Kuna video inasambaa mitandaoni, kiingereza kwa Watanzania wengi ni shida sana!!

Kuna video inasambaa mitandaoni, kiingereza kwa Watanzania wengi ni shida sana!!

Na kuna mawaziri wa elimu me na ke wasomi wote waliboronga kwenye kuongea hiyo lugha, so tukubali matokeo, tukaze buti na kiswahili chetu
Yes, sisi tupo nusu nusu kote
 
Huyo ffu hawezi kukuelewa kwasababu anaamini katika nguvu na sio uwezo mzuri kichwani! Kwenye video wenzake hawajui ngeli wameishia kujichekesha tu kmmk
Kujua kiingereza kimekusaidiaje kuondoa huo ujinga uliyokujaa kichwani aise!?
 
Kujua kiingereza kimekusaidiaje kuondoa huo ujinga uliyokujaa kichwani aise!?
Kiingereza kimenisaida kujua wewe ni empty set kichwani.

Kudhihirisha hilo nasubiria matusi yako
 
Kwani kingereza ni nini maana yake kwanzaa
Pili sisi Tanzania tuna Lugha yetu ya Taifa let ambayo ni Kaswahili.

Mimi nilijua ingekuwa hawajui Kiswahili.

Hapo kidogo ningepata tabu kidogo

Ati Kingereza hatujui na kazi tunafanya ,maisha yanaenda walaa hakuna shidaa yoyote Manyyyy
 
Kiingereza kimenisaida kujua wewe ni empty set kichwani.

Kudhihirisha hilo nasubiria matusi yako
Hahaha,Mimi sio mshamba kuwaona waengine wasiojua kiingereza kwamba ni washamba na wasio na elimu. Namheshimu kila Mmoja,maana kiingereza sio kipini Cha elimu. Ila ww t0hutswahi kuwa na akili
 
Toka primary somo la ngeli tunalo mkuu, secondary ndo wote tunapiga ngeli tupu mpaka maadvance na chuo huko, ngeli tumefeli🤣 na mkoloni kapita hapa
Siyo kipau mbele,,,, na wala kingereza hakina uhusiano na maendeleo ndo maana kuna nchi nilizokutajia hapo mambo yao yote ni kwa lugha yao!!…

Kudandia lugha za watu na kung’ang’ania ni sign ya inferiority
 
Mbona kingereza kipo chedi tu ndugu. Kwanza kuongea kingereza ni kuumiza kichwa. Yani niliwahi kwenda West Africa yani mwezi mzima unaongea kingereza mpaka unataka kuumwa.
I love swahili.
 
Mdada ni Mnigeria ana pikipiki zile za masafa marefu, yupo mpakani kasimamishwa na wana mamlaka wetu. Wakaanza kuongea nae kiingereza, aibu nimeona mimi.

Mdada ana camera kaifunga nadhani kwenye pikipiki so alikuwa anarekodi matukio na kuyapost mtandaoni.

Tusomeshe watoto jamani dunia ya sasa kiingereza hakiepukiki
Kingereza cha profesa Ndalichako uliwahi kukisikia?
 
Mdada ni Mnigeria ana pikipiki zile za masafa marefu, yupo mpakani kasimamishwa na wana mamlaka wetu. Wakaanza kuongea nae kiingereza, aibu nimeona mimi.

Mdada ana camera kaifunga nadhani kwenye pikipiki so alikuwa anarekodi matukio na kuyapost mtandaoni.

Tusomeshe watoto jamani dunia ya sasa kiingereza hakiepukiki
DUUH! UTUMWA MBAYA SANA...... KUTO KUJUUA KINGELEZA NI AIBU?

"KWELI NIMEAMINI, ELIMU YA MJINGA NI MAJUNGU"
 
Nimeona aibu mm kwa upumbavu aloandika mtoa uzi
Dah tunadhihirisha ufinyu wetu wa kufikiri. Yan mtoa mada unadhani kiingereza ndo kilakituuu??

Dah kwa akili hizo bado utaendelea kumshukuru waziri kwa kuleta mvua

China hawajui kiingereza
 
Back
Top Bottom