Kuna uwezekano Watanzania tuna tatizo la uelewa? Nikimsikiliza Polepole, namuona Mwl. Nyerere. Nyie msiomuelewa Polepole, je Nyerere mngemuelewa?

Samia aliteua lini Polepole?
 
Pole pole hajui achakipigania, ni kitu gani kwa sasa... kinachatakiwa ni kutoa msimamo wake ni upi . Je haendelee kushirikiana na kikundi cha wahuni, au kuachana nao moja kwa moja. kama falsafa yao ya kuondoa wauni ilishindikana...
Hanamlaumu nani wakati wenyewe ndio chanzo cha wauni kuendelea kushika dola
 

Kwanza nilidhani umesoma naye au jirani yako na Ukiwa haki ya kututolea Siri za best yako. Ila ulipokosea na kunifanya nikuone kituko ulipozungumzia uchaguzi wa 2020 ndo nimejua you are nothing.

Lakini la Pili, hujui kumsikiliza mtu hasa hoja zake ndo busara yenyewe. Huwezi tuambia eti anayoongea Huyu Bwana Ni pumba tu, wakati unaona JF na mitandaoni habari ndo zake na Kuna watu wengi wanasumbuka ambao ndo nahisi waheshimiwa wako wanajitahidi kusema vijembe. Kweli mtu asiye na maana Aseme watu wastuke?

Acha wivu. Mtz mwenzako katoa hoja zake. Kama wewe mchepuo wako unabase kwa Yeriko au Mbowe au Lissu, nenda huko .
 
Watanzania wamevurugwa hakuna anaemuelewa mtu، kama watu hawakumuelewa JPM، na wengine wapo hawamuelewi mama، na jakaya hawakumuelewa, mkapa pia hawakumuelewa, yani huwa hatuelewi, hua tuko hivyo
 
Crap
 
Unalinda legacy mkuu kimya kimya?
 
Kwani Raisi Samia ndo alimteua polepole kua mbunge?
Heb mjibuni slowslow hoja zake, muache kumchonganisha na mama.
 
Hii mada haina tija yoyote.

Kwanza, Nyerere wa Azimio la Arusha ni binadamu tofauti kabisa na Polepole wa vieite. A thrift statesman and an extravagant self-serving buffoon.

Halafu, kwa bahati mbaya, Nyerere hakuwa mtakatifu kama wengi wanavyopenda kuamini. Azimio la Arusha lilikuwa na mabaya mengi. Aligoma hata kufafauna itikadi ya “ujamaa” ilikuwa ina maana gani hasa. Hakutaka mjadala wala kukosolewa. Ni baada ya kung’atuka ndio akaanza “kukiri” kuwepo makosa kwenye utawala wake na kuanza kuwasiliana na baadhi ya aliowasulubu kiuonevu - kimya kimya.

Polepole katoka kwenye harakati za kupigania utawala bora na kuwa muwezeshaji wa utawala uliokanyaga katiba, sheria, na haki za binadamu huku akifurahia ufujaji wa rasilimali za taifa. Sasa anajaribu kutafuta tena heshima aliyopoteza baada ya sponsor kuondoka!

Manufaa gani tunapata kuwalinganisha watu hawa?
 
Yaani unamfananisha nyerere na pole pole duh...
 
Hakuna pahala ambapo watu walizuiliwa wasiseme, isipokuwa watu walizuiliwa kutoa matusi na vijembe na kejeli kwa wengine au kwa serikalii.
 
HATA MIMI SIJAKUELEWA ULIYOANDIKA. NIWEKE KWENYE KUNDI LA WATANZANIA WENYE UFINYU WA AKILI.
 
Huko CCM asilia wanajifanya wana akili sana lakini ndio mabomu! Hao ndio walioiua CCM hadi ulikuwa ukivaa uniform zao unazomewa Kariakoo. Hawa akina Nape hawana akili wala uwezo wa kujibu hoja za HP!

HP atasumbua sana sana! Uzuri kuna watu smart wanaomuunga mkono. Ndio tunajua JPM alikuwa na mapungufu yake lakini huu udhalilishaji wa makusudi kwake ni dhahiri kuna mkakati wa kutaka kumfuta kabisa kichwani mwa Watanzania! Mtu kama Bulembo kwa umri wake si bure aongee yale tena akimtaja Magufuli kwa jina!

Sasa wapinzani watapitia humo humo ili kuwavuruga zaidi mrudi mlipotoka! Someni maoni ya viongozi wa Chadema, ni dhahiri wameshajua wapi wachochee kuni!
 
Nyerere alikuwa sio mjinga mjinga kama huyo mwamba
Mkuu Eng. Zezudu , mtu kufanana na mtu mwingine sio lazima wafanane akili!, akili ni nywele, kila mtu ana zake!.
Polepole anafanana na Nyerere, anavyoongea, he speaks in parables, hivyo only the few privileged ones ndani ya CCM ndio wanaomwelewa. Ameamua kuifuata falsafa ya Mwalimu, "Nitasema kweli daima". Anachosema ni kweli japo ni ukweli mchungu.
P
 
Watu tunajitoa tu ufahamu tunajifanya tunaenda na beat lakini alichosema Paschal tumekielewa na kina maana.!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…