GODZILLA
JF-Expert Member
- Dec 26, 2014
- 5,909
- 10,542
Kwahiyo unatabiri au?
Mawazo uchwara haya! Serikali haifanyi kazi kwa kupiga ramli na kugonganisha matunguli.
Lazima pawe na maono na mikakati ya kupambana na matokeo ya lockdown!
Kama hiyo mikakati haipo au haiwezekani, basi lockdown itakuwa ni mtego wa kifo!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mawazo uchwara haya! Serikali haifanyi kazi kwa kupiga ramli na kugonganisha matunguli.
Lazima pawe na maono na mikakati ya kupambana na matokeo ya lockdown!
Kama hiyo mikakati haipo au haiwezekani, basi lockdown itakuwa ni mtego wa kifo!
Sent using Jamii Forums mobile app