Kuna uwezekano kwamba wanaoteka na kuua wanafanya hivyo kwa maslahi yao bila raisi Samia kujua kwa kuwa wananufaika na uwepo wake madarakani?

Kuna uwezekano kwamba wanaoteka na kuua wanafanya hivyo kwa maslahi yao bila raisi Samia kujua kwa kuwa wananufaika na uwepo wake madarakani?

Synthesizer

Platinum Member
Joined
Feb 15, 2010
Posts
12,699
Reaction score
22,598
Kuna watu wamemlaumu raisi Samia moja kwa moja kwamba anahusika na utekaji na uuaji unaofanyika nchini kwa sababu kuna viashiria vikubwa sana vyombo vya dola vinahusika katika uhalifu huu.

Lakini je, ni kweli kwamba raisi Samia anahusika moja kwa moja na utekaji na uuaji unaofanyika nchini hivi sasa? Binafsi sidhani kama raisi Samia anahusikika moja kwa moja kama ilivyokuwa kwa raisi Magufuli. Hata hivyo, raisi Samia hawezi kukwepa lawama, na hili anapaswa alitambue.

Raisi Samia anajua wazi kwamba huu mchezo wa kuteka na kuua, wakati wa Magufuli, uliingizwa katika vyombo vya dola vya usalama, kwa namna ya kuwa "kajimfumo" (informal institutionalization in the government security organs), na watu walipewa hii kazi maalum. Na sasa kuna dalili kwamba kale "kajimfumo" alikokaanzisha Magufuli bado kanaendelea, labda bila Samia "kuhusika" kwa namna ya yeye kuchagua kutohusika moja kwa moja, au kutojua.

Na tena, inawezekana kabisa raisi Samia hahusiki kwa kuwa kuna watu ambao walihusika na "kajimfumo" ka Magufuli ka kuteka na kuua, ambao wanaendelea kufanya haya wakiona kwamba, kama walifanya haya kwa faida ya Magufuli na serikali/CCM wakati ule, basi wanapaswa kufanya haya sasa kwa faida ya raisi Samia na serikali/CCM, hata kama Samia hatakubaliana na hili.

Lakini pia, inawezekana kabisa wanaofanya haya wanafanya haya wakiwa wamemshawishi Raisi Samia kuwaacha wafanye kile ambacho wanaona ni kwa faida yake na serikali/CCM bila yeye kuhusika moja kwa moja kama ilivyokuwa kwa Raisi Magufuli, kwamba wewe tuachie sisi, tunajua la kufanya, wewe kaa kando.

Na pia, inawezekana wanaoteka na kuua wanafanya haya kwa faida yao wenyewe, kwamba ni ka "sindiketi" fulani ka viongozi mafisadi ambao wanaelewa uwepo wa raisi Samia madarakani unawapa fursa kubwa za kujitajirisha na hivyo wanakaendeleza kale "kajimfumo" ka Magufuli kwa kutumia fedha zao wenyewe kugharamia "kajimfumo" ka utekaji na uuaji bila raisi Samia kuhusishwa wala fedha za serikali kutumiwa!

Lakini sasa, ni vigumu sana kuwazia kwamba watu walio katika mfumo wa vyombo vya dola vya usalama, au viongozi mafisadi serikalini, wanaweza kufanya haya bila raisi Samia kujua. Haiwezekani kabisa kwamba "intelijensia" ya raisi Samia ndani ya serikali na vyombo vya dola vya usalama haina habari juu ya hili jambo ambalo linafanya raisi Samia asiwe na habari juu yake. Siwezi kuamini kwamba raisi Samia hajui juu ya hili kwa sababu tu ya udhaifu wa intelijensia yake binafsi (the president's people) au intelijensia rasmi ndani ya serikali au vyombo vya dola vya usalama, ambayo ingempa habari kamili juu ya jambo hili. Huwezi ukawa raisi wa nchi halafu usiwe na intelijensia ndani ya vyombo vya usalama ya kukuwezesha kujua jambo kama hili - utapinduliwa au kuuawa kirahisi sana!

Kwa maelezo haya, inafanya raisi Samia astahili lawama zote za utekaji na uuaji unaoendelea, hata kama hahusiki moja kwa moja. Kumbuka, ilikuwa ni intelijensia binafsi ya Magufuli iliyomwambia kwenye mkutano huu nenda na kiti chako usikalie kiti walichokuandalia, au ukienda kwenye ile ziara, jifanye unaenda kula kwa mama ntilie usile chakula walichokuandalia! Sasa, ndio tuseme raisi Samia hana intelijensia ya namna hii? Siamini!
 
Kuna watu wamemlaumu raisi Samia moja kwa moja kwamba anahusika na utekaji na uuaji unaofanyika nchini kwa sababu kuna viashiria vikubwa sana vyombo vya dola vinahusika katika uhalifu huu.

Lakini je, ni kweli kwamba raisi Samia anahusika moja kwa moja na utekaji na uuaji unaofanyika nchini hivi sasa? Binafsi sidhani kama raisi Samia anahusikika moja kwa moja kama ilivyokuwa kwa raisi Magufuli. Hata hivyo, raisi Samia hawezi kukwepa lawama, na hili anapaswa alitambue.

Raisi Samia anajua wazi kwamba huu mchezo wa kuteka na kuua, wakati wa Magufuli, uliingizwa katika vyombo vya dola vya usalama, kwa namna ya kuwa "kajimfumo" (informal institutionalization in the government security organs), na watu walipewa hii kazi maalum. Na sasa kuna dalili kwamba kale "kajimfumo" alikokaanzisha Magufuli bado kanaendelea, labda bila Samia "kuhusika" kwa namna ya yeye kuchagua kutohusika moja kwa moja, au kutojua.

Na tena, inawezekana kabisa raisi Samia hahusiki kwa kuwa kuna watu ambao walihusika na "kajimfumo" ka Magufuli ka kuteka na kuua, ambao wanaendelea kufanya haya wakiona kwamba, kama walifanya haya kwa faida ya Magufuli na serikali/CCM wakati ule, basi wanapaswa kufanya haya sasa kwa faida ya raisi Samia na serikali/CCM, hata kama Samia hatakubaliana na hili.

Lakini pia, inawezekana kabisa wanaofanya haya wanafanya haya wakiwa wamemshawishi Raisi Samia kuwaacha wafanye kile ambacho wanaona ni kwa faida yake na serikali/CCM bila yeye kuhusika moja kwa moja kama ilivyokuwa kwa Raisi Magufuli, kwamba wewe tuachie sisi, tunajua la kufanya, wewe kaa kando.

Na pia, inawezekana wanaoteka na kuua wanafanya haya kwa faida yao wenyewe, kwamba ni ka "sindiketi" fulani ka viongozi mafisadi ambao wanaelewa uwepo wa raisi Samia madarakani unawapa fursa kubwa za kujitajirisha na hivyo wanakaendelea kale "kajimfumo" ka Magufuli kwa kutumia fedha zao wenyewe kugharamia "kajimfumo" ka utekaji na uuaji bila raisi Samia kuhusishwa wala fedha za serikali kutumiwa!

Lakini sasa, ni vigumu sana kuwazia kwamba watu walio katika mfumo wa vyombo vya dola vya usalama, au viongozi mafisadi serikalini, wanaweza kufanya haya bila raisi Samia kujua. Haiwezekani kabisa kwamba "intelijensia" ya raisi Samia ndani ya serikali na vyombo vya dola vya usalama haina habari juu ya hili jambo ambalo linafanya raisi Samia asiwe na habari juu yake. Siwezi kuamini kwamba raisi Samia hajui juu ya hili kwa sababu tu ya udhaifu wa intelijensia yake binafsi (the president's people) au intelijensia rasmi ndani ya serikali au vyombo vya dola vya usalama, ambayo ingempa habari kamili juu ya jambo hili. Huwezi ukawa raisi wa nchi halafu usiwe na intelijensia ndani ya vyombo vya usalama ya kukuwezesha kujua jambo kama hili - utapinduliwa au kuuawa kirahisi sana!

Kumbuka, ilikuwa ni intelijensia binafsi ya Magufuli iliyomwambia kwenye mkutano huu nenda na kiti chako usikalie kiti walichokuandalia, au ukienda kwenye ile ziara, jifanye unaenda kula kwa mama ntilie usile chakula walichokuandalia! Raisi Samia hana intelijensia ya namna hii? Siamini!
Aah!,mmh!
 
Maandiko uchwara kama haya unadhani mnamtetea rais kumbe mnamvua nguo. Sasa kama watu binafsi wanaweza kufanya hayo, kuna rais hapo au pazia tu
 
Umemaliza kila kitu,uchunguzi Bado!Majibu mepesi mno.
Hakuna uchunguzi hapo. Na kama katika hili raisi anahitaji uchunguzi ili umpe majibu, basi intelijensia yake inapwaya mno. You have to be a complete idiot to believe kwamba hajui kitu hapa.
 
Maandiko uchwara kama haya unadhani mnamtetea rais kumbe mnamvua nguo. Sasa kama watu binafsi wanaweza kufanya hayo, kuna rais hapo au pazia tu
Kama umesoma ukaona thread hii iko katika kumtetea raisi, basi wewe ni kilaza mno!
 
Anajua kila kitu na ndiyo maana alivitetea vyombo vya dola kwa kusema matukio yale ni vijidrama.
 
Anajua kila kitu na ndiyo maana alivitetea vyombo vya dola kwa kusema matukio yale ni vijidrama.
Na katika mambo ya saikolojia, kauli kama hiyo inatoka kwa mtu anaejua kinachoendelea, na anajaribu kulifanya jambo lionekane dogo au linalotokea kila siku au kila mahali

Tundu Lissu alipopigwa risasi, jambo la kwanza Magufuli alilofanya ni kumpigia simu Mwigulu Nchemba, akiwa waziri wa mambo ya ndani, atangaze kwamba serikali haihusiki na jaribio la kuumua Lissu. Mwigulu alikataa na hasira ya Magufuli ikawaka juu yake!
 
Uyo alikuwepo zama za wendazake kwaiyo acha kazi iendelee
Na akasema mie msinihusishe? Inawezekana ndio maana vyombo vya dola vinajiamnimi sana siku hizi na mara nyingi vikifanya mambo sio tu kama vipo above the law, bali zaidi "above Samia".
 
Lakini pia, inawezekana kabisa wanaofanya haya wanafanya haya wakiwa wamemshawishi Raisi Samia kuwaacha wafanye kile ambacho wanaona ni kwa faida yake na serikali/CCM bila yeye kuhusika moja kwa moja kama ilivyokuwa kwa Raisi Magufuli, kwamba wewe tuachie sisi, tunajua la kufanya, wewe kaa kando.
Braza😂😂
 
Kuna watu wamemlaumu raisi Samia moja kwa moja kwamba anahusika na utekaji na uuaji unaofanyika nchini kwa sababu kuna viashiria vikubwa sana vyombo vya dola vinahusika katika uhalifu huu.

Lakini je, ni kweli kwamba raisi Samia anahusika moja kwa moja na utekaji na uuaji unaofanyika nchini hivi sasa? Binafsi sidhani kama raisi Samia anahusikika moja kwa moja kama ilivyokuwa kwa raisi Magufuli. Hata hivyo, raisi Samia hawezi kukwepa lawama, na hili anapaswa alitambue.

Raisi Samia anajua wazi kwamba huu mchezo wa kuteka na kuua, wakati wa Magufuli, uliingizwa katika vyombo vya dola vya usalama, kwa namna ya kuwa "kajimfumo" (informal institutionalization in the government security organs), na watu walipewa hii kazi maalum. Na sasa kuna dalili kwamba kale "kajimfumo" alikokaanzisha Magufuli bado kanaendelea, labda bila Samia "kuhusika" kwa namna ya yeye kuchagua kutohusika moja kwa moja, au kutojua.

Na tena, inawezekana kabisa raisi Samia hahusiki kwa kuwa kuna watu ambao walihusika na "kajimfumo" ka Magufuli ka kuteka na kuua, ambao wanaendelea kufanya haya wakiona kwamba, kama walifanya haya kwa faida ya Magufuli na serikali/CCM wakati ule, basi wanapaswa kufanya haya sasa kwa faida ya raisi Samia na serikali/CCM, hata kama Samia hatakubaliana na hili.

Lakini pia, inawezekana kabisa wanaofanya haya wanafanya haya wakiwa wamemshawishi Raisi Samia kuwaacha wafanye kile ambacho wanaona ni kwa faida yake na serikali/CCM bila yeye kuhusika moja kwa moja kama ilivyokuwa kwa Raisi Magufuli, kwamba wewe tuachie sisi, tunajua la kufanya, wewe kaa kando.

Na pia, inawezekana wanaoteka na kuua wanafanya haya kwa faida yao wenyewe, kwamba ni ka "sindiketi" fulani ka viongozi mafisadi ambao wanaelewa uwepo wa raisi Samia madarakani unawapa fursa kubwa za kujitajirisha na hivyo wanakaendeleza kale "kajimfumo" ka Magufuli kwa kutumia fedha zao wenyewe kugharamia "kajimfumo" ka utekaji na uuaji bila raisi Samia kuhusishwa wala fedha za serikali kutumiwa!

Lakini sasa, ni vigumu sana kuwazia kwamba watu walio katika mfumo wa vyombo vya dola vya usalama, au viongozi mafisadi serikalini, wanaweza kufanya haya bila raisi Samia kujua. Haiwezekani kabisa kwamba "intelijensia" ya raisi Samia ndani ya serikali na vyombo vya dola vya usalama haina habari juu ya hili jambo ambalo linafanya raisi Samia asiwe na habari juu yake. Siwezi kuamini kwamba raisi Samia hajui juu ya hili kwa sababu tu ya udhaifu wa intelijensia yake binafsi (the president's people) au intelijensia rasmi ndani ya serikali au vyombo vya dola vya usalama, ambayo ingempa habari kamili juu ya jambo hili. Huwezi ukawa raisi wa nchi halafu usiwe na intelijensia ndani ya vyombo vya usalama ya kukuwezesha kujua jambo kama hili - utapinduliwa au kuuawa kirahisi sana!

Kwa maelezo haya, inafanya raisi Samia astahili lawama zote za utekaji na uuaji unaoendelea, hata kama hahusiki moja kwa moja. Kumbuka, ilikuwa ni intelijensia binafsi ya Magufuli iliyomwambia kwenye mkutano huu nenda na kiti chako usikalie kiti walichokuandalia, au ukienda kwenye ile ziara, jifanye unaenda kula kwa mama ntilie usile chakula walichokuandalia! Sasa, ndio tuseme raisi Samia hana intelijensia ya namna hii? Siamini!
Nimezingatia matumizi ya neno LABDA...!!!
 
Kweli,sijaliona mie. Hata hivyo hata kama limetumika, ni sawa, kwa sababu kuna possibility kama nne hivi hapo
Nakuonyesha, pia naendelea kuzingatia mayumizi ya neno INAWEZEKANA na WANAWEZA.

1728309216653.png
 
Nakuonyesha, pia naendelea kuzingatia mayumizi ya neno INAWEZEKANA na WANAWEZA.

View attachment 3117967
Hivi umeenda shule wewe? Inaonekana nadharia ya thread huelewi kabisa. Huu sio ushahidi au proven facts naweka hapa. Hizi ni plausible scenarios juu ya what is behind utekaji na uuaji, ikimaanisha one of the four could be true, but not necessarily all of them. Elewa context acha kuji-expose weakness yako katika mambo ya uchambuzi. Hata katika upelelezi tunaanza na scenarios, na kisha una-eliminate moja baada ya nyingine. Ndio maana mkeo anaweza kuuawa wewe kama mume ukawa mshukiwa, hadi iwe proven otherwise.
 
Kuna watu wamemlaumu raisi Samia moja kwa moja kwamba anahusika na utekaji na uuaji unaofanyika nchini kwa sababu kuna viashiria vikubwa sana vyombo vya dola vinahusika katika uhalifu huu.

Lakini je, ni kweli kwamba raisi Samia anahusika moja kwa moja na utekaji na uuaji unaofanyika nchini hivi sasa? Binafsi sidhani kama raisi Samia anahusikika moja kwa moja kama ilivyokuwa kwa raisi Magufuli. Hata hivyo, raisi Samia hawezi kukwepa lawama, na hili anapaswa alitambue.

Raisi Samia anajua wazi kwamba huu mchezo wa kuteka na kuua, wakati wa Magufuli, uliingizwa katika vyombo vya dola vya usalama, kwa namna ya kuwa "kajimfumo" (informal institutionalization in the government security organs), na watu walipewa hii kazi maalum. Na sasa kuna dalili kwamba kale "kajimfumo" alikokaanzisha Magufuli bado kanaendelea, labda bila Samia "kuhusika" kwa namna ya yeye kuchagua kutohusika moja kwa moja, au kutojua.

Na tena, inawezekana kabisa raisi Samia hahusiki kwa kuwa kuna watu ambao walihusika na "kajimfumo" ka Magufuli ka kuteka na kuua, ambao wanaendelea kufanya haya wakiona kwamba, kama walifanya haya kwa faida ya Magufuli na serikali/CCM wakati ule, basi wanapaswa kufanya haya sasa kwa faida ya raisi Samia na serikali/CCM, hata kama Samia hatakubaliana na hili.

Lakini pia, inawezekana kabisa wanaofanya haya wanafanya haya wakiwa wamemshawishi Raisi Samia kuwaacha wafanye kile ambacho wanaona ni kwa faida yake na serikali/CCM bila yeye kuhusika moja kwa moja kama ilivyokuwa kwa Raisi Magufuli, kwamba wewe tuachie sisi, tunajua la kufanya, wewe kaa kando.

Na pia, inawezekana wanaoteka na kuua wanafanya haya kwa faida yao wenyewe, kwamba ni ka "sindiketi" fulani ka viongozi mafisadi ambao wanaelewa uwepo wa raisi Samia madarakani unawapa fursa kubwa za kujitajirisha na hivyo wanakaendeleza kale "kajimfumo" ka Magufuli kwa kutumia fedha zao wenyewe kugharamia "kajimfumo" ka utekaji na uuaji bila raisi Samia kuhusishwa wala fedha za serikali kutumiwa!

Lakini sasa, ni vigumu sana kuwazia kwamba watu walio katika mfumo wa vyombo vya dola vya usalama, au viongozi mafisadi serikalini, wanaweza kufanya haya bila raisi Samia kujua. Haiwezekani kabisa kwamba "intelijensia" ya raisi Samia ndani ya serikali na vyombo vya dola vya usalama haina habari juu ya hili jambo ambalo linafanya raisi Samia asiwe na habari juu yake. Siwezi kuamini kwamba raisi Samia hajui juu ya hili kwa sababu tu ya udhaifu wa intelijensia yake binafsi (the president's people) au intelijensia rasmi ndani ya serikali au vyombo vya dola vya usalama, ambayo ingempa habari kamili juu ya jambo hili. Huwezi ukawa raisi wa nchi halafu usiwe na intelijensia ndani ya vyombo vya usalama ya kukuwezesha kujua jambo kama hili - utapinduliwa au kuuawa kirahisi sana!

Kwa maelezo haya, inafanya raisi Samia astahili lawama zote za utekaji na uuaji unaoendelea, hata kama hahusiki moja kwa moja. Kumbuka, ilikuwa ni intelijensia binafsi ya Magufuli iliyomwambia kwenye mkutano huu nenda na kiti chako usikalie kiti walichokuandalia, au ukienda kwenye ile ziara, jifanye unaenda kula kwa mama ntilie usile chakula walichokuandalia! Sasa, ndio tuseme raisi Samia hana intelijensia ya namna hii? Siamini!
Ingekuwa Sir100 hajui kinachoendelea nakwambia isingepita hata week mbili wangekuwa washakamatwa wote...Ukiona hwajakamata mtu jua ni PROJECT zao.
 
Ingekuwa Sir100 hajui kinachoendelea nakwambia isingepita hata week mbili wangekuwa washakamatwa wote...Ukiona hwajakamata mtu jua ni PROJECT zao.
Nakubaliana nawe 100%. Kama huu utekaji na uuaji seerikali isingekuwa inahusika kwa namna moja au nyingine, isingechukua muda kwa serikali kujua ukweli wa jambo kubwa kama hili na watu waliohusika kukamatwa. Hata pale viongozi wa polisi wanapoliongelea, body language inaonyesha kabisa wanajua wanachosema sio kweli

Kwa mfano kamanda mmoja wa Polisi anaongea kama vile hana uwezo wa akili sawasawa kwamba tulipomhoji Sativa, akiwa na polisi, alisema alitekwa na washikaji. Kwenye mitandao, akiwa mbali na polisi, kaongea tofauti. Sasa wewe, kama Sativa anaona anahojiwa na Polisi waliomteka, atasema nilitekwa na Polisi, wakati hana nguvu na anajua wanaweza kuja kummalizia kuua ushahidi wowote zaidi alionao? Hivi huyu mtu anawezaje kukomalia argument kama hiyo kama ana akili sawasawa?
 
Back
Top Bottom