Kuna umuhimu wa kuripoti JKT kwa wahitimu wa Form 6?

Hujamjibu swali lake, bali umetoa fikra zako.
 
Wameshaanza kuomba pesa za kununulia simu, acha waende wakajifunze maisha sio kunenepeana na kujaza mashavu bila sababu, ngoja waende wakajifunze hata kutumia mabumu yao watakapoanza vyuo
 
Mkuu tuache siasa tuseme ukweli, Kama hhna ndoto za kujiunga jeshi kwenda Jkt ni kupoteza muda.

Hivi kijana wa miaka 19 aliyemaliza kidato cha 6 nini atakwenda kujifunza ambacho hajajifunza nyumbanibjwao kwa miaka yote tangu anazaliwa.

Hivi hujaona watoto wa darasa la pili wanahudumia wateja madukani na magengeni au hata barabarani wakizungusha mboga? Utajifunza kilicho kwenye familia yako automatically.

Hata hivyo enzi hizi siyo za kujivunia kwenda kujifunza eti kuchoma mkaa, kufyatua matofali, n.k... na ukifuatlia siyo kwamba elimu hutolewa labda ya kilimo bali wanatumika tu km mashine za uzalishaji.

Mazoezi yenyewe ukirudi mtaani wiki mbili tu yashapotea.

Tuache uzamani, mambo ya miaka ya 70 yamekwishapitwa na wakati.
 
Kijana, nenda JKT.
Siku zitakuja mbeleni, very soon, kuna fursa zitatokea na kwa makusudi kabisa, watasema aliyepita JKT ana "added advantage"
Hakuna madhara ya kupitia JKT, bali kuna faida.
 
Ulonyolonyo mmeuanzisha nyie wazazi wa sasa wa dotcom....hakuna wazazi vilaza kama nyie yaani ni jukumu la mwingine....halafu eti ndio muwapeleke JKT, kwa nini upeleke nyolo JKT kaa nalo mwenyewe...maanza enzi zetu hakukua na nyolo kama hawa wenu ambao mnawalea kama mayai mkiamini ndio mapenzi....mtoto sio kuku kusema utakuja umle ....huyu ni binadam ambaye tunategema kesho aweze kujitegema na kuyatawala mazingira yake.
 

Majibu

No1

Cheti Cha JKT hakina uhusiano na maombi ya chuo na hakiambatanishwi

Ila kinaweza kikahitajika wakati wa kuomba baadhi ya kazi



No 2

Kama mwanafunzi hatatuma maombi ya mkopo kupitia HESLB hatapata mkopo

(Inatakiwa muwe mnajiweza kiuchumi)
 

Unachokiongea ni sahihi labda kwa vijana wanaotumikia JKT mkataba wa miaka 2+, ila sio kwa hawa vijana wanaokwenda miezi mitatu (mujibu wa sheria).

Mwisho wa siku uvumilivu, ujasiri, kujisimamia na uthubutu kama ulivyotaja ni mambo yanayojengwa kwa muda mrefu sana na kwa hatua mbali mbali kuanzia ngazi ya familia, jamii n.k huko kwingine kama jkt ni kupiga msasa tu
 
Umuhimu wa Cheti cha JKT ni pale utakapotaka kuomba kazi zinazohusu maswala ya ulinzi maana utatakiwa kuambatabisha cheti cha kuhitimu mafunzo ya jkt, mfano wa kazi nikama ifuatavyo;-

Polisi
Jwtz
Uhamiaji
Magereza
Takukuru (hawa huwa hawasemi ila wanazingatia pia) na;
Vyombo vingine vya ulinzi na usalama ama kazi zinazohusiana na ulinzi..


Kuhusu kuomba vyuo/chuo na mkopo wa elimu ya juu cheti cha jkt hakihusiki kwenye maombi yako ya vyuo wala maombi ya mkopo.

Lakini kama umepata nafasi ya kwenda mafunzo nakushauri nenda maana utafurahia sana na hautakuwa na chakupoteza!

Kila la kheri!
 
Je, cheti cha kumaliza mafunzo ya JKT huwa kinahitajika kwa ambaye anataka kufanya maombi vyuo vikuu vya Serikali kama UDSM, Tanzania Institute of Accountancy na IFM, kwa mfano?
Nenda JKT kijana, hicho cheti kina umuhimu wake hata kama sio kwa kufanya application ya chuo
 
Huko JKT watoto wanakwenda kupotezea muda na kutumikishwa bila sababu za msingi. Mimi mdogo wangu au mwanangu hawezi kwenda huko na hakuna mtu atakayemzuia kuingia Chuo Kikuu. Waache ujinga wa kuwatesa watoto wa watu makusudi.

Ukimpeleka mtoto wako wa kike JKT atat*mbw* achakae. Na wa kiume akirudi hajawa shoga mshukuru Mungu. JKT ni ushuzi tu sijui kwanini wanang'ang'aniza watoto wa watu waende kuharibiwa kwenye hayo makambi ya uovu. Mungu anawaona.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…