Kuna viongozi wengi ni Usalama wa Taifa!?

Tanzania badala ya uzalendo usalama sasa ni uchawa. Yaani usalama ni CCM sio Tanzania
 
Kuna viongozi wengi sana ambao ni usalama wa taifa. Mmoja ambaye nina uhakika naye kwa 💯 ni Professor Mkumbo ambaye ni waziri kwa sasa. Miaka yote hata kabla ya kuingia Chadema alikuwa usalama wa taifa.
Usalama wa taifa nchi hii sijui huwa nawachukuliaje na kwa vitendo vyao vya kuteka na kuua raia wasio na hata rungu
 
You can't be serious chalamila naye ni TISS
 
TID kigogo warioba Top in dar ni Tiss?
hawa wanamuziki tusiwachukulie poa huenda wengi wao ni TISS, unakuta mwanamuziki anaimbaimba ushenzi, mara wengine wanaimba injili kumbe ni TISS. Naambiwa hata viongozi wa dini nisiwachukulie poa, wengi wao ni TISS
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…