Tetesi: Kuna uwezekano mkubwa wa LOCKDOWN nchi nzima. Kama hujajiandaa fanya sasa

Tetesi: Kuna uwezekano mkubwa wa LOCKDOWN nchi nzima. Kama hujajiandaa fanya sasa

Status
Not open for further replies.
Kiufupi wapinzani wa Tanzania wanapenda Sana kuona taifa likiingia kwenye dhahama,

Nampongeza Sana Rais wetu kwa kuamua na kufahamu kuwa Ni Mungu pekee awezaye kutuokoa!

Mwenyezi Mungu utukuzwe na uhimidiwe milele na milele.
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
 
Kenya wanashikana uchawi na hela za COVID 19
 

Attachments

  • IMG-20200817-WA0011.jpg
    IMG-20200817-WA0011.jpg
    52.2 KB · Views: 1
Kwa hali inavyoendelea quarantine nchi nzima inakuja.. Inawezekana viongozi wamekubali ushauri na kijifunza toka kwa walioathirika kabla

Ni wazi muingiliano wa watu ndio kichokoo kikubwa cha kueneza virus wa corona.. Kusafiri, na kuhama sehemu moja kwenda nyingine.. Mizunguko ya siku nzima tunakutana na watu anuwai.

Toka kila sehemu.. Jioni tunarudi majumbani kwetu je tunakuwa tumesalimika kiasi gani?

Kukipambazuka tunaelekea makazini kwetu inawezekana kabisa wewe uko salama na umezingatia taratibu zote za kinga lakini je vipi jirani yako? Jana alipita wapi? Alikutana na nani? Je yuko salama? Je kazingatia tahadhari zote za kinga?

Muda unakimbia kwa kasi sana... Jiandae sasa, weka akiba ya chakula ndani, maji na kila chenye umuhimu... Tunaweza tusimalize wiki kabla hatujatangaziwa habari mbaya ya TOTAL LOCK DOWN... Hujachelewa anza sasa

Jr[emoji769]

Lini itatokea Mshana?
 
Kiufupi wapinzani wa Tanzania wanapenda Sana kuona taifa likiingia kwenye dhahama,

Nampongeza Sana Rais wetu kwa kuamua na kufahamu kuwa Ni Mungu pekee awezaye kutuokoa!

Mwenyezi Mungu utukuzwe na uhimidiwe milele na milele.
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]

Wengi wanaotaka hayo ni wachawi, wanaojificha kwenye kazi ya Mwenyezi Mungu kama watumishi wake
 
Ila vitu vingine anaweza akaandika mtu, halafu wewe unayesoma ndio unaona aibu yaaan...😂😂😂
Mimi nadhani, au niseme naamini kwamba hiyo Corona ni aina tu ya mafua.

Naamini pia si kali sana kama tulivyoaminishwa.

Pia naamini haijaisha. Nadhani ipo na watu wanaipata hapa Tanzania.

Unless labda kama siku hizi watu hawaugui tena mafua.

Lakini kama wanaugua mafua, basi pia watakuwepo wanaopata Corona.

Na kama yalivyo tu mafua ya kawaida, watu wanapona na maisha yanaendelea.

Karibu 2020 inaisha sasa na watu hawafi kwa wingi kuliko ilivyo kawaida. Spitali hazijaelemewa na wagonjwa.

Hata huko Marekani nyie subirini muone....corona itaisha tu kimya kimya baada ya tarehe 3 mwezi ujao wa Novemba.

Kiranga uione hii 🤣🤣
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom