majisafi Longido hadi Namanga kwa kutumia Force Account, cha Kusikitisha MD wa AUWSA ameipatia kazi ya Ujenzi kampuni ya Tumaini Engineering bila kufuata taratibu za Ununuzi zabuni haikutangazwa kama taratibu zinavyotaka.

Pamoja na Serikali kuzuia Posho, Management ya AUWSA na wasimamizi wa mradi kila mwisho wa Mwaka wanajilipa posho kila Mmoja TZS 1 Million hadi 5 Million za Sikukuu ya Noeli (Christmas) huku upotevu wa Maji NRW ukiwa ni asilimia 54. Serikali ilishapiga marufuku Posho za Sikukuu.

Ofisi ya Rais, Waziri Mkuu, PCCB Makao Makuu (PCCB wa Arusha wamewekwa Mfukoni) tuna imani sana na ofisi zenu; tumeni wakaguzi huru wachunguze Ufisadi unaondelea AUWSA.
Nini kimewasibu?
 
Hata nyie wa kada ya chini ni mafisadi mnao waungia wateja mtandao wa maji
ukiitwa front utakuwa tayari kutoa haya maelezo
ukiitwa front utakuwa tayari kutoa haya maelezo kwa undani?
Ushaidi upo Serikali imetoa Fedha AUWSA ijenge
Miundombinu kwa kutumia Force Account wao wamemchomeka Mkandarasi Tumaini Engineering bila zabuni

Pili , Mzabuni wa Uniform ( shati) alipatikana wa shilingi 25,000.00 kwa Kila shati wakampatia Mzabuni wa bei ya Shilingi 54,000.000 baada ya
Kuvuta pesa,

Tatu, Serikali ilishapiga marufuku Posho Management ya AUWSA na Wasimamizi wa mradi Mkubwa wa Majisafi Arusha Disemba kila Mmoja anavuta Shilingi Milioni mbili hadi tano za sikukuu christmas, Pasaka wanavuta Milioni Tatu tatu kila Member wa management na wasimamizi wa miradill, Jumla ni Tzs 500 Milion zikitumika kufanya Extensiom ya Maji Arusha ni zaidi ya kilomita 200
 
Huyu Waziri namjua vzr mamlaka nyingi za maji ameweka watu wake wa karibu sn, kimsingi mkuu hii nchi ni shamba la bibi kila mtu ale kwa urefu wa kamba ake hakuna namna maana pamejaa
Huyu Waziri namjua vzr mamlaka nyingi za maji ameweka watu wake wa karibu sn, kimsingi mkuu hii nchi ni shamba la bibi kila mtu ale kwa urefu wa kamba ake hakuna namna maana pamejaa uozo tupu kila kona.
Rujomba hana Sifa za Kuwa MD amepewa UKurugenzi ili kutengeneza chakula cha waziri na Katibu Mkuu , Scheme of Service ya Auwsa inataka MD, Wakuu wa Idara na Sehemu wawe na Masters ( Shaada ya Uzamili) Rujomba ni Technichian hana Masters ,maswali ya kujiuliza imekuwaje ameteuliwa kuwa MD wakati kuna wahandisi wenye Sifa ( Masters) waliomba ukurugenzi , Mfano Engineer Ezron wa Bonde la pangani ana PHD na wengine wengi.

Kama Scheme of Service inataka MD awe na Masters ilitokeaje jina la Rujomba likafika katika panel ya interview? Nani alifanya Shortlisting ( usahili) ?

Na Je Board ya Wakurugenzi ya Auwsa chini ya Dr. Masika awakulioma ili?

Takukuru ( PCCB) mkoa wa Arusha wana Taarifa zote hizi kwanini awazifanyi kazi?

Ofisi ya Rais utumishi na Msajili wa hazina inakuwaje mnaachia Scheme of Service mliyoidhinisha inachezewa na Waziri na Dr. Masika?

Kama Scheme of Service inataka MD , wakuu wa idara wawe na Masters inakuwaje inavunjwa?

Ofisi ya Rais , Waziri Mkuu tumeni wachunguzi Mapema

kuna mambo ya ajabu sana mfano Matofali ya Kujenga Tanks za Karatu zinatoka Moshi na tofali moja Auwsa inanunua kwa Shilingi 3200. Inakuwaje tofali zinatoka Moshi? Ina maana karatu hakuna matofali? Makuyuni hakuna tofali? Arusha mjini je? Na ni sahii kununua tofali Moja kwa Shilingi 3200?

Auwsa kuna Upotevu wa Maji 54% bila aibu ikifika Chrismas Management na wasimamizi wa Miradi wanajilipa Milion mbili hadi tano za Sikukuu kwa kila Mmoja alafu wafanyakazi wa Chini ambao ndiyo engine ya taasisi wanapewa pilau na Tzs 50,000.. Hii ni dharau kubwa kwa wafanyakazi kada ya chini.

Management wanapewa 14 Milion za kununua Sofa kila Mwaka.. hizi pesa zikitumika kufanya extension ya mtandao wa Maji inatosheleza kujenga kilomita 200

Inakuwaje wakaguzi wa CAG awatoi ripoti hizi?
 
Rujomba hana Sifa za Kuwa MD amepewa UKurugenzi ili kutengeneza chakula cha waziri na Katibu Mkuu , Scheme of Service ya Auwsa inataka MD, Wakuu wa Idara na Sehemu wawe na Masters ( Shaada ya Uzamili) Rujomba ni Technichian hana Masters ,maswali ya kujiuliza imekuwaje ameteuliwa kuwa MD wakati kuna wahandisi wenye Sifa ( Masters) waliomba ukurugenzi , Mfano Engineer Ezron wa Bonde la pangani ana PHD na wengine wengi.

Kama Scheme of Service inataka MD awe na Masters ilitokeaje jina la Rujomba likafika katika panel ya interview? Nani alifanya Shortlisting ( usahili) ?

Na Je Board ya Wakurugenzi ya Auwsa chini ya Dr. Masika awakulioma ili?

Takukuru ( PCCB) mkoa wa Arusha wana Taarifa zote hizi kwanini awazifanyi kazi?

Ofisi ya Rais utumishi na Msajili wa hazina inakuwaje mnaachia Scheme of Service mliyoidhinisha inachezewa na Waziri na Dr. Masika?

Kama Scheme of Service inataka MD , wakuu wa idara wawe na Masters inakuwaje inavunjwa?

Ofisi ya Rais , Waziri Mkuu tumeni wachunguzi Mapema

kuna mambo ya ajabu sana mfano Matofali ya Kujenga Tanks za Karatu zinatoka Moshi na tofali moja Auwsa inanunua kwa Shilingi 3200. Inakuwaje tofali zinatoka Moshi? Ina maana karatu hakuna matofali? Makuyuni hakuna tofali? Arusha mjini je? Na ni sahii kununua tofali Moja kwa Shilingi 3200?

Auwsa kuna Upotevu wa Maji 54% bila aibu ikifika Chrismas Management na wasimamizi wa Miradi wanajilipa Milion mbili hadi tano za Sikukuu kwa kila Mmoja alafu wafanyakazi wa Chini ambao ndiyo engine ya taasisi wanapewa pilau na Tzs 50,000.. Hii ni dharau kubwa kwa wafanyakazi kada ya chini.

Management wanapewa 14 Milion za kununua Sofa kila Mwaka.. hizi pesa zikitumika kufanya extension ya mtandao wa Maji inatosheleza kujenga kilomita 200

Inakuwaje wakaguzi wa CAG awatoi ripoti hizi?
Mkuu hizi masters zenu hatuzitaki tunataka hata kama mtu ana certificate apewe badala ya haya makaratasi ambayo hayana faida kwetu, mhimu mtu afanye kazi kwa kufuata sheria na taratibu, kama ameenda kinyume mpelekeni mahakamani, vinginevyo itakuwa ni majungu tupu, mbona kuna watu wana PhD ni majizi?
 
Rais alisema anataka kuongeza mzunguko wa pesa mtaani mlidhani anaenda kuzitupa barabarani? mzunguko wenyewe ndiyo huu watu wapiga pesa haswa kwenye miradi wanakuja kununua bia, kuhonga, kula mbuzi katoliki na mengine
Angalieni hii piga piga yenu mwisho mtatutoa roho !!
 
Tatu, Serikali ilishapiga marufuku Posho Management ya AUWSA na Wasimamizi wa mradi Mkubwa wa Majisafi Arusha Disemba kila Mmoja anavuta Shilingi Milioni mbili hadi tano za sikukuu christmas, Pasaka wanavuta Milioni Tatu tatu kila Member wa management na wasimamizi wa miradill, Jumla ni Tzs 500 Milion zikitumika kufanya Extensiom ya Maji Arusha ni zaidi ya kilomita 200
Wewe sio Lutindi kweli? Muhasibu nilisikia naye alinyimwa Mgao???
 
Kikao cha Menejimenti Auwsa cha wajumbe 25 kinaendelea sasa hivi Agenda ni kumfukuza kazi Manager wa Sewarage na Afisa ugavi Mija , hawa wazalendo waligoma kusimamia miradi ya kifisadi wa A to Z na Ununuzi wa uniform.

Agenda ya pili ni kumshikisha waziri Fedha atulie… hawa Jamaa wajinga sana
 
Kuna watu wanafanya ufisadi under the shadows of Patriotism and hardworking kwa lengo la kutogundulika na pia waonewe huruma ila kwa bahati mbaya ubaya huwa ni ubaya tu hauna jina zuri eti useme ubaya ni uzuri usiovutia.
 
Back
Top Bottom