Kuna uwezekano mkubwa Simba kuanzia hatua ya pili Champion League msimu ujao

Mm nadhani hamkumwelewa manara. Ni hivi akili yake ipo yanga tatizo mawazo yake yapo Simba, Sasa kinacho vuruga anashindwa kuwa eneo moja kwa wakati sahihi. Simba v/s yanga.
 
Tulichokuwa na uhakika ni Simba sio bingwa wa ligi kuu, hayo mengine ni kama kubeti....
Usiumize kichwa Time Will tell.
 
Setif wamefuzu nusu faina kwaiyo wamefikisha pwenti ngapi
 
Setif wamefuzu nusu faina kwaiyo wamefikisha pwenti ngapi
Mpaka sasa wana point 28 ambazo ni sawa sawa na alizonazo Simba kwasasa. Sema hawa Setif kwenye ligi ya kwao anakazi ya kufanya ili aweze kufuzu kucheza klabu bingwa msimu ujao. Wana point 37 huku wakiwa na vipolo mechi mbili. Anayeshika nafasi ya pili kwenye msimamo wao anapoint 46. Petro de Luanda ndio timu yenye athari ya moja kwa moja kwa Simba endapo tu wakimtoa Mamelod leo.
 
Kumbe maombi ya wana Msimbazi yanabidi yaanze leo, kwa kuomba Petro de Luanda watolewe
 
Ila Simba atamtoa Pirates kwake si ndio?
Inaonekana mashabiki wa Uto mna makaptura kabisa matako hayakaliki, maana hata sehemu ambayo Simba Sc haijatajwa ni lazima muitaje?

Sasa kwenye hiyo comment uliyo-quote, Simba Sc inahusikaje?

Yanga inacheza leo ila hamna furaha kabisa mioyoni mwenu, kwasababu ni mashindano ya mbuzi.
 
Mkuu mpira huu unaweza shangaa ngoma ikaisha kwa sare
Mmh labda, lakini kwa jinsi matokeo yalivyo mwenye faida ni Mamelod (goli la ugenini).

Yeye hata akifunga moja tu bila kurusu goli, anakuwa amepita.
 
Mmh labda, lakini kwa jinsi matokeo yalivyo mwenye faida ni Mamelod (goli la ugenini).

Yeye hata akifunga moja tu bila kurusu goli, anakuwa amepita.
Mkuu kipindi cha kwanza kimeisha ngoma bado ni ngumu. Jamaa first half wamefanikiwa mpango wao wa kutofungwa. Ngoja tuone kipindi cha pili Mamelod watakujaje
 
Mkuu kipindi cha kwanza kimeisha ngoma bado ni ngumu. Jamaa first half wamefanikiwa mpango wao wa kutofungwa. Ngoja tuone kipindi cha pili Mamelod watakujaje
Ni hatari mkuu, ila hawa Petro nimeangalia line up yao inaonekana wapo vizuri.

Kikosi chao kimajaa wabrazil na wareno, Mamelod akizubaa anatoka leo maana petro wataingia kipindi cha pili wakiwa na molari sana.

Mambo yakiwa hivi, naiona penalty wakipewa mamelod.
 
Coefficient ya ubora wa ligi ndo unaamua timu zipi zianzie round ya ngapi? Na ligi hiyo iingize timu ngapi katika mashindano ya CAF.

Pamoja na unazi wangu wa Yanga, Simba imechangia Sana kukuza ubora wa ligi(coefficient ya ligi ya Tanzania katika list ya CAF. Na ilitokea kweli ikafikia hatua ya ligi yetu kutoa timu ya kuanzia round ya 2 badala ya kwanza basi tambua timu itakayokuwa ya 1 kwa ligi(bingwa) ndo atafaidika. So hata kama Simba wamiiwezesha ligi yetu kufikia ubora huo na Yanga akatwaa ubingwa then Yanga ataanzia round ya pili na atakayekuwa wapili likely Simba ataanza round ya kwanza ya playoffs
 
Sio kweli mkuu anayeanzia raundi ya pili ni timu zilizo kwenye top ten kwenye rank za CAF
 
Kwahiyo Manara alikuwa sawa?
 
Moja moja huku Africa kusini
 
Je kwa Mkuu
😂😂haha kwaio hata kama una 0.5 points unaanzia wa pili ausio kama hujui kitu bora unyamaze au uulize
 
Kwaio Mkuu kwa mfano Rs Berkane akachukua kombe la shirikisho si atafuzu Cafcl …
Halafu ikatokea hajamaliza nafasi ya 2 kwenye ligi kisheria atafuzu moja kwa moja ..Je Morroco atapeleka timu 3 au Mmoja anabidi apishe ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…