Mleta mada ana hoja Mfano mataifa ya ulaya wasiozungumza kiingereza Mfano France, German, Italy, Spain, Belgium, scandinavia n.k. kiingereza ndiyo lugha muhimu Kwa lugha za kigeni wanafundishwa vizuri na wanakiongea kama kikwao utagundua wenzetu wapo strategic na hawaja temper na elimu sasa nikuulize swali mjerumani kujua kiingereza ni utumwa au ni matakwa ya Dunia? Kama wewe unakaa nanjikinji ukisafir kuja Dsm labda unaenda mhimbili kama siyo Mloganzila utakuwa sawa lakini kama upo ofisi flani au kupata na mwewe kuvuka maji kwenga ng'ambo huu ulioandika utakuwa upumbav