Kuna video inasambaa mitandaoni, kiingereza kwa Watanzania wengi ni shida sana!!

Kuna video inasambaa mitandaoni, kiingereza kwa Watanzania wengi ni shida sana!!

Kuelewa ni kugumu sana, hivi kingereza ni lugha Mama ya Wakenya? Hivi Kiswahili sio lugha Mama ya watanzania? Mwingereza akiongea Kiswahili ndio ni mtumwa wa Kiswahili tumemtuma azungumze Kiswahili akitangaze Kiswahili cha kwetu kifike mbali na kuvuka mipaka zaidi BBC Swahili
Mzee dunia ya sasa Kiingereza muhimu wewe baki na Kiswahili chako
 
Mdada ni Mnigeria ana pikipiki zile za masafa marefu, yupo mpakani kasimamishwa na wana mamlaka wetu. Wakaanza kuongea nae kiingereza, aibu nimeona mimi.

Mdada ana camera kaifunga nadhani kwenye pikipiki so alikuwa anarekodi matukio na kuyapost mtandaoni.

Tusomeshe watoto jamani dunia ya sasa kiingereza hakiepukiki
Aibu kwa kutofahamu kiingereza?? Yy mbona hajui kiswahili?? Nadhani ww ndo unatakiwa kuona aibu kwa mawazo kama yako,kutokujua kiingereza wala siyo jinai ni lugha kama kisukuma na kimakonde
 
Mdada ni Mnigeria ana pikipiki zile za masafa marefu, yupo mpakani kasimamishwa na wana mamlaka wetu. Wakaanza kuongea nae kiingereza, aibu nimeona mimi.

Mdada ana camera kaifunga nadhani kwenye pikipiki so alikuwa anarekodi matukio na kuyapost mtandaoni.

Tusomeshe watoto jamani dunia ya sasa kiingereza hakiepukiki
Msemaji wa serikali leo kahojiwa bbc juu ya kimbunga hidaya, ngeli ya kitanzania kabisa yani
 
Mdada ni Mnigeria ana pikipiki zile za masafa marefu, yupo mpakani kasimamishwa na wana mamlaka wetu. Wakaanza kuongea nae kiingereza, aibu nimeona mimi.

Mdada ana camera kaifunga nadhani kwenye pikipiki so alikuwa anarekodi matukio na kuyapost mtandaoni.

Tusomeshe watoto jamani dunia ya sasa kiingereza hakiepukiki
Bila video ni umbea tu
 
Mdada ni Mnigeria ana pikipiki zile za masafa marefu, yupo mpakani kasimamishwa na wana mamlaka wetu. Wakaanza kuongea nae kiingereza, aibu nimeona mimi.

Mdada ana camera kaifunga nadhani kwenye pikipiki so alikuwa anarekodi matukio na kuyapost mtandaoni.

Tusomeshe watoto jamani dunia ya sasa kiingereza hakiepukiki
Aibu gani sasa. Yeye mnaijeria ndio ajifunze kiswahili
 
Back
Top Bottom