Kuna umuhimu wa kuripoti JKT kwa wahitimu wa Form 6?

Kuna umuhimu wa kuripoti JKT kwa wahitimu wa Form 6?

Huko JKT watoto wanakwenda kupotezea muda na kutumikishwa bila sababu za msingi. Mimi mdogo wangu au mwanangu hawezi kwenda huko na hakuna mtu atakayemzuia kuingia Chuo Kikuu. Waache ujinga wa kuwatesa watoto wa watu makusudi.

Ukimpeleka mtoto wako wa kike JKT atat*mbw* achakae. Na wa kiume akirudi hajawa shoga mshukuru Mungu. JKT ni ushuzi tu sijui kwanini wanang'ang'aniza watoto wa watu waende kuharibiwa kwenye hayo makambi ya uovu. Mungu anawaona.
Ushoga kivipi tena, mbona naanza kuogopa
 
Asante kwa kuniunga mkono mkuu. Unajua haya mambo tusipoyakemea kwa sauti kubwa yatendelea kufanyika chini ya zulia huku watoto wetu wakizidi kuharibiwa na maafande bila sababu ya msingi. Serikali inapaswa ilitazame tatizo hili kwa jicho la kipekee.
JKT waende wale wanaotakaa, yaan kabla ya mtihani wa 4m 6 wanafunzi wanaotaka kwenda jeshi ndo wajaze majina yao.

Kuliko kuteua holelaaa
 
Acha kuchongea wenzio wewe mwanaume wa wapi?!!
Huyo cocastic anapaswa kuwa sehemu salama, huwezi kuchafua jeshi hivi hivi tunashuhudia. Jeshi lina heshima yake na hadhi yake. Taswira ya jeshi inapaswa kulindwa

Cocastic hana maana hata kidogo, ana mdomo mchafu sana.

Cocastic umeyakanyagaa
 
Huyo cocastic anapaswa kuwa sehemu salama, huwezi kuchafua jeshi hivi hivi tunashuhudia. Jeshi lina heshima yake na hadhi yake. Taswira ya jeshi inapaswa kulindwa

Cocastic hana maana hata kidogo, ana mdomo mchafu sana.

Cocastic umeyakanyagaa

Halafu wewe utapata faida gani? Kalichafua wapi?! Wakati yeye anaelezea changamoto zilizopo huko kambini! Huoni km analisaidia jeshi kubaini vitendo viovu vinavyotokea huko na wazazi wawape watoto tahadhali ya mambo yanayotokea ili wawe makini?!!

Kuwa mwanaume bhana sio kila kitu cha kupinga, mbona wengi wameongelea hiyo issue
 
Halafu wewe utapata faida gani? Kalichafua wapi?! Wakati yeye anaelezea changamoto zilizopo huko kambini! Huoni km analisaidia jeshi kubaini vitendo viovu vinavyotokea huko na wazazi wawape watoto tahadhali ya mambo yanayotokea ili wawe makini?!!

Kuwa mwanaume bhana sio kila kitu cha kupinga, mbona wengi wameongelea hiyo issue
Kuna namna nyingi ya kulishauri jeshi, cocastic hajatoa ushauri bali analichafua.

Unasema mimi napata faida gani? Je yeye anapata faida gani kuchafua jeshi?
Hivi sio vitu vya kuleta masihara wala utani, cocastic anapaswa kuelewa kuwa utani na masihara yaishie kwenye vitu vingine sio jeshi.

Anapaswa kuomba radhi na kufuta hizo comments zake. Huo ndio ushauri wangu
 
Kuna namna nyingi ya kulishauri jeshi, cocastic hajatoa ushauri bali analichafua.

Unasema mimi napata faida gani? Je yeye anapata faida gani kuchafua jeshi?
Hivi sio vitu vya kuleta masihara wala utani, cocastic anapaswa kuelewa kuwa utani na masihara yaishie kwenye vitu vingine sio jeshi.

Anapaswa kuomba radhi na kufuta hizo comments zake. Huo ndio ushauri wangu

Unajua coca amesema alienda na alishuudia hivyo vitendo na member wengine tena wanaume wenzio nao wamesema hivyo vitendo vipo na vinafanyika. Kwanini na wao usiwaambie wafute?

Km unataka kukemea uovu usichague upande mmoja
 
Unajua coca amesema alienda na alishuudia hivyo vitendo na member wengine tena wanaume wenzio nao wamesema hivyo vitendo vipo na vinafanyika. Kwanini na wao usiwaambie wafute?

Km unataka kukemea uovu usichague upande mmoja
Huyo cocastic kuchafua watu ndio tabia yake, sio mara ya kwanza. Ana hii tabia huku jf kwa muda mrefu sana, Kuna watu anawadhalilisha bila sababu za msingi

Hao unaosema mimi sijawahi kuwaona wakimdhalilisha mtu humu. Cocastic anapaswa kufungwa break, naamini kwenye hili la jeshi kuna kitu atajifunza.

Jeshi ni taswira ya nchi.
 
Huyo cocastic anapaswa kuwa sehemu salama, huwezi kuchafua jeshi hivi hivi tunashuhudia. Jeshi lina heshima yake na hadhi yake. Taswira ya jeshi inapaswa kulindwa

Cocastic hana maana hata kidogo, ana mdomo mchafu sana.

Cocastic umeyakanyagaa
Nikson Saimon una mkwala
 
Habari zenu Wana JF,

Naomba msaada kufahamu madhara ya kuacha kuripoti wito wa kujiunga na JKT kwa wale waliomaliza A level.

Je, cheti cha kumaliza mafunzo ya JKT huwa kinahitajika kwa ambaye anataka kufanya maombi vyuo vikuu vya Serikali kama UDSM, Tanzania Institute of Accountancy na IFM, kwa mfano?

Lakini la ziada: kama mhusika hatafanya maombi ya mkopo kupitia HESLB ataathirika namna gani?

Asanteni kwa msaada.
Kijana acha janjajanja ,nenda JKT
 
JKT waende wale wanaotakaa, yaan kabla ya mtihani wa 4m 6 wanafunzi wanaotaka kwenda jeshi ndo wajaze majina yao.

Kuliko kuteua holelaaa
Kweli kabisa mkuu. Kuwalazimisha watoto wote kwenda JKT ni ussennge. Afu watoto wa kike wakifika huko wanageuzwa wake za maafande wanawambukiza UKIMWI huku watoto wa kiume wakigeuzwa kuwa MASHOGA. Hatutaki kutuharibia watoto kwa lazima.
 
Huko JKT watoto wanakwenda kupotezea muda na kutumikishwa bila sababu za msingi. Mimi mdogo wangu au mwanangu hawezi kwenda huko na hakuna mtu atakayemzuia kuingia Chuo Kikuu. Waache ujinga wa kuwatesa watoto wa watu makusudi.

Ukimpeleka mtoto wako wa kike JKT atat*mbw* achakae. Na wa kiume akirudi hajawa shoga mshukuru Mungu. JKT ni ushuzi tu sijui kwanini wanang'ang'aniza watoto wa watu waende kuharibiwa kwenye hayo makambi ya uovu. Mungu anawaona.
Wewe umesha enda ?? Unipe detail
 
Wameshaanza kuomba pesa za kununulia simu, acha waende wakajifunze maisha sio kunenepeana na kujaza mashavu bila sababu, ngoja waende wakajifunze hata kutumia mabumu yao watakapoanza vyuo
Wa kiume sawa! Wa kike unaona sawa pia akienda?.
 
JKT kupoteza muda tu na kutesa vijana wetu wameshachoka na mitihani hata hawajapumzika waend tena kulima huko na kukimbiakimbia, hao wa kujitolea tu hawawaajiri wanazeekea makambini na kurejea mitaani.
Binafsi sioni faida ya kwenda huko, labda kama una ndoto na jeshi unaweza kwenda ukapata connection otherwise piga chini, chuo utaenda tu.
Kwa hiyo wewe unafikiri elimu ya darasani inatosha kwenye kumwendeleza kijana? Elimu ni zaidi ya makaratasi
 
Back
Top Bottom