Mzingo
JF-Expert Member
- Nov 2, 2014
- 4,729
- 10,500
Jamaa haina jinsiaNimemuambia pale juu ni mwanamke na wameongea nae vizuri tu sijaona tatizo lolote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa haina jinsiaNimemuambia pale juu ni mwanamke na wameongea nae vizuri tu sijaona tatizo lolote
Kwanini?Ungeandika kwa kimakonde ndugu
Chikumbili chamkojo hotpot hudahot unawako chipotekematakoUngeandika kwa kimakonde ndugu
SubhannallahWa kulaumiwa ni Nyerere
Wenzake akina Kenyatta walichagua Kiingereza yeye akakomaa na KiswahilliSubhannallah
huyo babu nuksi. katutia majanga mengi. amemea maujinga mengi yanayo exist hapo ukimaniWa kulaumiwa ni Nyerere
Nasikia Kenya mpaka leo ni koloni la MwingerezaWenzake akina Kenyatta walichagua Kiingereza yeye akakomaa na Kiswahilli
Babu ndio katufikisha hapa tulipohuyo babu nuksi. katutia majanga mengi. amemea maujinga mengi yanayo exist hapo ukimani
Kivipi mkuu?Nasikia Kenya mpaka leo ni koloni la Mwingereza
Lafudhi ya kikabila ni sawa umwambie Mnyaturu, Mbarabaig au Mkurya ateme Yai utakimbia kitu VisaUnakuta polisi au mwalimu na hata muuguzi hospitalini kuongea kiingereza ni shida,
Kihivyo haujui? Watumwa wa Kingereza kutoka England na Scotland na Wales (UK)Kivipi mkuu?
Kwa hiyo Mwingereza akiongea Kiswahili ni mtumwa kwa Kiswahili kutoka Tz?Kihivyo haujui? Watumwa wa Kingereza kutoka England na Scotland
Kuelewa ni kugumu sana, hivi kingereza ni lugha Mama ya Wakenya? Hivi Kiswahili sio lugha Mama ya watanzania? Mwingereza akiongea Kiswahili ndio ni mtumwa wa Kiswahili tumemtuma azungumze Kiswahili akitangaze Kiswahili cha kwetu kifike mbali na kuvuka mipaka zaidi BBC SwahiliKwa hiyo Mwingereza akiongea Kiswahili ni mtumwa kwa Kiswahili kutoka Tz?
Nyenyere ametufanyia upumbavu mwingi wa Tanzania, hafai kuitwa baba yetuWenzake akina Kenyatta walichagua Kiingereza yeye akakomaa na Kiswahilli