Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
- Thread starter
-
- #101
Kuna watu wana ushahidi kabisa namna upigaji unavyofanyika alafu wewe unaleta siasa hapa!Aaah wapi stori za vijiweni
Nimejenga Nzega....Tinde....Isaka halafu Tinde... Maganzo.......gongo tulikunywa nyuma ya Kishosha Guest House na kina Shambenga.....
SUMBAWANGA Laela to Luiche Bridge Camp ilikuwa Kihanda....karibu na Mpui.....
RUVUMA kuanzia Songea mpaka Namtumbo Camp ilikuwa Utwango karibu na Namabengo... Tanzania 🇹🇿
Sasa wewe hii Tanzania yangu umeshiriki kujenga kipi zaidi ya fitna chuki na majungu?????
Kuna kuwaga na REKipi hicho?
Wakaguzi gani hao unaowasema?Kuna kuwaga na RE
Pia kuna wakaguzi ambao nao hukaguliwa .......
Anyway huna uwezo wa kuelewa.
Si kwamba najisifu Tinde nimefanya kazi kwa karibu na project Manager Frank Swift.Kuna watu wana ushahidi kabisa namna upigaji unavyofanyika alafu wewe unaleta siasa hapa!
Wewe ulijenga kama fundi unajua mikataba ilikuwaje? Unajua pesa zilizojenga ni shs ngapi? Unajua kwa pesa hizi barabara ilitakiwa kuwa na viwango gani?
Asante halafu pole. 👍Wakaguzi gani hao unaowasema?
Kwani kuwepo na wakaguzi na inamaanisha hakuna upigaji?
Unataka kuniambia barabara ya Kwa Waziri Mkuu mpaka Martin Luther pale Dodoma imejengwa kwa viwango only kwa sababu wakaguzi waliikagua?
Unataka kuniambia barabara ya Dodoma- Iringa na ubovu wote ule ilijengwa kwa ubora only kwa sababu wakaguzi walikagua?
Wewe utakuwa mwehu uliyetukuka
Nimekupa mifano ya hiyo miradi! Nyie ndo wezi mnaojificha kwenye makaratasi kuwaibia WatanzaniaSi kwamba najisifu Tinde nimefanya kazi kwa karibu na project Manager Frank Swift.
Hebu funguka ni mradi upi? Km. Ngapi na sh.ngapi pia tuletee ripoti ya upembuzi yakinifu na usanifu. Na majina ya wahusika.
Duuh Asante 🙏 🙏 🙏Nimekupa mifano ya hiyo miradi! Nyie ndo wezi mnaojificha kwenye makaratasi kuwaibia Watanzania
Hata hizo barabara unazozitaja hapo hazina viwango ndo mana zina viraka kila mahala. We na wewe mwizi tu
Morogoro road na Nalaila Kiula (rip) wakati wa Mwinyi (rip)Katika fuatilia zangu, nimegundua kuwa kuna upigaji mkubwa sana kwenye miradi ya ujenzi hasa majengo mbalimbali na barabara nchini Tanzania.
Kiukweli barabara nyingi nchini zinajengwa chini ya kiwango, kuanzia upana , hadi ubora wa barabara husika na kamwe huoni wakandarasi wakichukuliwa hatua jambo linaloashiria kandarasi husika kupatikana kwa njia ya rushwa.
Nimejaribu kufuatilia namna barabara za wenzetu kwenye mataifa ya hapa hapa Afrika zinavyojengwa mfano Afrika Kusini, Algeria, Ivory Coast, Kenya na hata Morocco na kusema kweli nimekuja kugundua barabara zetu zinajengwa kwa viwango duni sana na kwa gharama kubwa sana tofauti na wenzetu.
Ukitazama barabara nyingi zinazojengwa na Tarura hazina hata sehemu za Watembea kwa miguu (Pedestrians) au waendesha baiskeli na nyingi hazifungwi hata taa za kuona usiku kwa watembea kwa miguu na inasemekana fedha hizo huwa zinatengwa kwenye bajeti za ujenzi wa barabara husika.
Tanzania tuna kazi kubwa sana kwa kweli hasa katika uadilifu wa watu wetu na uzalendo wa wstu wetu katika kufanya mambo wakiangalia maslahi ya Taifa badala ya maslahi yao binafsi.View attachment 3097223View attachment 3097224View attachment 3097225
Si ajabu ndio waliotoa zawadi ya chopper kwa SSHWezi tu!
Tanzania hasa Dar tatizo linaanzia kwenye urban planning.Ile ni aibu ya karne. Barabara ya mwendokasi mbagala saivi wanajaza mitaa ya kuongoza magari barabarani kama uchafu vile. Unajiuliza hawakuwaza kuweka vivuko vya underground au vya juu kweli?
Alafu kila siku kutaka kujiita sijui ma engeener. Hadi kwenye majina yao saivi wanaanzia na Eng. Edwin sijui Eng Agnes
Wanapiga saaanaSi ajabu ndio waliotoa zawadi ya chopper kwa SSH
Mhandisi mmoja aliniambia kuna asilimia 25 ya upigaji kwa kila kandarasi
Kwani nchi za Afrika wenzetu wanaojenga barabara za viwango kama Ivory Coast, Botswana na Namibia wametuzidi nini kiuchumi?Tanzania hasa Dar tatizo linaanzia kwenye urban planning.
Ardhi kutopimwa ni tatizo kubwa Sana.
Hiyo barabara ya Kilwa Mbagala huko wangesema waweke underground au subways ingelazimu kuvunja nyumba nyingi Sana. Kungetokea malalamiko kama ya Ubungo, Mbezi Kibaha.
Jambo lingine uchumi wetu mdogo labda tukubali madeni makubwa sana au tutumie PPP barabara nyingi ziwe toll roads.
Hakuna watu wababaishaji Tanzania kama TARURA na wakandarasi wa ndani. Hawajali future ya nchi Wanalipua barabara na pesa wanalipana.Katika fuatilia zangu, nimegundua kuwa kuna upigaji mkubwa sana kwenye miradi ya ujenzi hasa majengo mbalimbali na barabara nchini Tanzania.
Kiukweli barabara nyingi nchini zinajengwa chini ya kiwango, kuanzia upana , hadi ubora wa barabara husika na kamwe huoni wakandarasi wakichukuliwa hatua jambo linaloashiria kandarasi husika kupatikana kwa njia ya rushwa.
Nimejaribu kufuatilia namna barabara za wenzetu kwenye mataifa ya hapa hapa Afrika zinavyojengwa mfano Afrika Kusini, Algeria, Ivory Coast, Kenya na hata Morocco na kusema kweli nimekuja kugundua barabara zetu zinajengwa kwa viwango duni sana na kwa gharama kubwa sana tofauti na wenzetu.
Ukitazama barabara nyingi zinazojengwa na Tarura hazina hata sehemu za Watembea kwa miguu (Pedestrians) au waendesha baiskeli na nyingi hazifungwi hata taa za kuona usiku kwa watembea kwa miguu na inasemekana fedha hizo huwa zinatengwa kwenye bajeti za ujenzi wa barabara husika.
Tanzania tuna kazi kubwa sana kwa kweli hasa katika uadilifu wa watu wetu na uzalendo wa wstu wetu katika kufanya mambo wakiangalia maslahi ya Taifa badala ya maslahi yao binafsi.View attachment 3097223View attachment 3097224View attachment 3097225
Adui zetu ni wala rushwa na ndio washika makaliCCM ndio Ina wataalamu? Au ndio TanRoads/Tarura? Kutojua adui ni kupoteza pambano.
Kituko kingine kipo majengo ya tunayoita mji mkuu mpya wa Serikali Dodoma. Naskia huko majengo yanajengwa kwa ubora wa chini kwa kiwango cha kutisha.Kuna majengo kama vile hospital n.k ukianza kuyatumia ni shida kwa wananchi.
Ukienda chooni Maji yanatuwama ambayo ni hatari kwa maambukizi.
Muhimbili zamani wanaita jengo kimya la watoto ukienda bafuni Maji yanatuwama, mwananchi anatoka nyumbani mzima anaenda kupata magonjwa hospital ambapo ilitarajiwa iwe mahala pa mfano kwa usafi na ustadi wa mazingira ya afya njema.