Tetesi: Kuna uwezekano mkubwa wa LOCKDOWN nchi nzima. Kama hujajiandaa fanya sasa

Status
Not open for further replies.
Uchaguzi ungefanyika JF wangepatapo ka ushindi ila huku tulipo JPM anashinda mapema mno.

Naombea tu JF isizimwe siku hio tuwaone watakavyokua wanapaparika eti wameibiwa kura.
 
Naomba uweke group husika ...usiishi kwa hisia...pigeni madomo yote lakini hakuna hata mmoja wenu atakayekuja hapa na ithibati ya kitaalam kuwa hakuna corona Tanzania
 
Na kipi sasa ...nipe takwimu zinazoonesha hakuna covid Tanzania... Nimewaomba hao wengine wote wameshindwa....na hakuna atakayeweza
Mimi nasema hakuna corona hapa TZ bali kuna magonjwa mengine kama kawaida ila hilo gonjwa lenu la kupika limeshindwa! Sasa wewe unayesema gonjwa lenu la corona lipo TZ tuambie liko mtaa gani mimi ninakoishi huku Mbezi Beach halipo wala sijawahi ona jirani zangu wanaumwa ama kufa kwa corona tangu mtangaze!
 
Nyie mnaosema ipo mtuambie iko wapi??
Au mna anga la peke yenu hapa tz ambako mnaiona Corona?
Nikwambie mara ngapi? Nimetaja mpaka kituo badala ya kwenda na kupata ukweli uko nyuma ya keyboard unataka uambiwe ukweli..upi sasa
 
Moderator 😳 😳 😳 😳 😳 😳 😳 😳 😳 😳 😳 😳 😳 😳 😳 😳 😳 😳 😳 😳
 
Nenda External kituo cha upimaji hapo ndio utapata kila kitu..haya na wewe niambie takwimu zenu mnazipata wapi
 
Uchaguzi ungefanyika JF wangepatapo ka ushindi ila huku tulipo JPM anashinda mapema mno.

Naombea tu JF isizimwe siku hio tuwaone watakavyokua wanapaparika eti wameibiwa kura.
Nani awaibie kura???
Huku nje watanzania siyo wajinga waanze kuchagua watu waropokaji...wanamchagua mtu makini JPM.

Yaani ukiwa humu JF unaweza kuhisi nchi inapinduliwa Kumbe Wala[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Ngoja waendelee kujazana upepo humu..majibu watayapata October 28[emoji1787][emoji110]
 
Naomba uweke group husika ...usiishi kwa hisia...pigeni madomo yote lakini hakuna hata mmoja wenu atakayekuja hapa na ithibati ya kitaalam kuwa hakuna corona Tanzania
Who allegies is the one who is supposed to prove his/allegations! Therefore you are the one who is supposed to bring here the evidences to prove your allegations that TZ is affected with COVID-19!
 
JPM Kwenda mbele, hakuna pingamizi
 
Nenda External kituo cha upimaji hapo ndio utapata kila kitu..haya na wewe niambie takwimu zenu mnazipata wapi
Sawa kama upo Mbona hatufanyi Precautions zozote kuhus hilo Gonjwa kama hapo Mwanzo Daladala watu tunasimama, ndoa tunafunga kama kawa, kwanini yani ?? Kwanini hatupo Lockdown kama ulivyosema Kwanini yani ?? NIJIBU
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…