Kuna uwezekano mkubwa Simba kuanzia hatua ya pili Champion League msimu ujao

Kwani mwakani tunapeleka timu ngapi CAF?
 
H

Ii nikweli embu assume ni matokeo ya shule unapeleka report nyumbani umekuwa wa 12 sasa wewe utasema ni mwanafunzi bora kweli simba ya kawaida sana

Mbona umeishia wa kumi na mbili, hujasema idadi ya vilabu Afrika Ni ngapi. Simba Ni ya kumi na mbili Chini ya vilabu zaidi ya Mia mbili
 
Mpumbavu mama yako, alie lea toto jinga kama wewe unae amini team kufika robo finally ni kubwa hata pamba unayo cheza nayo ipo robo finally nayo ni kubwa?

Duh! Unalinganisha Azam confederation cup ya Tanzania pekee na CAF CUP la bara Zima Africa. Please tukubali ukweli Simba kajitahidi.
 
Duh! Unalinganisha Azam confederation cup ya Tanzania pekee na CAF CUP la bara Zima Africa. Please tukubali ukweli Simba kajitahidi.
Read between the lines unapo jiita mkubwa onyesha mafanikio sio unajiita mkubwa kisa upo quarter final mfano Benifica wamefika robo finally UEFA unaweza waita team kubwa au Spurs walifika final ya UEFA utawaweka kwenye team giant ulaya?
 
E
Mbona umeishia wa kumi na mbili, hujasema idadi ya vilabu Afrika Ni ngapi. Simba Ni ya kumi na mbili Chini ya vilabu zaidi ya Mia mbili
Even that nafasi ya 12 usiseme ww ni bora
 
Utopolo inawauma sana

Na mwakani kama kawaida mnatoka mapema tu kenge nyie
 
Mbona haueleweki
Nilichomaanisha ni kwamba Petro de Luanda na Setif ndio timu mbili pekee zilizochini ya Simba ambazo zimesalia kwenye michuano ya klabu bingwa.

Petro de Luanda wanashika nafasi ya 25 wakina na point 14.5 na Setif nao ni wa 27 ana point 13. Endapo Petro de Luanda akicheza fainali atajikisanyia point 25 hivyo itamfanya kufikisha jumla ya point 36. Na pia kwa nchini kwao ana uhakika wa kufuzu kucheza klabu bingwa msimu ujao. Na endapo wakifuzu kucheza nusu fainali watakuwa wamejikusanyia point 20 hivyo watakuwa na jumla ya point 31

Setif hawa nao endapo wakicheza nusu fainali watakuwa na point 28 ambazo ni sawasawa na Simba endapo wakitolewa hatua hii. Setif wakifuzu kucheza fainali watakuwa na jumla ya point 33 japo hawa Setif kwenye ligi yao bado hajawa na uhakika wa kufuzu kucheza klabu bingwa msimu ujao.

Hivyo ni lazima Simba iombe Petro de Luanda itolewe kesho ili Simba ndio ichukue advantage ya kutofuzu kwa Berkane. Kinyume na hapo itakuwa ni vigumu kuanzia raundi ya pili kwa Simba. Naruhusu kurekebishwa
 
Msiwaze wa juu pekee fikiria na walio chini ya Simba(Petro de Luanda) akifuzu kucheza nusu fainali ni kwamba ile nafasi Berkane kutofuzu nchini kwao atakuwa ameibeba wao, na Simba itambidi aanze hatus ya awali
 
Kuna asilimia zaidi ya 85 Simba kuanzia raundi ya pili. Mara paap fainali ya klabu bingwa inachezwa kati ya Petro de Luanda vs Setif
Mara paap....Simba anachukua kombe la shirikisho.
 
Mara paap....Simba anachukua kombe la shirikisho.
Itakuwa ni hatua kubwa sana kwa Tanzania, na tutamfuata Mwinyi akatengue rasmi kauli yake. Simba kuchukua kombe linawezekana hilo kwasababu hakuna timu inayoingiza wachezaji zaidi ya 11 uwanjani.
 
Itakuwa ni hatua kubwa sana kwa Tanzania, na tutamfuata Mwinyi akatengue rasmi kauli yake. Simba kuchukua kombe linawezekana hilo kwasababu hakuna timu inayoingiza wachezaji zaidi ya 11 uwanjani.
Tutazunguka na kombe nchi nzima
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…