mabutu1835
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 909
- 1,425
Ushoga kivipi tena, mbona naanza kuogopaHuko JKT watoto wanakwenda kupotezea muda na kutumikishwa bila sababu za msingi. Mimi mdogo wangu au mwanangu hawezi kwenda huko na hakuna mtu atakayemzuia kuingia Chuo Kikuu. Waache ujinga wa kuwatesa watoto wa watu makusudi.
Ukimpeleka mtoto wako wa kike JKT atat*mbw* achakae. Na wa kiume akirudi hajawa shoga mshukuru Mungu. JKT ni ushuzi tu sijui kwanini wanang'ang'aniza watoto wa watu waende kuharibiwa kwenye hayo makambi ya uovu. Mungu anawaona.
JKT waende wale wanaotakaa, yaan kabla ya mtihani wa 4m 6 wanafunzi wanaotaka kwenda jeshi ndo wajaze majina yao.Asante kwa kuniunga mkono mkuu. Unajua haya mambo tusipoyakemea kwa sauti kubwa yatendelea kufanyika chini ya zulia huku watoto wetu wakizidi kuharibiwa na maafande bila sababu ya msingi. Serikali inapaswa ilitazame tatizo hili kwa jicho la kipekee.
Sio siri kule kuna hii michezo, wengine ndo wanaanzia kulee usenge na u basha, wakirudi mtaani wanaendeleza wakiwa vyuoni.Ushoga kivipi tena, mbona naanza kuogopa
@JKT TanzaniaSio siri kule kuna hii michezo, wengine ndo wanaanzia kulee usenge na u basha, wakirudi mtaani wanaendeleza wakiwa vyuoni.
@JKT Tanzania
Huyu anachafua jeshi, naamini kabisa jeshi litachukua hatua. Siamini hata kidogo jeshi linaweza kukaa kimya
Ila sio mujibu.Ukiweza kuishi maisha ya jeshi na ukatoboa...![emoji125]basi mtaani hushindwi kitu
Huyo cocastic anapaswa kuwa sehemu salama, huwezi kuchafua jeshi hivi hivi tunashuhudia. Jeshi lina heshima yake na hadhi yake. Taswira ya jeshi inapaswa kulindwaAcha kuchongea wenzio wewe mwanaume wa wapi?!!
Huyo cocastic anapaswa kuwa sehemu salama, huwezi kuchafua jeshi hivi hivi tunashuhudia. Jeshi lina heshima yake na hadhi yake. Taswira ya jeshi inapaswa kulindwa
Cocastic hana maana hata kidogo, ana mdomo mchafu sana.
Cocastic umeyakanyagaa
Kuna namna nyingi ya kulishauri jeshi, cocastic hajatoa ushauri bali analichafua.Halafu wewe utapata faida gani? Kalichafua wapi?! Wakati yeye anaelezea changamoto zilizopo huko kambini! Huoni km analisaidia jeshi kubaini vitendo viovu vinavyotokea huko na wazazi wawape watoto tahadhali ya mambo yanayotokea ili wawe makini?!!
Kuwa mwanaume bhana sio kila kitu cha kupinga, mbona wengi wameongelea hiyo issue
Kuna namna nyingi ya kulishauri jeshi, cocastic hajatoa ushauri bali analichafua.
Unasema mimi napata faida gani? Je yeye anapata faida gani kuchafua jeshi?
Hivi sio vitu vya kuleta masihara wala utani, cocastic anapaswa kuelewa kuwa utani na masihara yaishie kwenye vitu vingine sio jeshi.
Anapaswa kuomba radhi na kufuta hizo comments zake. Huo ndio ushauri wangu
Huyo cocastic kuchafua watu ndio tabia yake, sio mara ya kwanza. Ana hii tabia huku jf kwa muda mrefu sana, Kuna watu anawadhalilisha bila sababu za msingiUnajua coca amesema alienda na alishuudia hivyo vitendo na member wengine tena wanaume wenzio nao wamesema hivyo vitendo vipo na vinafanyika. Kwanini na wao usiwaambie wafute?
Km unataka kukemea uovu usichague upande mmoja
Umenikumbusha Ngorongoro Mitaa ya 841kjWangefanya JKT iwe mandatory kwa wanaume tu kama nchi nyingi za Ulaya. Kwa wanawake iwe hiyari. Sababu huko kuna changamoto nyingi ambazo siyo rafiki kwa wasichana.
Nikson Saimon una mkwalaHuyo cocastic anapaswa kuwa sehemu salama, huwezi kuchafua jeshi hivi hivi tunashuhudia. Jeshi lina heshima yake na hadhi yake. Taswira ya jeshi inapaswa kulindwa
Cocastic hana maana hata kidogo, ana mdomo mchafu sana.
Cocastic umeyakanyagaa
Kijana acha janjajanja ,nenda JKTHabari zenu Wana JF,
Naomba msaada kufahamu madhara ya kuacha kuripoti wito wa kujiunga na JKT kwa wale waliomaliza A level.
Je, cheti cha kumaliza mafunzo ya JKT huwa kinahitajika kwa ambaye anataka kufanya maombi vyuo vikuu vya Serikali kama UDSM, Tanzania Institute of Accountancy na IFM, kwa mfano?
Lakini la ziada: kama mhusika hatafanya maombi ya mkopo kupitia HESLB ataathirika namna gani?
Asanteni kwa msaada.
Kweli kabisa mkuu. Kuwalazimisha watoto wote kwenda JKT ni ussennge. Afu watoto wa kike wakifika huko wanageuzwa wake za maafande wanawambukiza UKIMWI huku watoto wa kiume wakigeuzwa kuwa MASHOGA. Hatutaki kutuharibia watoto kwa lazima.JKT waende wale wanaotakaa, yaan kabla ya mtihani wa 4m 6 wanafunzi wanaotaka kwenda jeshi ndo wajaze majina yao.
Kuliko kuteua holelaaa
Wewe umesha enda ?? Unipe detailHuko JKT watoto wanakwenda kupotezea muda na kutumikishwa bila sababu za msingi. Mimi mdogo wangu au mwanangu hawezi kwenda huko na hakuna mtu atakayemzuia kuingia Chuo Kikuu. Waache ujinga wa kuwatesa watoto wa watu makusudi.
Ukimpeleka mtoto wako wa kike JKT atat*mbw* achakae. Na wa kiume akirudi hajawa shoga mshukuru Mungu. JKT ni ushuzi tu sijui kwanini wanang'ang'aniza watoto wa watu waende kuharibiwa kwenye hayo makambi ya uovu. Mungu anawaona.
Mie nilienda kwa kulazimishwaa, ila hakuna cha maana zaidi ya mateso tyuuh, hata usiendee utajutaaa
Wa kiume sawa! Wa kike unaona sawa pia akienda?.Wameshaanza kuomba pesa za kununulia simu, acha waende wakajifunze maisha sio kunenepeana na kujaza mashavu bila sababu, ngoja waende wakajifunze hata kutumia mabumu yao watakapoanza vyuo
Kwa hiyo wewe unafikiri elimu ya darasani inatosha kwenye kumwendeleza kijana? Elimu ni zaidi ya makaratasiJKT kupoteza muda tu na kutesa vijana wetu wameshachoka na mitihani hata hawajapumzika waend tena kulima huko na kukimbiakimbia, hao wa kujitolea tu hawawaajiri wanazeekea makambini na kurejea mitaani.
Binafsi sioni faida ya kwenda huko, labda kama una ndoto na jeshi unaweza kwenda ukapata connection otherwise piga chini, chuo utaenda tu.
JKT wanafundisha wanafunzi wa kiume ushoga na wanawageuza wanafunzi wa kike kuwa wake zao.Ushoga kivipi tena, mbona naanza kuogopa