Ileje
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 9,524
- 13,682
Leo nimemsikia Mkuu wa kitengo cha damu salama wa hospitali moja ya serikali Dar es Salaam akisema ikiwa mwanaume ana damu +ve na mwanamke ana damu -ve (au vinginevyo) hawawezi kupata mtoto na kama wakipata mtoto atazaliwa akiwa na matatizo makubwa ya kiafya.
Hivyo ameshauri kabla ya kuoana ni vema kupima damu ili kuepusha tatizo la kutopata watoto.
Je, kuna ukweli wo wote kuhusu hoja hii? Binafsi nimeona watu wakipata watoto kutoka kwa wenza tofauti tofauti bila matatizo, je huu ni ugunduzi mpya?
====
Pia soma: Ijue Rhesus factor na ujauzito
Hivyo ameshauri kabla ya kuoana ni vema kupima damu ili kuepusha tatizo la kutopata watoto.
Je, kuna ukweli wo wote kuhusu hoja hii? Binafsi nimeona watu wakipata watoto kutoka kwa wenza tofauti tofauti bila matatizo, je huu ni ugunduzi mpya?
====
Pia soma: Ijue Rhesus factor na ujauzito