Teko Modise
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 2,331
- 7,733
Unasemaje we bwabwaRubbish thread weka videos we mandazi
Vitendo dhidi ya maneno
Kama hujui ngeli hayo si matatizo yetuHuu utumwa utaisha lini? Mleta mada ni mtumwa lakini hajui kama ni mtumwa.
Nimekupenda bure Madam 😂😂bila video hii ni chai tu
Weka Fidio hio na Sisi tuone hatukuwepo ulipokuwa akarekodiwaUnasemaje we bwabwa
Weka Shideo hio na Sisi tioneUnasemaje we bwabwa
Nimemuambia pale juu ni mwanamke na wameongea nae vizuri tu sijaona tatizo lolote
Ungeandika kwa kimakonde nduguEnslaved yet proud.
Walikuwa much nicer kwakuwa tu yai linawachenga! Awaulize wapinzani wa nchi hii.