Kuna uwezekano mkubwa Simba kuanzia hatua ya pili Champion League msimu ujao

Nilichokisema kimetimia ni rasmi Petro De Luanda wanafikisha alama 31 hivyo inachukua rasmi nafasi ya Berkane kutofuzu. Hivyo ili Simba ianzei raundi ya pili kwenye klabu bingwa msimu ujao ni lazima ajiongezee point ili ampite Petro De Luanda. Hivyo anapaswa kesho afuzu
 
Matusi tena?! kisa mpira
 
Kwani coefficient ni mali ya club au shirikisho zinapo toka team?
Kuna mambo mawili mnachanganya. Kuna kitu kinaitwa association ranking halafu kuna club ranking. Kwenye association ranking hapo ndipo inachukuliwa point zote zilizokusanya na klabu zake hiyo association husika na kisha inafanya ranking ili kuweza kupata association 12 ambazo zitakuwa zinaingiza tumu mbili kwenye michuano ya kimataifa. Kisha kuna club ranking ambapo inachukuliwa timu 10 ambazo hizo hazitoanzia kwenye preliminary roundi

Nakupa mfano katika association ranking ya msimu wa 2021 Algeria inashika nafasi ya 4 bingwa wa Algeria mwaka 2021 alikuwa ni Belouizdad. Lakini angalia Belouizdad pamoja na kuwa bingwa nchini kwao lakini kaanzia preliminary round msimu huu kwasababu hakuwa kwenye top ten ya CAF
 
Aisee
Luanda✅
Setif ✅
 
Hujui chochote kuhusu soka la afrika na kanuni zake jipe muda kwanza kujifunza then uje uchangie ukiwa unajua unacho changia
 
Nafasi ya pyramids anaichukua nani?
 
Ikatokea Ligi ya NBC simba akawa nafasi ya 5 msimu ujao atashiriki kombe lipi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…