Ni shule ndefu sana..!
Kifupi Kabla hujaoa Unatakiwa Kupima Damu na Bila kusahau Group la Damu na Rh kwa nyote wewe na mwenza wako ili mpange jinsi mtakavyopata watoto maana Watoto/Mama wajawazito wengi wanapata Matatizo kwa kutokujua au Negligence ya Vipimo hivi muhimu..
Na kwa Ushauri wengi nimeona Wanaogopa Rh Incompatibility ila Siku hizi naona zimwi linaitwa ABO incompitibility Ndo linatake over sana, Kila wagonjwa (Watoto wadogo) 60 kati ya 100 wenye HDN (Haemolytic disease of the newborn) Wanakuwa wana ABO incompa...na 40 ambao Ni severe cases wana Rh inco..
Hii kitu ni hatari sana ukiikuta kwenye severe cese