Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Taifa lilifungwa na nani?kazi ya CCM kwa sasa ni kuliunganisha taifa na kuifungua nchi Kimataifa 🐒
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Taifa lilifungwa na nani?kazi ya CCM kwa sasa ni kuliunganisha taifa na kuifungua nchi Kimataifa 🐒
Muone shetani huyu anavyoweweseka!kama mazungumzo na makubaliano yao yatamalizika vizuri kama yalivyo anza, na wakaafikiana vyema, basi ni wazi mungwana anakwenda kuchukua nafasi muhimu sana ya uongozi wa juu kitaifa ndani ya ACT WAZALENDO...
demokrasia ndani ya vyama vya siasa inashamiri na kusitawi vyema, na kwakweli inazidi kuimarika zaidi nchini 🐒
Mungu Ibariki Tanzania
Huyu shetani anakaimu nafasi ya Lucas Mwashambwa🤣 Sasa hivi🌈 naona umejua ilo post zake zipate wachangiaji ni kuitaja cdm.
Siku hizi anajiona ana akiliMuone shetani huyu anavyoweweseka!
UWT ni muda wenu wa kupiga pesa kipindi hikina mapepo,misukule, wachawi na washirikina wa chadema 🐒
Tulia dawa ikuingieMama Ima bana kwa kuhamisha magoli dah 🤣
Kumbe ni tetesi, basi sawakama mazungumzo na makubaliano yao yatamalizika vizuri kama yalivyo anza, na wakaafikiana vyema, basi ni wazi mungwana anakwenda kuchukua nafasi muhimu sana ya uongozi wa juu kitaifa ndani ya ACT WAZALENDO...
demokrasia ndani ya vyama vya siasa inashamiri na kusitawi vyema, na kwakweli inazidi kuimarika zaidi nchini 🐒
Mungu Ibariki Tanzania
Yes you are always Right Gentleman 🙌👍these are living political theories and narratives. kumbuka, political dynamics is unavoidable...
Nashauri kuzihifadhi vyema theory hizi kama reference kwaajili ya kujiridhisha wakati muafaka ukifika 🐒
Umeshajiandikisha kwenye daftari la 'tume huru' au mkoa wako haujafikiwaRelax gentleman 🐒
UWT kuna kitu hakipo sawamisukule ya chadema inapeana moyo 🤣🤣
Tangu lini mbwa kama wewe ukawa na hoja? Wee endelea kufugwa!msukule umetokea wapi tena na mihemko yako dah,
na huna hoja?🤣