Kuna kitu watu wengi mnajidanganya. Mnasema ni bora kufa kwa corona kuliko kufa kwa njaa.70% ya watanzania tunaishi maisha ya ndege yaani tukishakwisha amka asubuhi hatujui leo rizki inatoka wapi .Sasa watupige hiyo LOCK DOWN si ndo watasababisha vifo vingi vya njaa kuliko ambavyo vingesababishwa na huyo covid19
Do you think wenye hayo maduka ambayo ww unataka yafungwe watakuelewa?Total lockdown ni impossible kwa mazingira yetu na viongozi wanafahamu hilo..
Solution ni kufunga biashara zote ambazo sio vital kwa survival kama maduka ya hardware ,maduka ya vyombo ,maduka ya simu n.k then waache maduka ya vyakula na maduka ya madawa tu..
Wakifanya hivyo watapunguza idadi ya watu wanaotembea tembea hovyo.
Ukiachana na Quarrantine, Taja njia nyingine ambayo imewahi kutumika na kupelekea kupungua kwa cases mpya za Covid-19. Na hiyo njia ilitumiwa na nchi gani?Serikali ikiona umuhimu wa kuboresha mwenendo wake wa awali ni sawa.
Ila tufanye taratibu ambazo shughuli za uzalishaji zitafanyika na pia ugonjwa nao utapunguzwa kuenea.
Kwani kwa inavyoonekana tunaletewa badala ya ugonjwa wenyewe kuanzia hapa.
Ukiona mtu anawaza kufungiwa ujue hana nia njema na taifa hili. Ukiwa na akili timamu lazima uwafikirie na wengine. Watanzania wengi lazima watoke nyumbani ili waweze kula. HATA RAIS MWENYEWE ALILIONA HILO. HAKUSHINDWA KUTANGAZA HIYO LOCKDOWN YENU ILA KWAKIWA WATU WAKE ANAWAJUA NA KUWAJALI HAKUFANYA HIVYO. Anasisitiza hatua za tahadhari tu. Na matokeo ya hatua hizo tunayaona ni mazuri sana. TUAITISHANE NA KORONA JAMANI.Ndoto za Alnacha! Usitutishe.. in Maalim's voice!
Watz hawana uwezo wa kukaa ndani muda wote. Tafadhali msiwagombanishe na serikali yaoKwa hali inavyoendelea quarantine nchi nzima inakuja.. Inawezekana viongozi wamekubali ushauri na kijifunza toka kwa walioathirika kabla
Ni wazi muingiliano wa watu ndio kichokoo kikubwa cha kueneza virus wa corona.. Kusafiri, na kuhama sehemu moja kwenda nyingine.. Mizunguko ya siku nzima tunakutana na watu anuwai...
Toka kila sehemu.. Jioni tunarudi majumbani kwetu je tunakuwa tumesalimika kiasi gani?
Kukipambazuka tunaelekea makazini kwetu inawezekana kabisa wewe uko salama na umezingatia taratibu zote za kinga lakini je vipi jirani yako? Jana alipita wapi? Alikutana na nani? Je yuko salama? Je kazingatia tahadhari zote za kinga?
Muda unakimbia kwa kasi sana... Jiandae sasa, weka hakiba ya chakula ndani, maji na kila chenye umuhimu... Tunaweza tusimalize wiki kabla hatujatangaziwa habari mbaya ya TOTAL LOCK DOWN... Hujachelewa anza sasa
Jr[emoji769]
Kama Mkulu mwenyewe anazurula kwenye vijiwe vya kahawa,mwanae naye kila kukicha anakusanya watu na kuwahutubia hiyo lockdown itatokea wapi?Kwa hali inavyoendelea quarantine nchi nzima inakuja.. Inawezekana viongozi wamekubali ushauri na kijifunza toka kwa walioathirika kabla
Ni wazi muingiliano wa watu ndio kichokoo kikubwa cha kueneza virus wa corona.. Kusafiri, na kuhama sehemu moja kwenda nyingine.. Mizunguko ya siku nzima tunakutana na watu anuwai...
Toka kila sehemu.. Jioni tunarudi majumbani kwetu je tunakuwa tumesalimika kiasi gani?
Kukipambazuka tunaelekea makazini kwetu inawezekana kabisa wewe uko salama na umezingatia taratibu zote za kinga lakini je vipi jirani yako? Jana alipita wapi? Alikutana na nani? Je yuko salama? Je kazingatia tahadhari zote za kinga?
Muda unakimbia kwa kasi sana... Jiandae sasa, weka hakiba ya chakula ndani, maji na kila chenye umuhimu... Tunaweza tusimalize wiki kabla hatujatangaziwa habari mbaya ya TOTAL LOCK DOWN... Hujachelewa anza sasa
Jr[emoji769]
Kwa tanzania haitawezekana labda kwa masaa