Teko Modise
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 2,331
- 7,733
- Thread starter
- #141
Naishia hapa, uzi umevamiwa na majuha wengi wanateteana ujinga!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mjerumani, mjapani, mfaransa, mhindi, mreno wote hao hawajui kuongea vizuri kiingereza.Mdada ni Mnigeria ana pikipiki zile za masafa marefu, yupo mpakani kasimamishwa na wana mamlaka wetu. Wakaanza kuongea nae kiingereza, aibu nimeona mimi.
Mdada ana camera kaifunga nadhani kwenye pikipiki so alikuwa anarekodi matukio na kuyapost mtandaoni.
Tusomeshe watoto jamani dunia ya sasa kiingereza hakiepukiki
Kuna shida gan?? Kwan Kiingereza ndo nn??Endelea kuongea kisukuma tu
Pamoja na kwamba kiingereza ni lugha muhimu, namna tunavyokichukulia ni utumwa mtupu. Wachina wanakuja hapa kiingereza tia maji tia maji, kiswahili 'not reachable'; na bado wanatupiga hela!!Mdada ni Mnigeria ana pikipiki zile za masafa marefu, yupo mpakani kasimamishwa na wana mamlaka wetu. Wakaanza kuongea nae kiingereza, aibu nimeona mimi.
Mdada ana camera kaifunga nadhani kwenye pikipiki so alikuwa anarekodi matukio na kuyapost mtandaoni.
Tusomeshe watoto jamani dunia ya sasa kiingereza hakiepukiki
Usimfananishe huyo kiazi na Andazi linauhafadhaliRubbish thread weka videos we mandazi
Vitendo dhidi ya maneno
Kuna wachina,Wahindi,hawajui Kingereza na still wana make money, Kingereza ni lugha wewe pimbi hakina uhusiani ba kusomeshaMdada ni Mnigeria ana pikipiki zile za masafa marefu, yupo mpakani kasimamishwa na wana mamlaka wetu. Wakaanza kuongea nae kiingereza, aibu nimeona mimi.
Mdada ana camera kaifunga nadhani kwenye pikipiki so alikuwa anarekodi matukio na kuyapost mtandaoni.
Tusomeshe watoto jamani dunia ya sasa kiingereza hakiepukiki
Siku jaa halafu ongea kiingereza mwanzo mwisho.Walikuwa much nicer kwakuwa tu yai linawachenga! Awaulize wapinzani wa nchi hii.
Wapinzani nao wangekuwa wanaendesha kampeni kwa yai polisisiem wangekuwa watu wapole na wastaarabu zaidi nchi hii
Waambie wengine kingredha tulifeligiiii jamaniii!
Kuna shida gan?? Kwan Kiingereza ndo nn??
Hapa ndo umeandika nini? Usipende kukurupuka, soma uzi wangu uelewe vizuri wewe kiaziMjerumani, mjapani, mfaransa, mhindi, mreno wote hao hawajui kuongea vizuri kiingereza.
Ukiona mtu anaongea vibaya lugha, ujue ana lugha yake mama. Sisi kiswahili chetu kinatosheleza kuwasiliana, kwanini tuangaike na lugha zingine?
Kwanini usidhangae huyo mdada kujaribu kuongea Kiswahili??.Mdada ni Mnigeria ana pikipiki zile za masafa marefu, yupo mpakani kasimamishwa na wana mamlaka wetu. Wakaanza kuongea nae kiingereza, aibu nimeona mimi.
Mdada ana camera kaifunga nadhani kwenye pikipiki so alikuwa anarekodi matukio na kuyapost mtandaoni.
Tusomeshe watoto jamani dunia ya sasa kiingereza hakiepukiki
Unakatwa na baba levoNi upumbavu wako ww Kwa kutokujua kwamba ni lazima ujifunze kijerumani kabla ya kuvuka boda Yao!
Unafikiri ile mikataba aliyosaini na klabu alizochezea iliandikwa kwa lugha yao?Kwenye dunia ya Messi, Kiingereza kimemsaidia nini?
Huoni kwamba unatakiwa kujifunza kitu kwa ajili ya mahitaji na sio kutafuta sifa?
rudi darasani ukajifunze kusoma na kuandikaNdio umeandika nini? 🚮🚮🚮
Huwezi kupita mpaka rasmi wa nchi yoyote (incl. bandari na uwanja wa ndege) ukute askari na maafisa wasiojua kiingereza.alokwambia kingereza dili ni nani??
dunia haiongee kingereza babu ushamba wako tu !
Ujerumani wanaongea kijeruman
Ufaransa wanaongea kifaransa
China wanaongea mandarin
India ndo balaaa wanalugha kibao lakin si kingereza
Japan kijapan
Dunia nzima wanaoongea kingereza 1.5Bilion na duniani tupo bilioni 8
Haya akili kumkichwa na Kasumba yako
una uhakika mpaka tati ya tunisia na aljeria sheria ni kujua kingereza,Huwezi kupita mpaka rasmi wa nchi yoyote (incl. bandari na uwanja wa ndege) ukute askari na maafisa wasiojua kiingereza.
Wewe nafikiri huna experience ya kimataifa kabisa. Unaweza kuwa mdogo sana. Unafikiri hiyo mipaka wanapita watu wa nchi hizo tu? Hata katika safari za ndege kati ya hizo nchi huwa na raia wa kigeni. Hata katika safari za ndani.una uhakika mpaka tati ya tunisia na aljeria sheria ni kujua kingereza,
China na north korea,?
mpaka wa yemeni na oman
yemeni na Saudi Arabia
Mkuu ebu jielimishe basi
Et kiingereza dah nimeona aibu hadi nikajifichaAibu kamuonee mumeo huko