Tetesi: Kuna uwezekano mkubwa wa LOCKDOWN nchi nzima. Kama hujajiandaa fanya sasa

Status
Not open for further replies.

Dalili zipo. Magufuli anaweza kutangaza total lockdown ili uchaguzi usifanyike na yeye aendelee kutawala. Ameona kimbunga/nyomi ya LISSU na kwamba yeye hachomiki.
 

Hiloooo 🤪🤪🤪🤪🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Kwa kweli Rais wetu mpendwa hatua zake zilikuwa za baraka sanaaaa.. kwa hili pia dio maana 2020 anaibeba bila wasiwasi..

Sweden ya Africa

Balifikiri tutakufaaaaaa.. bameumbuka.. mvhi za jirani.. wanatamani wangemfata hatua zake..

Hakuna Mungu kama Wewe....imba💃🏽💃🏽💃🏽💃🏽💃🏽💃🏽💃🏽💃🏽💃🏽💃🏽💃🏽💃🏽💃🏽

Magufuli 2020 💯
 
Kaka nitakupitia.. tukapige kura pamoja.. JJJJJJJ PPPPPPP MMMMMMM anza kuiota.. [emoji28][emoji28][emoji28][emoji1437][emoji1437][emoji1437][emoji1437][emoji1437][emoji1437][emoji1437][emoji3060][emoji3060][emoji3060][emoji3060][emoji3060][emoji3060]
Wagombea wa ccm huwa wanatuambia Tuache Kutegemea Kuajiriwa Na Serikali, Tujitegemee Na Tujiajiri Wenyewe!! Wakati Wao Wanatuomba Kura Ili Tuwape Ajira Waajiriwe Na wananchi.

TUSAIDIANE MAWAZO HAPA VIJANA WENZANGU, HAWA WATU ZIMO KWELI VICHWANI MWAO ?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kaka nitakupitia.. tukapige kura pamoja.. JJJJJJJ PPPPPPP MMMMMMM anza kuiota.. [emoji28][emoji28][emoji28][emoji1437][emoji1437][emoji1437][emoji1437][emoji1437][emoji1437][emoji1437][emoji3060][emoji3060][emoji3060][emoji3060][emoji3060][emoji3060]
Wagombea wa ccm huwa wanatuambia Tuache Kutegemea Kuajiriwa Na Serikali, Tujitegemee Na Tujiajiri Wenyewe!! Wakati Wao Wanatuomba Kura Ili Tuwape Ajira Waajiriwe Na wananchi.

TUSAIDIANE MAWAZO HAPA VIJANA WENZANGU, HAWA WATU ZIMO KWELI VICHWANI MWAO ?


Sent using Jamii Forums mobile app
 


Hii hata sitandadi wani hatakuunga mukono..
Unafahamu lile neno
Nansensi.. basi imekujaa wewe.. duniani hakuna cha bure.. ukitaka cheo wania.. huwezi.. fanya yako upate mkate wa kula.. na usiwe mumoja iwe mingiiii...
 
Mungu anajibu maombi [emoji2969]
 
Mzee ukisema ulikosea wala hutapungukiwa na kitu, just admit hili bango ni kama ule utabiri wako wa Simba vs Yanga, you won't lose a thing.
Yaani hataki kukubali tu kama amekosea[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani corona ingekuwepo basi wa kwanza kufa tungekuwa sisi wanafunzi wa vyuo maana walitutanguliza sisi kwa majaribio.
Cha ajabu ni kwamba tangu tumeenda mwezi June hadi tunarudi September Wala hatujawahi vaa barakoa na tulikuwa maelfu ya watu..sijawahi ona watu wanakufa kwa Corona.

Siasa nyingine uchwara sana,na yule kiongozi wao alikuwa anashadadia Sana Corona iendelee kutetema lakini Mungu si Lisu Wala Mshana [emoji23][emoji1787]
Mawazo ya Mungu ni tofuati na ya mwanadamu [emoji2772]
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…