Tetesi: Kuna uwezekano mkubwa wa LOCKDOWN nchi nzima. Kama hujajiandaa fanya sasa

Tetesi: Kuna uwezekano mkubwa wa LOCKDOWN nchi nzima. Kama hujajiandaa fanya sasa

Status
Not open for further replies.
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1536][emoji1536][emoji1536][emoji1536][emoji818][emoji818][emoji818][emoji617][emoji617][emoji617][emoji777][emoji777][emoji777]

Sent using Jamii Forums mobile app

Mbele kwa mbele
2020
πŸ’›πŸ’›πŸ’›πŸ’›πŸ’›πŸ’›πŸ’›πŸ’›πŸ’šπŸ’šπŸ’šπŸ’šπŸ’šπŸ’šπŸ’šπŸ’š
 
Mbele kwa mbele
2020
[emoji169][emoji169][emoji169][emoji169][emoji169][emoji169][emoji169][emoji169][emoji172][emoji172][emoji172][emoji172][emoji172][emoji172][emoji172][emoji172]
[emoji1536][emoji1536][emoji1536][emoji1536][emoji818][emoji818][emoji818][emoji818][emoji818][emoji617][emoji617][emoji617][emoji30][emoji30][emoji30][emoji777][emoji777][emoji777]
 
Wana kelele zisizoumiza.
Hizo spana zao watapigwa wenyewe nimeshaandaa kadi yangu ya kupigia kura

Wao watakua busy kujipaka wino kusingizia wameshapiga kura wakati kadi hawana,hawapo vutuon mwao etc

Corona corona corona ilikua wimbo wao. Mara leo wanampongeza kagame,mara wanakebehi maombi nchi nzima huku wakiwa busy kusambaza clip za museven akidhihaki maombi
Halafu wengi wanaopiga kelele humu ukiwauliza sasa kuhusu kupiga kura wanasema hawapigi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
kwa akili yako unadhani ingekuwepo lissu mpenda sifa angekaa kimya kwa namna anapenda kiki za kisiasa? angekubali kuhatarisha afya yake na za wanachama? umetumia mifano ya kitoto sana kuutetea ujinga wa mtoa mada

Again Lissu oyee

Ukienda roma kula Kama waroma, utajiju!

Kwa hio km Lissu Havai then Corona haipo Tanzania? Stupid
 
Again Lissu oyee

Ukienda roma kula Kama waroma, utajiju!

Kwa hio km Lissu Havai then Corona haipo Tanzania? Stupid
hata ukitukana hakubadili uhalisia wa namna magufuli alivyouburuza ulimwengu dhidi ya corona
 
Kwanini unataka kunilazimisha ili kufurahisha genge lisilo na takwimu mitandaoni? Wote mko na simu zenu huko mliko hakuna hata mmoja mwenye data za covid Tanzania
Niletee current data KUWA TANZANIA HAKUNA COVID nitaomba radhi bila kupepesa macho


Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe si unajua takwimu zilipo mzeiya, lete hapa ili tuthibitishe na wewe utakuwa sahihi zaidi ya wengine ambao tunaamini hakuna Corona kwa sasa. Data ziko external kama unavyosema, maana tayari una access ya huko ziliko, please zilete hapa tuone, mbona ni rahisi tu.

All in all, kuongea bila facts ni kusaidia kuleta panic na kupotosha umma, taarifa na tahadhari uliyotoa ilitakiwa kutolewa na mamlaka as wao ndio walikuwa na takwimu sahihi. Hivi unajua kuwaambia watu wanunue vyakula na maji ya kutosha, huenda wachukue fedha za kutosha na kuziweka nyumbani tayari ungeleta taharuki katika jamii? Unajua ungesababisha panic na uhaba wa bidhaa muhimu pamoja na vyakula? Kwa nini wewe ambaye huna mamlaka ulitoa tahadhari ambayo huenda ilitakiwa kutolewa na either waziri mkuu au waziri wa afya?

Unajua watu wanakuandama kwa sababu uliandika kitu usichokijua na bahati mbaya hujui kama hukujua, to-date bado hujui kama ulichoandika hukukijua. Mstaarabu akivuliwa huchutama.
 
Mbona hii topic ya Mshana Jr iko wazi sana alikuwa anajaribu kutupatia tahadhari za kuchukua maana kulikuwa na dalili tungeingia ktk lockdown. Kuna baadhi ya watu vichwa vizito sana kuelewa au mna mambo binafsi dhidi ya mshana. Hii covid 19 tumepona kwa bahati tu tupunguze majivuno kuna waliopoteza maisha labda namba ni ndogo kulinganisha sehem nyingine
Kazini kwangu watu zaid ya 6 majibu yalisoma +ve na mmoja wapo aliugua almanusura akate kamba , Mimi nilikataa kupimwa !
 
Wewe si unajua takwimu zilipo mzeiya, lete hapa ili tuthibitishe na wewe utakuwa sahihi zaidi ya wengine ambao tunaamini hakuna Corona kwa sasa. Data ziko external kama unavyosema, maana tayari una access ya huko ziliko, please zilete hapa tuone, mbona ni rahisi tu.

All in all, kuongea bila facts ni kusaidia kuleta panic na kupotosha umma, taarifa na tahadhari uliyotoa ilitakiwa kutolewa na mamlaka as wao ndio walikuwa na takwimu sahihi. Hivi unajua kuwaambia watu wanunue vyakula na maji ya kutosha, huenda wachukue fedha za kutosha na kuziweka nyumbani tayari ungeleta taharuki katika jamii? Unajua ungesababisha panic na uhaba wa bidhaa muhimu pamoja na vyakula? Kwa nini wewe ambaye huna mamlaka ulitoa tahadhari ambayo huenda ilitakiwa kutolewa na either waziri mkuu au waziri wa afya?

Unajua watu wanakuandama kwa sababu uliandika kitu usichokijua na bahati mbaya hujui kama hukujua, to-date bado hujui kama ulichoandika hukukijua. Mstaarabu akivuliwa huchutama.
Alishasema hajakosea[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tz kuna mambo ya ajabu Sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom