mabutu1835
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 909
- 1,425
Ushoga kivipi tena, mbona naanza kuogopaHuko JKT watoto wanakwenda kupotezea muda na kutumikishwa bila sababu za msingi. Mimi mdogo wangu au mwanangu hawezi kwenda huko na hakuna mtu atakayemzuia kuingia Chuo Kikuu. Waache ujinga wa kuwatesa watoto wa watu makusudi.
Ukimpeleka mtoto wako wa kike JKT atat*mbw* achakae. Na wa kiume akirudi hajawa shoga mshukuru Mungu. JKT ni ushuzi tu sijui kwanini wanang'ang'aniza watoto wa watu waende kuharibiwa kwenye hayo makambi ya uovu. Mungu anawaona.