Akitoka MTT wakiume mimba ya mume wake akitoka wa kike mimba yamchepukomkuu nna kisa kimoja hapa ni mambo ya aibu ila ndivyo ilivyo, yeye alikutana na mchepuko siku ya 12 akarudi kwa mchumba siku ya 15 baada ya wiki dalili za ujauzito kupima hakuona kitu. baada ya wiki 3 kupima ana mimba
Hajui mimba ni ya nani?, kama ya mchepuko ndo uchumba umeisha na hataki ndoa maana anahisi inaweza kuwa ya mchepuko ikawa aibu.
maisha ya dada zetu haya ni kazi sana
Hapo ndipo nashindwa kushangaa....kweli m mungu anajua kuwapa waja mitihani asiyehitaji anapewa mwenye huitaji anakeaha kuombaaa wapiiiiMAISHA HAYA, WAKAT KUNA WATU WANATAFUTA WATOTO, WENGNE WANAKWEPA WATOTO
Acha hadithi na story za abunuasi, hivi kijiji gani hicho ambacho kuna vocha na smartphone unayo ya kuingia JF huku kikose duka la dawa au zahanati ya kuchek kama una mimba au laah?Habari za wakati huu wakuu, wakuu naombeni jibu hivi ukifanya mapenzi siku ya 11 kuna uwezekano wa kupata mimba?? Maana ni wiki mbili sasa toka nimefanya mapenzi lakn nina waswas maana tumbo linauma chini ya kitovu upande wa kulia. Ila mwenzangu nilimtahadhalisha nikamwambia atoe nje na alitoa nje kweli but Nina waswas maybe wakati anatoa nje kuna tujamaa tushatangulia u never know, na bahati mbaya nipo kijijini yaani jinsi ya kupata kipimo cha mimba mtihani , Naombeni majibu wakuu ..
Mm mzunguko wangu ubabadilikabadilika Mara 28 Mara 30 Mara 31 yaan hauelewekiMimi sijaelewa hii siku ya kumbe na moja inaanzia wapi lakini wacha niingize Nene hivyo hivyo.
Kwa ufahamu wangu ninavyofahamu kuwa kama una mzunguko wa siku ishirini na name basi unaweza shika mimba kuanzia siku ya Tisa kutoka ulivyoanza kuona hedhi..tunasema kuanzia siku ya Tisa kwa sababu mbegu za kiume zinadumu hai kwa Massa sa 72 sawa na siku tatu hivyo no rahis kushika mimba unaposex siku kama hizo.
Alafu wapo wenye mzunguko mpaka wa siku 33-35 sasa hawa wanakuwa tofauti na huyo mwenye mzunguko wa kawaida siku ishirini name jinsi ya utungwaji mimba...na wapo kwenye mzunguko mfupi zaidi.sasa inadepent wewe upo kundi gani LA hiyo mzunguko niliyotaja..na hiyo siku ya kumi na moja ulianzia wapi kuihesabu.
He he he ila dizain kama umenasa maana mimba inatabia ya kutibua tumbo kama unataka kuingiaa hedhi alafu kitu ukioniii 😀😀😀😀siku zinasongaa....
Habari za wakati huu wakuu, wakuu naombeni jibu hivi ukifanya mapenzi siku ya 11 kuna uwezekano wa kupata mimba?? Maana ni wiki mbili sasa toka nimefanya mapenzi lakn nina waswas maana tumbo linauma chini ya kitovu upande wa kulia. Ila mwenzangu nilimtahadhalisha nikamwambia atoe nje na alitoa nje kweli but Nina waswas maybe wakati anatoa nje kuna tujamaa tushatangulia u never know, na bahati mbaya nipo kijijini yaani jinsi ya kupata kipimo cha mimba mtihani , Naombeni majibu wakuu ..
Mkuu hujui kuwa kuna kununua vocha kwenye miamala??Acha hadithi na story za abunuasi, hivi kijiji gani hicho ambacho kuna vocha na smartphone unayo ya kuingia JF huku kikose duka la dawa au zahanati ya kuchek kama una mimba au laah?
hapo ni 50/50 subiri ukirudi mjini upime tu, kama mambo yamejibu we tunza tu hakuna namna. watoto wengi tumekuja kibahati mbaya na tunaleta kibahati mbaya pia.Mm mzunguko wangu ubabadilikabadilika Mara 28 Mara 30 Mara 31 yaan haueleweki
[emoji23] [emoji23] [emoji23] umekwepa mjini umeenda kunasia kijijini,,ulizani wazembe hao wajamaa??Nipo kijijini huku ningekuwa mjini mbona nishacheki
Acha hadithi na story za abunuasi, hivi kijiji gani hicho ambacho kuna vocha na smartphone unayo ya kuingia JF huku kikose duka la dawa au zahanati ya kuchek kama una mimba au laah?
Itakuwa una vinasaba vya kike wewe. Kama unaweza ingia kwenye simu ya smart phone na kuandika jf hasa kwa maeneo ambayo yana 3g. Sasa kwa uzoefu 3g iko maeneo ambayo kidogo yameendelea sasa sijui unabishana nini.Hata zahanati ikosekaneHivi vocha na smart phone si anaweza kuwa kaenda nazo au kutumiwa? kabla hujaropoka fikiria, kuna vijiji havina maduka ya dawa kabisa, na labda yapo hayana hivyo VIPIMO!
Mimba ni ya mchepukomkuu nna kisa kimoja hapa ni mambo ya aibu ila ndivyo ilivyo, yeye alikutana na mchepuko siku ya 12 akarudi kwa mchumba siku ya 15 baada ya wiki dalili za ujauzito kupima hakuona kitu. baada ya wiki 3 kupima ana mimba
Hajui mimba ni ya nani?, kama ya mchepuko ndo uchumba umeisha na hataki ndoa maana anahisi inaweza kuwa ya mchepuko ikawa aibu.
maisha ya dada zetu haya ni kazi sana
Ha ha ha. Mungu atusaidia wanawake. Yaaani zikija unaweza hata chinja mbuzi kwa furahaKama vile nakuona unavyowaza kwamba ukiona siku zako hautafanya tena mapenzi
Itakuwa una vinasaba vya kike wewe. Kama unaweza ingia kwenye simu ya smart phone na kuandika jf hasa kwa maeneo ambayo yana 3g. Sasa kwa uzoefu 3g iko maeneo ambayo kidogo yameendelea sasa sijui unabishana nini.Hata zahanati ikosekane
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ha ha ha. Mungu atusaidia wanawake. Yaaani zikija unaweza hata chinja mbuzi kwa furaha
Nenda wilaya ya tunduru ndan utaona Tanzania inaukubwa gani na baadhi yamahitaji yapo kwajili ya wahitaji tu no extra unakuta duka lina koloboi ya mafuta ya kula ya taa kiberiti unga ndala chumvi sukari magadi amila ukitaka nido na vocha fata mwenyew mjin mkuu Tanzania kubwa sana na kuna sehem unaweza kwenda ukashangaa Hv bado kunajamii ya watu wanaishi Hv karne hii? Kuna vijiji unaenda unamkuta nesi anafanya had majukum ya Dr. Maan ndy mtaalamu pekee wa afya kijijini hapo sishangai hilo aulizalo muhusika juuAcha hadithi na story za abunuasi, hivi kijiji gani hicho ambacho kuna vocha na smartphone unayo ya kuingia JF huku kikose duka la dawa au zahanati ya kuchek kama una mimba au laah?
Hapo tayari una mimba!! Yai hupevuka siku ya 14, na mbegu za uzazi zinauwezo wa kuishi katika kizazi hadi siku 3,Suala kuwa alimwagia nje ni gumu maana tule tujamaa tuna spidi sana wakati wa kutoka, na nilishajaribu huwa zinaponyoka.Habari za wakati huu wakuu, wakuu naombeni jibu hivi ukifanya mapenzi siku ya 11 kuna uwezekano wa kupata mimba?? Maana ni wiki mbili sasa toka nimefanya mapenzi lakn nina waswas maana tumbo linauma chini ya kitovu upande wa kulia. Ila mwenzangu nilimtahadhalisha nikamwambia atoe nje na alitoa nje kweli but Nina waswas maybe wakati anatoa nje kuna tujamaa tushatangulia u never know, na bahati mbaya nipo kijijini yaani jinsi ya kupata kipimo cha mimba mtihani , Naombeni majibu wakuu ..
Pole kwake lkn ni changamoto za kawaida, duniani hapa hakuna aliye mkamilifu kuna waliopo kwenye ndoa kabisa lkn wamezaa nje ya ndoa hivyo asijione kukosea sana. Aikubali hali aliyonayo na aamue mwenye asimame wapi maana ni ngumu kujua moja kwa moja ni manii za nani zilirutubisha yai kwa sasa. Wakati mwingine maisha yanahitaji msimamo na uwe na siri zako binafsi.mkuu nna kisa kimoja hapa ni mambo ya aibu ila ndivyo ilivyo, yeye alikutana na mchepuko siku ya 12 akarudi kwa mchumba siku ya 15 baada ya wiki dalili za ujauzito kupima hakuona kitu. baada ya wiki 3 kupima ana mimba
Hajui mimba ni ya nani?, kama ya mchepuko ndo uchumba umeisha na hataki ndoa maana anahisi inaweza kuwa ya mchepuko ikawa aibu.
maisha ya dada zetu haya ni kazi sana
Hizo za three days haziwezi kukufaa tena lkn pia kwa sasa zipo zinazoweza kukusaidia ambazo pia ni before 4 weeks.Mkuu sasa hizo dawa za three days zina kaz tena hapo na hii 2 weeks