Moshi town
Senior Member
- Dec 7, 2021
- 171
- 120
- Thread starter
-
- #101
Waziri Juma Aweso ni Mwizi kala pesa mradi wa A to Z Arusha kwa Kushirikiana Rujomba na Tumaini EngineerEti kutaka Uraisi” nonsense kabisa, sio kila Kiongozi anaetimiza wajibu wake ana mawazo hayo; wengine wameumbwa hivo, akili ndogo namna hii zimefika vp humu JF, tumezoea hili ni jukwaa la critical thinkers
Uwiii! Dr. Richard Masika tena? Yule aliyefukuzwa Arusha Technical College kwa ufisadi serikali imempa uenyekiti wa bodi? Hivi nchi hii watu wenye maadili wameisha mpaka ateuliwe mtu alishafukuzwa tangia 2017? Hii Serikali ina nini? Mama Samia Raisi wetu mpendwa Masika ni fisadi aliyeshindikana ataongoza bodi ipi kwa uadilifu upi?Kuna ufisadi Mkubwa unafanyika Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Jijini Arusha (AUWSA). Ufisadu huu unafanywa na Mkurugenzi wa Mamlaka ya Majisafi AUWSA, Eng. Justine Rujomba kwa kushirikiana na Waziri wa Maji Ndg. Juma Aweso na Katibu Mkuu Engineer Sanga.
Kuna Mradi wa Ujenzi wa Mtandao wa Uondoaji huduma ya Majitaka Eneo la Kisongo A to Z wenye thamani ya Tzs 3.5 bilion amepewa Mkandarasi 'Tumaini Engineering' bila tenda kutangazwa huu ni ukiukwaji wa taratibu za Ununuzi pamoja na Waziri wa Maji Ndg. Aweso, Katibu Mkuu Eng. Sanga na Bodi ya AUWSA chini ya Dr. Masika kuwa na taarifa juu ya Ufisadi huu wameshindwa kuchukua hatua yoyote.
Watumishi wa AUWSA waliandika barua kwa Waziri Aweso kumtaarifu juu ya Ufisadi wa Mradi wa Majitaka wa A to Z cha kusikitisha Waziri alimpatia barua MD wa AUWSA na kumtaadharisha kukaa mbali na Technical Manager Eng. Humphrey Mwombelwa badala ya Waziri kuifanyia kazi barua yeye akamchonganisha MD na TM hivyo kumlazimisha TM kuacha kazi. Ni aibu na Kinyume cha Maadili ya Utumishi wa Umma kwa Waziri kutoa taarifa za siri kwa mhusika.
Serikali ilitoa TZS 3 billion zitumike kujenga mtandao wa majisafi Longido hadi Namanga kwa kutumia Force Account, cha Kusikitisha MD wa AUWSA ameipatia kazi ya Ujenzi kampuni ya Tumaini Engineering bila kufuata taratibu za Ununuzi zabuni haikutangazwa kama taratibu zinavyotaka.
Pamoja na Serikali kuzuia Posho, Management ya AUWSA na wasimamizi wa mradi kila mwisho wa Mwaka wanajilipa posho kila Mmoja TZS 1 Million hadi 5 Million za Sikukuu ya Noeli (Christmas) huku upotevu wa Maji NRW ukiwa ni asilimia 54. Serikali ilishapiga marufuku Posho za Sikukuu.
Ofisi ya Rais, Waziri Mkuu, PCCB Makao Makuu (PCCB wa Arusha wamewekwa Mfukoni) tuna imani sana na ofisi zenu; tumeni wakaguzi huru wachunguze Ufisadi unaondelea AUWSA.
Mama amewasaidia amewaambia wasivimbiweHuyu Waziri namjua vzr mamlaka nyingi za maji ameweka watu wake wa karibu sn, kimsingi mkuu hii nchi ni shamba la bibi kila mtu ale kwa urefu wa kamba ake hakuna namna maana pamejaa uozo tupu kila kona.
Tunafaatilia kwa karibu hizi tuhumaPCCB chunguzeni na Variation katika mradi Mkubwa wa maji wa 520 bilion kuna Variation zimetengenezwa kwa ajili ya Upigaji wa zaidi ya 15 bilion
It’s very simple ombeni Mkataba wa wakandarasi wa Mradi Mkubwa na Consultancy na ombeni kiasi Cha Pesa walicholipwa kuna upigaji Mkubwa sana
Kwa Upande wa Consultancy Cheil engineering pia Ombeni Mkataba wake na ombeni kiasi alicholipwa.. Nchi hii inachezewa sana.
Wakorea waliokuwa wanafanya Cheil Consultancy walikataa huu ujinga Eng Rujomba akawatimua akamleta Eng Hosea Kama Mtaalam kwa kufanikisha Ufisadi .. Walikuwa na Eng Hosea Moshi Miaka ya nyuma
Watafune vizuriMama amewasaidia amewaambia wasivimbiwe
Barua ya HRM AUWSA kwa watumishi .. its so sadPoleni na majukumu ya kazi, kumekuwa na changamoto za kuomba ruhusa za kawaida kwa watumishi kwa sababu mbalimbali, tunapenda kutoa maelekezo kuwa , watumishi wanaelekezwa kutumia muda wao wa likizo kushughulikia changamoto za kifamilia zinazojitokeza, Kama Umefiwa leta cheti cha Kifo kama unauguza Leta barua ya Mganga Mkuu wa Hospital alipolazwa Mgonjwa pale inapolaziju kuomba ruhusa ya kusafiri kwenda nje ya kituo chako cha kazi jitahidi kuweka kiambatisho / cha sababu uliyoitoa kwenye maombi yako ya ruhusa, mf , naomba ruhusa kwenda kumwona baba mgonjwa , au amelazwa, tunawaelekeza kuweka Cheti cha kifo kama kuuguza weka Barua ya mganga Mkuu kingine kitakachoonyesha uwepo wa mgonjwa au sababu uliyoombea ruhusa!mnaidhinisha ruhusa hizi hatua za awali , tafadhali zingatieni haya!
Kanyanza K. R
Meneja Rasirimali Watu na utawala
AUWSA
hii nchi ni ya hovyo sanaKuna ufisadi Mkubwa unafanyika Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Jijini Arusha (AUWSA). Ufisadu huu unafanywa na Mkurugenzi wa Mamlaka ya Majisafi AUWSA, Eng. Justine Rujomba kwa kushirikiana na Waziri wa Maji Ndg. Juma Aweso na Katibu Mkuu Engineer Sanga.
Kuna Mradi wa Ujenzi wa Mtandao wa Uondoaji huduma ya Majitaka Eneo la Kisongo A to Z wenye thamani ya Tzs 3.5 bilion amepewa Mkandarasi 'Tumaini Engineering' bila tenda kutangazwa huu ni ukiukwaji wa taratibu za Ununuzi pamoja na Waziri wa Maji Ndg. Aweso, Katibu Mkuu Eng. Sanga na Bodi ya AUWSA chini ya Dr. Masika kuwa na taarifa juu ya Ufisadi huu wameshindwa kuchukua hatua yoyote.
Watumishi wa AUWSA waliandika barua kwa Waziri Aweso kumtaarifu juu ya Ufisadi wa Mradi wa Majitaka wa A to Z cha kusikitisha Waziri alimpatia barua MD wa AUWSA na kumtaadharisha kukaa mbali na Technical Manager Eng. Humphrey Mwombelwa badala ya Waziri kuifanyia kazi barua yeye akamchonganisha MD na TM hivyo kumlazimisha TM kuacha kazi. Ni aibu na Kinyume cha Maadili ya Utumishi wa Umma kwa Waziri kutoa taarifa za siri kwa mhusika.
Serikali ilitoa TZS 3 billion zitumike kujenga mtandao wa majisafi Longido hadi Namanga kwa kutumia Force Account, cha Kusikitisha MD wa AUWSA ameipatia kazi ya Ujenzi kampuni ya Tumaini Engineering bila kufuata taratibu za Ununuzi zabuni haikutangazwa kama taratibu zinavyotaka.
Pamoja na Serikali kuzuia Posho, Management ya AUWSA na wasimamizi wa mradi kila mwisho wa Mwaka wanajilipa posho kila Mmoja TZS 1 Million hadi 5 Million za Sikukuu ya Noeli (Christmas) huku upotevu wa Maji NRW ukiwa ni asilimia 54. Serikali ilishapiga marufuku Posho za Sikukuu.
Ofisi ya Rais, Waziri Mkuu, PCCB Makao Makuu (PCCB wa Arusha wamewekwa Mfukoni) tuna imani sana na ofisi zenu; tumeni wakaguzi huru wachunguze Ufisadi unaondelea AUWSA.
Poleni na majukumu ya kazi, kumekuwa na changamoto za kuomba ruhusa za kawaida kwa watumishi kwa sababu mbalimbali, tunapenda kutoa maelekezo kuwa , watumishi wanaelekezwa kutumia muda wao wa likizo kushughulikia changamoto za kifamilia zinazojitokeza, Kama Umefiwa leta cheti cha Kifo kama unauguza Leta barua ya Mganga Mkuu wa Hospital alipolazwa Mgonjwa pale inapolaziju kuomba ruhusa ya kusafiri kwenda nje ya kituo chako cha kazi jitahidi kuweka kiambatisho / cha sababu uliyoitoa kwenye maombi yako ya ruhusa, mf , naomba ruhusa kwenda kumwona baba mgonjwa , au amelazwa, tunawaelekeza kuweka Cheti cha kifo kama kuuguza weka Barua ya mganga Mkuu kingine kitakachoonyesha uwepo wa mgonjwa au sababu uliyoombea ruhusa!mnaidhinisha ruhusa hizi hatua za awali , tafadhali zingatieni haya!
Kanyanza K. R
Meneja Rasirimali Watu na utawala
AUWSA
Rujomba umekula pesa za Mradi wa A to Z sasa unataka uwe mungu mtu unataka kuwapangia Ugonjwa Wazazi wa Watumishi waugue kipindi wakiwa likizoPoleni na majukumu ya kazi, kumekuwa na changamoto za kuomba ruhusa za kawaida kwa watumishi kwa sababu mbalimbali, tunapenda kutoa maelekezo kuwa , watumishi wanaelekezwa kutumia muda wao wa likizo kushughulikia changamoto za kifamilia zinazojitokeza, Kama Umefiwa leta cheti cha Kifo kama unauguza Leta barua ya Mganga Mkuu wa Hospital alipolazwa Mgonjwa pale inapolaziju kuomba ruhusa ya kusafiri kwenda nje ya kituo chako cha kazi jitahidi kuweka kiambatisho / cha sababu uliyoitoa kwenye maombi yako ya ruhusa, mf , naomba ruhusa kwenda kumwona baba mgonjwa , au amelazwa, tunawaelekeza kuweka Cheti cha kifo kama kuuguza weka Barua ya mganga Mkuu kingine kitakachoonyesha uwepo wa mgonjwa au sababu uliyoombea ruhusa!mnaidhinisha ruhusa hizi hatua za awali , tafadhali zingatieni haya!
Kanyanza K. R
Meneja Rasirimali Watu na utawala
AUWSA
PPRA walituma wataalam wakakuta ufisadi kumpata Mkandarasi ( Tumaini Engineering ) wa Kujenga mtandao wa uondoaji Majitaka A to ZMamlaka zichunguze ili ukweli ubainike kama ni kweli au sio kweli