Kuna video inasambaa mitandaoni, kiingereza kwa Watanzania wengi ni shida sana!!

Kuna video inasambaa mitandaoni, kiingereza kwa Watanzania wengi ni shida sana!!

Mada yenyewe umeleta haina mpangilio wala supporting documents, halafu inaonekana wewe bado una fikra za utumwa wa lugha, cha ajabu nini sasa kutofahamu lugha ya kiingereza, mbona hata huko ulaya ni nchi kibao tu za wazungu wanabambia kingereza au unadhani hiko chako cha yes yes mzungu kala mafenesi ndio kingereza? Acha kuwa mtumwa wa fikra.
 
Kila siku naingiza kitu
Mdogo mdogo
View attachment 2980275View attachment 2980276View attachment 2980277View attachment 2980278View attachment 2980279View attachment 2980280
Screenshot_20240425-061354.jpg


Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Nyenyere ametufanyia upumbavu mwingi wa Tanzania, hafai kuitwa baba yetu
Muungano❌
Katiba❌
Lugha❌
Ukilaza wako usisingizie wengine
Miaka mingapi sasa hayupo na hayo hamjarekebisha?
Lugha hujui sababu huna akili ya kuelewa au ulisoma shule duni. Hilo mlaumu mzazi wako si Nyerere. Miaka mingapi toka amefariki? Amezuiaje ninyi kuvunja Muungano au kudai Katiba mpya? Mbona mimi sina hilo tatizo la lugha?
 
Mdada ni Mnigeria ana pikipiki zile za masafa marefu, yupo mpakani kasimamishwa na wana mamlaka wetu. Wakaanza kuongea nae kiingereza, aibu nimeona mimi.

Mdada ana camera kaifunga nadhani kwenye pikipiki so alikuwa anarekodi matukio na kuyapost mtandaoni.

Tusomeshe watoto jamani dunia ya sasa kiingereza hakiepukiki
Watanzania wana mambo ya ajabu, yaani badala ya kuona aibu kama taifa kwanin tuendelee kuwa watumwa kwa kukifanya kingereza kituendeshe , wanaona aibu kwa matokeo ya watanzania wenzao kuteseka na mfumo wa hiyo lugha.
 
Kingereza cha profesa Ndalichako uliwahi kukisikia?
Si ametobolewa uwaziri wa Kazi na Ajira, emu tuache hizo njia alizopita hadi kuufikia uprofesa anazijua yeye na hazikuhusisha Kingereza N'ngosha, lafudhi Baba lafudhi za kikabila mtu anatema Ngeli km anatema Kinyakyusu mwingine anaongea kingereza kizuri tatizo lafudhi utafikiri anaongea Kigogo au Kibena unajiuliza huyu ni Mhehe au Mfipa?
 
Hakuna aibu kwa kutofahamu lugha ya mtu mwingine. Himizo liwe tujitahidi kujua lugha zaidi ya moja kwa dunia ya sasa mbali ya lugha zetu za kimakabila na lugha mama tunayozaliwa tukiizungumza.
Fikiri kabla ya kujibu, huyp afisa uhamiaji anafanya nini kama hawezi kuelewana na anaotakiwa kuwasaidia, kama hivyo basi waweke viziwi na bubu.
Wakamalizia kwa swali, how many cc? Jibu, 250, askari 150cc. Kwaheri, asante sana.
 
Siyo kipau mbele,,,, na wala kingereza hakina uhusiano na maendeleo ndo maana kuna nchi nilizokutajia hapo mambo yao yote ni kwa lugha yao!!…

Kudandia lugha za watu na kung’ang’ania ni sign ya inferiority
Hata kiswahili chenyewe tupo empty
 
Lugha gongana ndio maana hao polisi wamekuwa wapole. Ingekuwa kiswahili hapo kwanza funguo zingechomolewa then mengine yaendelee.
Dawa yao ni kujifanya hujui kiswahili halafu boya ana bunduki kabisa sasa mtu kama huyo zaidi ya kuonea raia na rushwa afanye nini?kichwa inaonekana ni nyeupeee
 
Hakuna aibu kwa kutofahamu lugha ya mtu mwingine. Himizo liwe tujitahidi kujua lugha zaidi ya moja kwa dunia ya sasa mbali ya lugha zetu za kimakabila na lugha mama tunayozaliwa tukiizungumza.
Tatizo Watanzania wanasoma Kingereza kwa muda mrefu lakini mwisho wa siku wengi ni hola, watupu kabisa.
 
Mdada ni Mnigeria ana pikipiki zile za masafa marefu, yupo mpakani kasimamishwa na wana mamlaka wetu. Wakaanza kuongea nae kiingereza, aibu nimeona mimi.

Mdada ana camera kaifunga nadhani kwenye pikipiki so alikuwa anarekodi matukio na kuyapost mtandaoni.

Tusomeshe watoto jamani dunia ya sasa kiingereza hakiepukiki
Yeye aliweza kuongea Kiswahili?
 
Fikiri kabla ya kujibu, huyp afisa uhamiaji anafanya nini kama hawezi kuelewana na anaotakiwa kuwasaidia, kama hivyo basi waweke viziwi na bubu.
Wakamalizia kwa swali, how many cc? Jibu, 250, askari 150cc. Kwaheri, asante sana.
Unaposoma hoja ya mtu soma kwa mapana. Nilichoongea nimeongelea kwa ujumla sijaongelea situation ya hao watumishi. Nimeeleza tu dhana ya kwamba kutojua lugha nyingine si kosa, kisha nikatoa angalizo ni muhimu kujifunza lugha zaidi ya moja kwa dunia ya leo.

Kimantiki kwa majukumu ya hao askari si kufahamu Kiingereza pekee inapaswa wafahamu zaidi ya Kiingereza.
 
Back
Top Bottom