Kuna Ufisadi wa kutisha Mamlaka ya Maji Arusha (AUWSA)

Kuna Ufisadi wa kutisha Mamlaka ya Maji Arusha (AUWSA)

Rujomba amegeuza AUWSA kama Mali yake binafsi ,huu ni mwezi wa nane hakuna Vifaa vya kuunganisha mabomba ya Inchi 1, 2 , 3 , na 4 ikitokea lekages ( Uvujaji) bomba ukunjwa kuzuia Uvujaji bomba likikunjwa wateja ukosa maji badala ya kufanya Replacement sababu ni supplier wa Mabomba Waligoma kutoa Rushwa kwa akili ndogo anadhani anawakomoa supplier kumbe anakomoa wateja wa AUWSA..
 
Rujomba amegeuza AUWSA kama Mali yake binafsi ,huu ni mwezi wa nane hakuna Vifaa vya kuunganisha mabomba ya Inchi 1, 2 , 3 , na 4 ikitokea lekages ( Uvujaji) bomba ukunjwa kuzuia Uvujaji bomba likikunjwa wateja ukosa maji badala ya kufanya Replacement sababu ni supplier wa Mabomba Waligoma kutoa Rushwa kwa akili ndogo anadhani anawakomoa supplier kumbe anakomoa wateja wa AUWSA..
Kamati ya Ulinzi na USalama Wilaya na Mkoa ili la kwenu nendeni AUWSA kagueni Bohari mabomba hakuna
 
AUWSA ni mandezi sana Jumamosi mna kikao cha kamati tendeji muhulizeni Rujomba kwa Sauti Kubwa mkandarasi wa A to Z alipatikananje?


Muulizeni kwanini aliacha kununua Mashati yaliyopendekezwa na Evaluation team ya Tzs 25,000/= mkanunua ya Tzs 54,000/=

Muulizeni kwanini ametoa Certificate ya Mwisho kwa Mkandarasi wa Pondi ya Terati ya TZS 95 bilion wakati hipo chini ya kiwango?

Ulizeni kwa Sauti kubwa juu ya Ruhusa ya Ukifiwa ulete cheti cha kifo, Ukiugua ulete cheti cha Mgonjwa

Ulizeni ilikuwaje awara yake anayemlipia Fees Esami amekuwa Zonal Manager Ilboro wakati bado yupo Kwenye probation? Kuna wasomi akina Shamimana , Getu wamenyimwa kwanini au kwa sababu awatoi dude hovyo hovyo.. Shamimana na Getu vumilieni mungu atalipa.

Hivi AUWSa kuna TUICo
Kweli?

Muulizeni kwanini alitoa Siri ya
maongezi yake na waziri ya kuwa awe
makini na Humphrey na
Kufanya Humphrey aondoke?
 
Poleni na majukumu ya kazi, kumekuwa na changamoto za kuomba ruhusa za kawaida kwa watumishi kwa sababu mbalimbali, tunapenda kutoa maelekezo kuwa , watumishi wanaelekezwa kutumia muda wao wa likizo kushughulikia changamoto za kifamilia zinazojitokeza, Kama Umefiwa leta cheti cha Kifo kama unauguza Leta barua ya Mganga Mkuu wa Hospital alipolazwa Mgonjwa pale inapolaziju kuomba ruhusa ya kusafiri kwenda nje ya kituo chako cha kazi jitahidi kuweka kiambatisho / cha sababu uliyoitoa kwenye maombi yako ya ruhusa, mf , naomba ruhusa kwenda kumwona baba mgonjwa , au amelazwa, tunawaelekeza kuweka Cheti cha kifo kama kuuguza weka Barua ya mganga Mkuu kingine kitakachoonyesha uwepo wa mgonjwa au sababu uliyoombea ruhusa!mnaidhinisha ruhusa hizi hatua za awali , tafadhali zingatieni haya!

Kanyanza K. R
Meneja Rasirimali Watu na utawala
AUWSA
Huu ungese sana, Eng Rujomba yupo likizo tokabTarehe 29 Disemba na Awara yake zonal Manager Ilboro wanafanya mitihani Esami waliomba ruhusa? Acheni uonevu kwa watumishi wa Chini

Mnaofanya mitihani Esami aliyekatwa siku za Likizo ni Engineer Fidelis Shayo tuu

Wizara ya Utumishi na utawala bora saidieni Auwsa waziri wa Maji awezi ongea chochote amekula pesa za A to z pamoja na Eng Rujomba.
 
Huu ungese sana, Eng Rujomba yupo likizo tokabTarehe 29 Disemba na Awara yake zonal Manager Ilboro wanafanya mitihani Esami waliomba ruhusa? Acheni uonevu kwa watumishi wa Chini

Mnaofanya mitihani Esami aliyekatwa siku za Likizo ni Engineer Fidelis Shayo tuu

Wizara ya Utumishi na utawala bora saidieni Auwsa waziri wa Maji awezi ongea chochote amekula pesa za A to z pamoja na Eng Rujomba.
Mkuu....mbona unamwaga Siri za ofisi hadharani?...huu si ukiukwaji wa taratibu za ofisi?
AUWSA ni mandezi sana Jumamosi mna kikao cha kamati tendeji muhulizeni Rujomba kwa Sauti Kubwa mkandarasi wa A to Z alipatikananje?


Muulizeni kwanini aliacha kununua Mashati yaliyopendekezwa na Evaluation team ya Tzs 25,000/= mkanunua ya Tzs 54,000/=

Muulizeni kwanini ametoa Certificate ya Mwisho kwa Mkandarasi wa Pondi ya Terati ya TZS 95 bilion wakati hipo chini ya kiwango?

Ulizeni kwa Sauti kubwa juu ya Ruhusa ya Ukifiwa ulete cheti cha kifo, Ukiugua ulete cheti cha Mgonjwa

Ulizeni ilikuwaje awara yake anayemlipia Fees Esami amekuwa Zonal Manager Ilboro wakati bado yupo Kwenye probation? Kuna wasomi akina Shamimana , Getu wamenyimwa kwanini au kwa sababu awatoi dude hovyo hovyo.. Shamimana na Getu vumilieni mungu atalipa.

Hivi AUWSa kuna TUICo
Kweli?

Muulizeni kwanini alitoa Siri ya
maongezi yake na waziri ya kuwa awe
makini na Humphrey na
Kufanya Humphrey aondoke?
 
Inatisha.......wenye mamlaka wahurumieni wanyonge wanaoteseka kwa kukosa maji.
 
Huu ni uchochezi usio na mashiko hata kidogo. Mtoa mada hana technical information za kutosha na ameonyesha husuda isiyo kifani ni wa kupuuza. Anachafulia viongozi wakuu wa Wizara ya Maji bila ushahidi wa anachokizungumza hovyo kabisa.
 
Huu ni uchochezi usio na mashiko hata kidogo. Mtoa mada hana technical information za kutosha na ameonyesha husuda isiyo kifani ni wa kupuuza. Anachafulia viongozi wakuu wa Wizara ya Maji bila ushahidi wa anachokizungumza hovyo kabisa.
Mali za Uma Zinaporwa wewe unaona sawa? Nenda AUWSA Omba Taarifa ya PPRA ya Mradi wa A to Z wameeleza Kuna Ufisadi katika huu mradi na hata kazi iliyofanywa na Mkandarasi Tumaini Engineer hipo chini ya kiwango

Nenda AUWSA omba taarifa ya kamati iliyoundwa na Bodi ya AUWSA wamethibitisha taratibu za kununua Uniform za Watumishi zilikiukwa na bei iliongezwa kutoka 25,000/= hadi 54,000/=

Nenda AUWSA ulizia Zonal Manager wa Ilbouro alipatikanaje wakati hakuwa na Masters na alikuwa kwenye probation

Nenda AUWSA omba Tangazo la Kanyanza la Tarehe 25 Jan la kuzuia watumishi kuuguza hadi awe na Cheti Cha Daktari Alipolazwa na Kuzuia kushiriki msiba hadi cheti cha kifo

Nenda AUWSA ulizia Kama kuna mabomba ya Nchi 1, 2, 3, 4 Mabomba haya hayapo toka Mwezi wa tatu 2021.

Nenda AUWSA ulizia kikao cha Mwisho cha Menejimenti, Kamati tendaji kilifanyika lini Kama siyo Mwezi wa nane Mwaka Jana,

Nenda AUWSA ulizia Cement zilizoporwa na Kanyanza
 
Kuna ufisadi Mkubwa unafanyika Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Jijini Arusha (AUWSA). Ufisadu huu unafanywa na Mkurugenzi wa Mamlaka ya Majisafi AUWSA, Eng. Justine Rujomba kwa kushirikiana na Waziri wa Maji Ndg. Juma Aweso na Katibu Mkuu Engineer Sanga.

Kuna Mradi wa Ujenzi wa Mtandao wa Uondoaji huduma ya Majitaka Eneo la Kisongo A to Z wenye thamani ya Tzs 3.5 bilion amepewa Mkandarasi 'Tumaini Engineering' bila tenda kutangazwa huu ni ukiukwaji wa taratibu za Ununuzi pamoja na Waziri wa Maji Ndg. Aweso, Katibu Mkuu Eng. Sanga na Bodi ya AUWSA chini ya Dr. Masika kuwa na taarifa juu ya Ufisadi huu wameshindwa kuchukua hatua yoyote.

Watumishi wa AUWSA waliandika barua kwa Waziri Aweso kumtaarifu juu ya Ufisadi wa Mradi wa Majitaka wa A to Z cha kusikitisha Waziri alimpatia barua MD wa AUWSA na kumtaadharisha kukaa mbali na Technical Manager Eng. Humphrey Mwombelwa badala ya Waziri kuifanyia kazi barua yeye akamchonganisha MD na TM hivyo kumlazimisha TM kuacha kazi. Ni aibu na Kinyume cha Maadili ya Utumishi wa Umma kwa Waziri kutoa taarifa za siri kwa mhusika.

Serikali ilitoa TZS 3 billion zitumike kujenga mtandao wa majisafi Longido hadi Namanga kwa kutumia Force Account, cha Kusikitisha MD wa AUWSA ameipatia kazi ya Ujenzi kampuni ya Tumaini Engineering bila kufuata taratibu za Ununuzi zabuni haikutangazwa kama taratibu zinavyotaka.

Pamoja na Serikali kuzuia Posho, Management ya AUWSA na wasimamizi wa mradi kila mwisho wa Mwaka wanajilipa posho kila Mmoja TZS 1 Million hadi 5 Million za Sikukuu ya Noeli (Christmas) huku upotevu wa Maji NRW ukiwa ni asilimia 54. Serikali ilishapiga marufuku Posho za Sikukuu.

Ofisi ya Rais, Waziri Mkuu, PCCB Makao Makuu (PCCB wa Arusha wamewekwa Mfukoni) tuna imani sana na ofisi zenu; tumeni wakaguzi huru wachunguze Ufisadi unaondelea AUWSA.

3B15FA51-E8D5-4C7F-A778-657A5DD036A8.jpeg
 
Huu ni uchochezi usio na mashiko hata kidogo. Mtoa mada hana technical information za kutosha na ameonyesha husuda isiyo kifani ni wa kupuuza. Anachafulia viongozi wakuu wa Wizara ya Maji bila ushahidi wa anachokizungumza hovyo kabisa.
Kikao gani cha Menejimenti cha Wizara ya Maji kiliagiza mradi wa A to Z apewe Tumaini bila kutangazwa?

Kikao gani cha Menejimenti Wizara ya Maji
Kiliagiza bei Ya Mashati iongozwe kutoka 24,0000 hadi 54,000 tofauti na Upembuzi wa Evaluation team

Na Sasa mnataka Kuipiga chini kampuni ya Ulinzi iliyopo mlete kampuni ya Ulinzi kutoka Moshi.. Njaa itawaponza… Issue ya Ulinzi ni sensitive siyo Sawa na Vibarua mliotoa Moshi mkapeleka Longido
 
Kuhusu AUWSA ninachotaka kusema ni kuwa kuwe na namna ya kuwasikiliza Wateja wanapokuwa na hoja za msingi badala ya tu kutaka kuwakomoa Wateja.

Kuna uvujaji na upotevu mkubwa wa maji mitaani, na hii ni kwa maeneo tu ninayoishi au kule ninapofanikiwa kupita, sipati picha ilivyo maeneo mengine huko.

Sasa kimbembe kinakuja pale Mteja bomba lako livuje na labda hukufanikiwa kuona kwa wakati na mita ikazunguka vya kutosha....kwanza huwa hawatokusikiliza hata kama una rekodi nzuri ya kulipa ankara zako na wastani wa kiwango unacholipa kila mwezi kimeshafahamika lakini wao hawatojali.

Watakushinikiza ulipe maelfu ya pesa, sanasana watakupa muda wa ziada kidogo ulipie maji ambayo hujayatumia.

Labda hiyo sio shida kulipa, lakini kwa nini wasifikirie kuwa kama na wao wanapata tatizo hilo hilo la miundo mbinu inayosababisha uvujaji wa maji wa mara kwa mara ni nini cha kushangaza na Mteja akipatwa na ajali hiyo hiyo?...kwa nini Mteja akijetetea wao wasifanye uchunguzi kujiridhisha kama kweli ni ajali ili Mteja asibebeshwe mzigo mzito wa hasara?.

Cha kusikitisha ni kuwa kiasi cha maji wanachopoteza wao huko njiani ni mkubwa sana kuliko hiyo elfu themanini au laki moja wanayonidai huku wakiambatisha na vitisho vya kukata maji...hiyo ya kwao nani analipa?.
 
Kuahusu AUWSA ninachotaka kusema ni kuwa kuwe na namna ya kuwasikiliza Wateja wanapokuwa na hoja za msingi badala ya tu kutaka kuwakomoa Wateja.

Kuna uvujaji na upotevu mkubwa wa maji mitaani, na hii ni kwa maeneo tu ninayoishi au kule ninapofanikiwa kupita, sipati picha ilivyo maeneo mengine huko.

Sasa kimbembe kinakuja pale Mteja bomba lako livuje na labda hukufanikiwa kuona kwa wakati mita ikazunguka vya kutosha....kwanza huwa hawatokusikiliza hata kama una rekodi nzuri ya kulipa ankara zako na wastani wa kiwango unacholipa kila mwezi kimeshafahamika lakini wao hawatojali.

Watakushinikiza ulipe maelfu ya pesa, sanasana watakupa muda wa ziada kidogo ulipie maji ambayo hujayatumia.

Labda hiyo sio shida kulipa, lakini kwa nini wasifikirie kuwa kama na wao wanapata tatizo hilo hilo la miundo mbinu inayosababisha uvujaji wa maji wa mara kwa mara ni nini cha kushangaza na Mteja akipatwa na ajali hiyo hiyo...kwa nini Mteja akijetetea wao wasifanye uchunguzi kujiridhisha kama kweli ni ajali ili Mteja asibebeshwe mzigo mzito wa hasara?.

Cha kusikitisha ni kuwa kiasi cha maji wanachopoteza wao huko njiani ni mkubwa sana kuliko hiyo elfu themanini au lakin moja wanayonidai huku wakiambatisha na vitisho vya kukata maji...hiyo ya kwao nani analipa?.
Kuahusu AUWSA ninachotaka kusema ni kuwa kuwe na namna ya kuwasikiliza Wateja wanapokuwa na hoja za msingi badala ya tu kutaka kuwakomoa Wateja.

Kuna uvujaji na upotevu mkubwa wa maji mitaani, na hii ni kwa maeneo tu ninayoishi au kule ninapofanikiwa kupita, sipati picha ilivyo maeneo mengine huko.

Sasa kimbembe kinakuja pale Mteja bomba lako livuje na labda hukufanikiwa kuona kwa wakati mita ikazunguka vya kutosha....kwanza huwa hawatokusikiliza hata kama una rekodi nzuri ya kulipa ankara zako na wastani wa kiwango unacholipa kila mwezi kimeshafahamika lakini wao hawatojali.

Watakushinikiza ulipe maelfu ya pesa, sanasana watakupa muda wa ziada kidogo ulipie maji ambayo hujayatumia.

Labda hiyo sio shida kulipa, lakini kwa nini wasifikirie kuwa kama na wao wanapata tatizo hilo hilo la miundo mbinu inayosababisha uvujaji wa maji wa mara kwa mara ni nini cha kushangaza na Mteja akipatwa na ajali hiyo hiyo...kwa nini Mteja akijetetea wao wasifanye uchunguzi kujiridhisha kama kweli ni ajali ili Mteja asibebeshwe mzigo mzito wa hasara?.

Cha kusikitisha ni kuwa kiasi cha maji wanachopoteza wao huko njiani ni mkubwa sana kuliko hiyo elfu themanini au lakin moja wanayonidai huku wakiambatisha na vitisho vya kukata maji...hiyo ya kwao nani Ya
Kuahusu AUWSA ninachotaka kusema ni kuwa kuwe na namna ya kuwasikiliza Wateja wanapokuwa na hoja za msingi badala ya tu kutaka kuwakomoa Wateja.

Kuna uvujaji na upotevu mkubwa wa maji mitaani, na hii ni kwa maeneo tu ninayoishi au kule ninapofanikiwa kupita, sipati picha ilivyo maeneo mengine huko.

Sasa kimbembe kinakuja pale Mteja bomba lako livuje na labda hukufanikiwa kuona kwa wakati mita ikazunguka vya kutosha....kwanza huwa hawatokusikiliza hata kama una rekodi nzuri ya kulipa ankara zako na wastani wa kiwango unacholipa kila mwezi kimeshafahamika lakini wao hawatojali.

Watakushinikiza ulipe maelfu ya pesa, sanasana watakupa muda wa ziada kidogo ulipie maji ambayo hujayatumia.

Labda hiyo sio shida kulipa, lakini kwa nini wasifikirie kuwa kama na wao wanapata tatizo hilo hilo la miundo mbinu inayosababisha uvujaji wa maji wa mara kwa mara ni nini cha kushangaza na Mteja akipatwa na ajali hiyo hiyo...kwa nini Mteja akijetetea wao wasifanye uchunguzi kujiridhisha kama kweli ni ajali ili Mteja asibebeshwe mzigo mzito wa hasara?.

Cha kusikitisha ni kuwa kiasi cha maji wanachopoteza wao huko njiani ni mkubwa sana kuliko hiyo elfu themanini au lakin moja wanayonidai huku wakiambatisha na vitisho vya kukata maji...hiyo ya kwao nani analipa?.
Tatizo ni Menejimenti Mbovu upotevu wa Maji ni 53% kiasi cha Maji kinachopotea ni nyingi zaidi ya wanachouza

Huu ni mwezi wa nane mabomba ya Inchi 1,2,3,4 hawana ikitokea uvujaji awawezi kuziba kutokana na kutokuwepo Mabomba ya Replacement wanachofanya ni kukunja bomba au wanaacha tuu Maji yavuje.
 
Tender Ya Mabomba Eng Rujomba alikula pesa kutoka kwa supplier aliyeshinda kialali akakata rufaa PPRA wakathibitisha kulikuwa na Rushwa kumpata Supplier tender ikafutwa mwezi September 2021… hii imesababishia AUWSA kushindwa kuunganisha Maji kwa Wateja na Kuziba Uvujaji … hii ni jinai na Ujumu Uchumi

PCCB Arusha wana Taarifa hizi zote awataki kuchukua hatua
 
Kuna Mtumishi anaitwa Ndg Mashingia yupo kitengo cha uzalishaji Maji alivunjika akiwa kazini AUWSA wameshindwa kumpatia Fedha za Nauli akatibiwe na NHIF Muhimbili alafu wanajihita AUWSA ni mimi na Wewe .. ni aibu sana kushindwa kumlipia mtumishi nauli na kila sikukuu Menejimenti wanajilipa Milion tano na Watumishi wa mradi Mkubwa Milion tano ..

Rujomba acha kunyanyasa watumishi.. Mashingia Pole sana hii issue yako nenda kamuone Mwenyekiti wa Bodi Dr. masika ni msikivu atakusikia
 
Ni kweli mkuu, nilifanya yote uliyosema, ukanitia moyo nenda ukirudi utakuta stahiki zako, nimerudi nakutana na barua inayonitaka nijihudumie mwenyewe, tangu nipate ulemavu nilio nao, sijawahi kukutana na changamoto ya tar 11/12/2021, nimejihudumia mwenyewe, na sasa napiga kazi, ila angalieni haya mambo! Hakuna anaejua kesho yake!
Tutatekeleza yanayotakiwa, kwakuwa kila mwenye mamlaka kapewa na Mungu.
Rum 13:1-10
Hongera kwa yote!
 
Ni kweli mkuu, nilifanya yote uliyosema, ukanitia moyo nenda ukirudi utakuta stahiki zako, nimerudi nakutana na barua inayonitaka nijihudumie mwenyewe, tangu nipate ulemavu nilio nao, sijawahi kukutana na changamoto ya tar 11/12/2021, nimejihudumia mwenyewe, na sasa napiga kazi, ila angalieni haya mambo! Hakuna anaejua kesho yake!
Tutatekeleza yanayotakiwa, kwakuwa kila mwenye mamlaka kapewa na Mungu.
Rum 13:1-10
Hongera kwa yote!
Huu ujumbe wa Mashingia kwa Meneja Rasirimali watu Ndg Kanyanza..

Mashingia mtumishi mtiifu kakata tamaa kamwachia Mungu , katoa na Zaburi ya kusoma Rum 13:1-10
 
Mali za Uma Zinaporwa wewe unaona sawa? Nenda AUWSA Omba Taarifa ya PPRA ya Mradi wa A to Z wameeleza Kuna Ufisadi katika huu mradi na hata kazi iliyofanywa na Mkandarasi Tumaini Engineer hipo chini ya kiwango

Nenda AUWSA omba taarifa ya kamati iliyoundwa na Bodi ya AUWSA wamethibitisha taratibu za kununua Uniform za Watumishi zilikiukwa na bei iliongezwa kutoka 25,000/= hadi 54,000/=

Nenda AUWSA ulizia Zonal Manager wa Ilbouro alipatikanaje wakati hakuwa na Masters na alikuwa kwenye probation

Nenda AUWSA omba Tangazo la Kanyanza la Tarehe 25 Jan la kuzuia watumishi kuuguza hadi awe na Cheti Cha Daktari Alipolazwa na Kuzuia kushiriki msiba hadi cheti cha kifo

Nenda AUWSA ulizia Kama kuna mabomba ya Nchi 1, 2, 3, 4 Mabomba haya hayapo toka Mwezi wa tatu 2021.

Nenda AUWSA ulizia kikao cha Mwisho cha Menejimenti, Kamati tendaji kilifanyika lini Kama siyo Mwezi wa nane Mwaka Jana,

Nenda AUWSA ulizia Cement zilizoporwa na Kanyanza
Haya yote unayozungumza ni ya level ya Board usichafue viongozi wa Wizara, inaelekea wewe una interest ndani ya AUWSA either ni mwajiriwa au unapata taarifa ndani ya AUWSA wenyewe.
 
Haya yote unayozungumza ni ya level ya Board usichafue viongozi wa Wizara, inaelekea wewe una interest ndani ya AUWSA either ni mwajiriwa au unapata taarifa ndani ya AUWSA wenyewe.
Una Taarifa Mwaka Jana Mwezi wa Saba Waziri alipata taarifa za Ufisadi kwa Maandishi badala ya Kushugulikia akampatia Rujomba nakala na kumuonya akae mbali na TM Humphrey? Unaona ni sahii waziri aliyeapa kutopokea Rushwa na kutoa Siri anatoa siri ? Unajua kwanini TM Humphray aliamishwa?

Unajua kwanini Procurement Manager kitigwa aliamishwa akapelekwa Babati?
Una Taarifa Waziri alikupokuja kufungua ofisi ya Kanda ya Moshono aliwaambia watumishi atakayemgusa Eng Rujomba atamuamisha?

Unajua Sababu za Advocate Mroso kuondolewa kwenye bodi ya AUWSA?

Kaa kimya.. Bodi ya Auwsa chini ya Dr. Masika hipo Makini shida ni Waziri na Rujomba wanausika na Ufisadi wa Mradi wa A to Z na Mradi wa Longido- Namanga

Unajua kwanini tenda ya kununua Mabomba ilifutwa na PPRA mwezi wa Tisa?

Na Sasa wanapanga kuondoa kampuni ya Ulinzi walete ya kwao kutoka moshi kwa bei kubwa zaidi ya Sasa.

Kama unatetea Ufisadi wewe ni mpuuzi.
 
Una Taarifa Mwaka Jana Mwezi wa Saba Waziri alipata taarifa za Ufisadi kwa Maandishi badala ya Kushugulikia akampatia Rujomba nakala na kumuonya akae mbali na TM Humphrey? Unaona ni sahii waziri aliyeapa kutopokea Rushwa na kutoa Siri anatoa siri ? Unajua kwanini TM Humphray aliamishwa?

Unajua kwanini Procurement Manager kitigwa aliamishwa akapelekwa Babati?
Una Taarifa Waziri alikupokuja kufungua ofisi ya Kanda ya Moshono aliwaambia watumishi atakayemgusa Eng Rujomba atamuamisha?

Unajua Sababu za Advocate Mroso kuondolewa kwenye bodi ya AUWSA?

Kaa kimya.. Bodi ya Auwsa chini ya Dr. Masika hipo Makini shida ni Waziri na Rujomba wanausika na Ufisadi wa Mradi wa A to Z na Mradi wa Longido- Namanga

Unajua kwanini tenda ya kununua Mabomba ilifutwa na PPRA mwezi wa Tisa?

Na Sasa wanapanga kuondoa kampuni ya Ulinzi walete ya kwao kutoka moshi kwa bei kubwa zaidi ya Sasa.

Kama unatetea Ufisadi wewe ni mpuuzi.
Advocate Mroso aliondolewa kwenye bodi
Kwa Kusimamia taratibu na Sheria
Akaonekana kikwazo wakamtoa kwenye bodi…
 
Back
Top Bottom