Tetesi: Kuna uwezekano John Heche akatimkia ACT Wazalendo

Tetesi: Kuna uwezekano John Heche akatimkia ACT Wazalendo

🤣🤣🤣🤣
Yaani katika watu ambao huwa haueleweki na unaonekana kuwa na wenge la kisiasa ni wewe.
Andika habari yako kwa uzito mbona habari za kumsifiq SSH huwa unaandika kama ukurasa wa gazeti?
sasa unakenua na kubababika na nini ikiwa hujaelewa chochote na sieleweki kwako gentleman?

mimi si muandishi, bali mwanadiplomasia mwandamizi mbobevu katika siasa, elimu, dini n.k na kwahivyo nisamehe sana kwenye eneo la uandishi mrefu..

pole sana 🐒
 
umuhimu moja wapo wa hoja yangu ni kukuandaa ili upokee dynamics hiyo ya kisiasa bila taharuki,

ni muhimu sana kuwa mustahimilivu na mwenye subra na kwa wakati muafaka, hakuna cha kusubiri na itakua.zingatia maelezo kwenye hoja ya msingi 🐒
🤣🤣🤣
Aisee!
 
Wewe ni mjuaji sana!! Huogopi kuzoeazoea wanaume wa Bara?

Kila kitu ni wewe tu!! Au ni baada ya kuona mwenzako Luka anadandia pipa Kwa uchawa?
binafsi nafanya mambo ya kizalendo kwa tafiti kwa mustakabali wa wa siasa na Maendeleo ya waTanzania wote 🐒
 
Kiukweli vyama vyote vya upinzani ni kama havieleweki na wapinzani wengi washapoteza umaarufu na imani kwa wananchi hivyo hata mtu akihamia chama chochote bado hawezi kurudisha imani kwa wananchi ukifuatilia kwa sasa hivi wananchi wana imani kubwa na mtu mmoja mmoja haijalishi yupo upinzani, ccm au hana chama mfano ni Makonda na Mwabukusi.
 
Kiukweli vyama vyote vya upinzani ni kama havieleweki na wapinzani wengi wahapoteza umaarufu na imani kwa wananchi hivyo hata mtu akihamia chama chochote bado hawezi kurudisha imani kwa wananchi ukifuatilia kwa sasa hivi wananchi wana imani kubwa na mtu mmoja mmoja haijalishi yupo upinzani, ccm au hana chama mfano ni Makonda na Mwabukusi.
unaona mbali sana gentleman,
hii ni miongoni mwa very visionary comments kwa leo👊👊💪💪
 
kama mazungumzo na makubaliano yao yatamalizika vizuri kama yalivyo anza, na wakaafikiana vyema, basi ni wazi mungwana anakwenda kuchukua nafasi muhimu sana ya uongozi wa juu kitaifa ndani ya ACT WAZALENDO...

demokrasia ndani ya vyama vya siasa inashamiri na kusitawi vyema, na kwakweli inazidi kuimarika zaidi nchini 🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Hili jamaa tlaa linajiharishia hovyo! kha Heche ni wa kuchanganywa na uchafu!?? Tumuulize Nyaronyo kicheere eti mkurya mzima akajiunge wapi!? Hata uanaume utaishia aroooo!
 
Mkuu bado Lisu hajajiunga CCM?
kua mstahimilivu na mwenye subra tu gentleman, mambo mazuri katika siasa hayatakia haraka ila hutokea katika kipindi, muda na wakati muafa ufaao 🐒
 
Hili jamaa tlaa linajiharishia hovyo! kha Heche ni wa kuchanganywa na uchafu!?? Tumuulize Nyaronyo kicheere eti mkurya mzima akajiunge wapi!? Hata uanaume utaishia aroooo!
relax basi kamanda mihememko ya nini sasa?
hakuna lisilowezekana kwenye siasa za vyama vingi hasa ukiwa na uelewa na ufahamu wa kutosha wa masuala ya uhuru, haki na demokrasia 🐒
 
kama mazungumzo na makubaliano yao yatamalizika vizuri kama yalivyo anza, na wakaafikiana vyema, basi ni wazi mungwana anakwenda kuchukua nafasi muhimu sana ya uongozi wa juu kitaifa ndani ya ACT WAZALENDO...

demokrasia ndani ya vyama vya siasa inashamiri na kusitawi vyema, na kwakweli inazidi kuimarika zaidi nchini 🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Aksante kwa taarifa kula kula bure
 
relax basi kamanda mihememko ya nini sasa?
hakuna lisilowezekana kwenye siasa za vyama vingi hasa ukiwa na uelewa na ufahamu wa kutosha wa masuala ya uhuru, haki na demokrasia 🐒
Mbona tena hupigii chapuo chama chako cha watekaji!?
Umekuja kivingine! Unataka kumteka Heche muraa! Humuweze utaishia kugechwa tuuuuuuuuuuuu!!
 
kama mazungumzo na makubaliano yao yatamalizika vizuri kama yalivyo anza, na wakaafikiana vyema, basi ni wazi mungwana anakwenda kuchukua nafasi muhimu sana ya uongozi wa juu kitaifa ndani ya ACT WAZALENDO...

demokrasia ndani ya vyama vya siasa inashamiri na kusitawi vyema, na kwakweli inazidi kuimarika zaidi nchini 🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Za kwako sio tetesi ni uzushi kwani huwa hazitimii.
 
Naunga mkono hoja mtu yeyote kuwa huru kuhamia chama chochote ndio maana tulitoa ushauri huu kwa Chadema Wanaohamia CCM wasibezwe! Wanaona mbali, 2020 Majimbo yote kurejeshwa. Je, tunarejea nchi ya chama kimoja? ila tukubali tukatae wanachama na viongozi hawafanani, kuna wengine ni nguzo na mtaji, hivyo wanategemewa sana, huku wengine ni magarasa tuu.

Magarasa wakihama, hakuna athari zozote lakini nguzo zikihama, zina athari kubwa.

Heche ni nguzo!, kwangu mimi huyu ndiye mtu wa kumpokea Mbowe Uenyekiti, hivyo taarifa za uzushi kama hizi, zinatishitusha!, haswa kwa kuzingatia John Heche ni kutoka kabila la watu wenye msimamo.

Tanzania tuna makabila mengi, kuna makabila walaini laini unawaswaga tuu kama ng'ombe na kuna makabila wagumu wenye misimamo.

Ukisikia mtu wa makabila laini laini amehama hushangai, ila Ukisikia mtu wa kabila gumu amehama chama, lazima ushangae.

John Heche namuaminia, mimi ni Tomaso hii habari siiamini kuwa ni ya kweli mpaka...
P
Siku hizi hakuna cha makabila magumu wala nini, kwenye pesa kabila gumu hugeuka kuwa laini kuliko pamba. Rejea Waitara.
 
kama mazungumzo na makubaliano yao yatamalizika vizuri kama yalivyo anza, na wakaafikiana vyema, basi ni wazi mungwana anakwenda kuchukua nafasi muhimu sana ya uongozi wa juu kitaifa ndani ya ACT WAZALENDO...

demokrasia ndani ya vyama vya siasa inashamiri na kusitawi vyema, na kwakweli inazidi kuimarika zaidi nchini 🐒

Mungu Ibariki Tanzania
🤣 Sasa hivi🌈 naona umejua ili post zake zipate wachangiaji wengi ni kuitaja cdm.
 
🤣 Sasa hivi🌈 naona umejua ilo post zake zipate wachangiaji ni kuitaja cdm.
limekuganda na kukukaba moyoni umekwama kabisa kuvumilia dah 🤣
 
Siku hizi hakuna cha makabila magumu wala nini, kwenye pesa kabila gumu hugeuka kuwa laini kuliko pamba. Rejea Waitara.
saa zingine ukiweka mihememko kando kumbe unaweza kujenga hoja ya kisiasa nzuri kabisa dah 👊💪
 
Back
Top Bottom